Fredrick Sumaye kurejea CCM

Robethn

JF-Expert Member
Aug 18, 2015
2,103
352
Kumekuwa na kila dalili ya waziri mkuu mstafu ndg Sumaye kurejea CCM, mara baada ya uchaguzi mkuu mwezi ujao, ikiwa ni kutokana na uhakika ambao amekuwa akiusema kwenye mikutano yake kwamba uwepo wake Ukawa ni kwa ajili ya kuimarisha upinzani na sio kushika dola.

Watu wake wa karibu wamesema kiongozi huyo bado amekuwa na wakati mgumu katika kuchagua chama atakachojiunga japo awali viongozi wa ukawa walimwambia ajiunge na NCCR Mageuzi, hiyo imekuwa ni kutokana na halihalisi anayoiona katika umoja huo ambao unakabiliwa na migogoro kilapande,pamoja na viongozi wake wengi kuwa na ubinafsi badala ya kuangalia maslahi mapana ya taifa.

Mzee Sumaye mara baada ya uchaguzi anaweza kurudi CCM kwa sababu mpaka sasa amekili hatajiunga na chama chochote kipya cha siasa.Hii inathibitisha kuwa pamoja na kuwa msimamizi mkuu wa kampeni za mgombea urais kupitia Ukawa hana uhakika wa kushinda.
 
Kumekuwa na kila dalili ya waziri mkuu mstafu ndg Sumaye kurejea CCM, mara baada ya uchaguzi mkuu mwezi ujao, ikiwa ni kutokana na uhakika ambao amekuwa akiusema kwenye mikutano yake kwamba uwepo wake Ukawa ni kwa ajili ya kuimarisha upinzani na sio kushika dola.

Watu wake wa karibu wamesema kiongozi huyo bado amekuwa na wakati mgumu katika kuchagua chama atakachojiunga japo awali viongozi wa ukawa walimwambia ajiunge na NCCR Mageuzi, hiyo imekuwa ni kutokana na halihalisi anayoiona katika umoja huo ambao unakabiliwa na migogoro kilapande,pamoja na viongozi wake wengi kuwa na ubinafsi badala ya kuangalia maslahi mapana ya taifa.

Mzee Sumaye mara baada ya uchaguzi anaweza kurudi CCM kwa sababu mpaka sasa amekili hatajiunga na chama chochote kipya cha siasa.Hii inathibitisha kuwa pamoja na kuwa msimamizi mkuu wa kampeni za mgombea urais kupitia Ukawa hana uhakika wa kushinda.

M.A.V.I. matupu, nenda K.A.N.Y.E.
 
Kama anauhakika wa kushinda,kwa nini asijiunge na chama chochote, acheni kutumia matope.
 
CCM endeleeni tu kujifariji hivyo hivyo, hata Lowassa atarejea pia CCM baada ya kushinda urais 25/October. Pia Lipumba atarejea CUF baada ya Maalim Seif kushinda urais wa Zanzibar mwaka huu.
 
Amekwenda kuimarisha upinzani wakati ndo unazidi kuzorota kila leo
 
Mods...JF siku hizi mmeachia watoto wa div 5, hawajaenda jando, wananuka masaburi, wachafu, wanaharibu reputation ya miaka mliojijengea...

Piga ban huyu pumbavu kabisa.. shit..!!!

This is shit...!!!
 
Kumekuwa na kila dalili ya waziri mkuu mstafu ndg Sumaye kurejea CCM, mara baada ya uchaguzi mkuu mwezi ujao, ikiwa ni kutokana na uhakika ambao amekuwa akiusema kwenye mikutano yake kwamba uwepo wake Ukawa ni kwa ajili ya kuimarisha upinzani na sio kushika dola.

Watu wake wa karibu wamesema kiongozi huyo bado amekuwa na wakati mgumu katika kuchagua chama atakachojiunga japo awali viongozi wa ukawa walimwambia ajiunge na NCCR Mageuzi, hiyo imekuwa ni kutokana na halihalisi anayoiona katika umoja huo ambao unakabiliwa na migogoro kilapande,pamoja na viongozi wake wengi kuwa na ubinafsi badala ya kuangalia maslahi mapana ya taifa.

Mzee Sumaye mara baada ya uchaguzi anaweza kurudi CCM kwa sababu mpaka sasa amekili hatajiunga na chama chochote kipya cha siasa.Hii inathibitisha kuwa pamoja na kuwa msimamizi mkuu wa kampeni za mgombea urais kupitia Ukawa hana uhakika wa kushinda.

Huo ndo ukweli, Sumaye ni mpiga dili, kapewa feza kaona achukue then anakimbia, why mpaka sasa hajachukua maamuzi ya kujiunga na chadema au NCCR
 
Vijana wa CCM mitandaoni wamekata tamaa kabisa, kilichobaki kwao ni kuzusha ujinga ili kujipa faraja hewa.
 
Habari ndo hiyo, Magufuli hongera sana,upinzani umemezwa na mafisadi wajanja.
 
Kumekuwa na kila dalili ya waziri mkuu mstafu ndg Sumaye kurejea CCM, mara baada ya uchaguzi mkuu mwezi ujao, ikiwa ni kutokana na uhakika ambao amekuwa akiusema kwenye mikutano yake kwamba uwepo wake Ukawa ni kwa ajili ya kuimarisha upinzani na sio kushika dola.

Watu wake wa karibu wamesema kiongozi huyo bado amekuwa na wakati mgumu katika kuchagua chama atakachojiunga japo awali viongozi wa ukawa walimwambia ajiunge na NCCR Mageuzi, hiyo imekuwa ni kutokana na halihalisi anayoiona katika umoja huo ambao unakabiliwa na migogoro kilapande,pamoja na viongozi wake wengi kuwa na ubinafsi badala ya kuangalia maslahi mapana ya taifa.

Mzee Sumaye mara baada ya uchaguzi anaweza kurudi CCM kwa sababu mpaka sasa amekili hatajiunga na chama chochote kipya cha siasa.Hii inathibitisha kuwa pamoja na kuwa msimamizi mkuu wa kampeni za mgombea urais kupitia Ukawa hana uhakika wa kushinda.
Mkuu usiongee u.tumbo , huko CCM unafikiri nani atampokea?
Ukisha kuwa makapi hata kwenye dustbin ya CCM Sumaye atakuwa hafai!
Heri abaki huku huku kwetu.
 
Vijana wa ukiwa matusi hayasaidii jengeni hoja, kweli nayi tunamashaka na elimu zenu.
 
Kumekuwa na kila dalili ya waziri mkuu mstafu ndg Sumaye kurejea CCM, mara baada ya uchaguzi mkuu mwezi ujao, ikiwa ni kutokana na uhakika ambao amekuwa akiusema kwenye mikutano yake kwamba uwepo wake Ukawa ni kwa ajili ya kuimarisha upinzani na sio kushika dola.

Watu wake wa karibu wamesema kiongozi huyo bado amekuwa na wakati mgumu katika kuchagua chama atakachojiunga japo awali viongozi wa ukawa walimwambia ajiunge na NCCR Mageuzi, hiyo imekuwa ni kutokana na halihalisi anayoiona katika umoja huo ambao unakabiliwa na migogoro kilapande,pamoja na viongozi wake wengi kuwa na ubinafsi badala ya kuangalia maslahi mapana ya taifa.

Mzee Sumaye mara baada ya uchaguzi anaweza kurudi CCM kwa sababu mpaka sasa amekili hatajiunga na chama chochote kipya cha siasa.Hii inathibitisha kuwa pamoja na kuwa msimamizi mkuu wa kampeni za mgombea urais kupitia Ukawa hana uhakika wa kushinda.


CCM endeleeni tu kujifariji hivyo hivyo, hata Lowassa atarejea pia CCM baada ya kushinda urais 25/October. Pia Lipumba atarejea CUF baada ya Maalim Seif kushinda urais wa Zanzibar mwaka huu.
 
Kumekuwa na kila dalili ya waziri mkuu mstafu ndg Sumaye kurejea CCM, mara baada ya uchaguzi mkuu mwezi ujao, ikiwa ni kutokana na uhakika ambao amekuwa akiusema kwenye mikutano yake kwamba uwepo wake Ukawa ni kwa ajili ya kuimarisha upinzani na sio kushika dola.

Watu wake wa karibu wamesema kiongozi huyo bado amekuwa na wakati mgumu katika kuchagua chama atakachojiunga japo awali viongozi wa ukawa walimwambia ajiunge na NCCR Mageuzi, hiyo imekuwa ni kutokana na halihalisi anayoiona katika umoja huo ambao unakabiliwa na migogoro kilapande,pamoja na viongozi wake wengi kuwa na ubinafsi badala ya kuangalia maslahi mapana ya taifa.

Mzee Sumaye mara baada ya uchaguzi anaweza kurudi CCM kwa sababu mpaka sasa amekili hatajiunga na chama chochote kipya cha siasa.Hii inathibitisha kuwa pamoja na kuwa msimamizi mkuu wa kampeni za mgombea urais kupitia Ukawa hana uhakika wa kushinda.

we jamaa ni muongo sana uko ka lu******r!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom