yenyewe
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 621
- 94
Habari za asubuhi wana jukwaa?
Anayewajua hawa watu wanaitwa "Freedom Recruitment" naoma anijuze wakoje, wanafanyaje kazi zao na wanaaminika kiasi gani. Nimetumiwa written interview na hawa jamaa lakin nimeona ni vyema niwajue vizuri kabla ya kuchukua muda wangu na kujibu maana sio kazi ndogo.
Natanguliza shukrani
Anayewajua hawa watu wanaitwa "Freedom Recruitment" naoma anijuze wakoje, wanafanyaje kazi zao na wanaaminika kiasi gani. Nimetumiwa written interview na hawa jamaa lakin nimeona ni vyema niwajue vizuri kabla ya kuchukua muda wangu na kujibu maana sio kazi ndogo.
Natanguliza shukrani