TANZIA Fredrick Shoo (FRESHO) Mmiliki wa Kampuni Tanzu za FRESHO INVESTMENT LIMITED Afariki

Kina Paul na Edward Ng'hwani. Malori yao yaliitwa Rehema za Mungu. Wote wawili wameshaaga dunia. Utajiri kwishney. Watoto wao wana maisha ya kawaida tu.
Unanitisha, nina ndugu yangu alipita kwenye mikono ya Gaki na Jambo , alikua na ginnery , faster akaongeza kiwanda cha mafuta ya pamba, alizet, mchele, unga na kampun ya usafirishaj, vilivyopukutika, hutoamn.. au itakua nae alizulumu nn, imebak Rice mill pekee, msimu huu naona anahangaika kufufua oil mill.. hii mada imenifikirisha sana
 
Hawa walikuwa wanakojoa bar halafu anamuambia muhudumu deki halafu anamlipa hapo hapo. Ndio hawa walianzisha mfumo wa kununua bia kreti, wanajaza kwende ndoo ya lita 20 zote halafu wanachota kwa kikombe. Matajiri wengi wa shinyanga, bariadi na mwanza msingi wao mkubwa ulitokana na NCU na SHIRECU.

Na pia jeshini enzi za msuguli yaelezwa imetajirisha sana wengi.
wanakunywa kwa kikombe
 
Mkurugenzi wa Kampuni ya Fresho Investment Company (1999) Ltd ya Mjini Shinyanga Fredy Shoo maarufu Fresho amefariki dunia siku ya Jumatano Julai 28,2021 wakati akiendelea kupata matibabu jijini Dar es salaam.

Mwekezaji Mzawa Fredy Shoo ndiye mmiliki wa kiwanda cha kuchambulia pamba , kiwanda cha vifungashio na kiwanda cha kuchakata mafuta ya pamba pamoja na uwanja Mpya wa Kisasa uliopewa jina la ‘Fresho Complex’ uliopo katika eneo la Ugweto kata ya Ibadakuli Manispaa ya Shinyanga,Pia ni kaka mkubwa wa Hillary Shoo mwenye viwanda vya Maji ya HILL,Hill Feeds na Kiwanda cha vifungashio cha Hill...
Na mdogo wao Harold Shoo maarufu HARSHO wa Moshi mwenye kiwanda cha Vifungashio Kwa Sadala Moshi kama HARSHO Packaging maarufu kwa Mifuko ya Super Sokoni.

Mungu Ailaze Mahali Pema Peponi Roho ya Marehemu Fresho. Amina

View attachment 1875353
Pichani: Aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati John Magufuli akikata Utepe kuzindua Kiwanda cha Vifungashio cha FRESHO Shinyanga mwaka 2017 kushoto kwake mwenye Jaketi la Bluu bahari ni Marehemu Fredrick Shoo.

View attachment 1875371

View attachment 1875372

View attachment 1875373
Sawa.Sasa nia ya kuleta hili tangazo JF ni nini hasa,hebu tutonye.
 
Aliiba alimzurumu pesa mzee minzi ambaye alikua meneja wa shirecu..walipiga hela fresho akamzurumu mamilioni..mzee minzi alifungwa alikuja kutoka jela hana moja wala mbili..kwenda kwa fresho kumuomba ampe suport ya maisha fresho alimtishia kumuua..mzee minzi alibidi aokoe awe mlokole mana ilibaki kidogo afe kwa stresss za maisha.

Wachaga wengi mali zao niza wizi na dhuluma.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
jingine hili lenye mawazo mgando,ukiulizwa ushahidi utaishia kutoa macho
 
Hadi leo Shirecu imejaa wasukuma. Sasa hivi General Manager wake ni jamaa moja anaitwa Hans ni Mnyakyusa, ila staff wote ni full wasukuma. Ila hivi vyama vilikuwa Giant sana, hadi Nyerere unaambiwa aliviogopa.
Nyerere aliviogopa Kweli kweli fikiria Kama KNCU enzi hizo walimpa scholarships Reg Mengi kusoma Scotland,jiulize walikua na pesa kiasi gani.

KNCU,SHIRECU,KCU vilimalizwa kiaina.
 
Ila watu muwe na aibu kwa uongo uliokithiri.angekuwa anawapiga vita angekubali kuwa mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa kiwanda, kama angekuwa anawapiga vita wazawa je angepa Bakhresa eneo kubwa la kulima miwa na kujenga kiwanda cha sukari huko Bagamoyo?unapokuwa muongo usiwe msahaulifu.
Kwani kiwanda cha sukari ni cha SSB!!??
Poleee.
 
Unanitisha, nina ndugu yangu alipita kwenye mikono ya Gaki na Jambo , alikua na ginnery , faster akaongeza kiwanda cha mafuta ya pamba, alizet, mchele, unga na kampun ya usafirishaj, vilivyopukutika, hutoamn.. au itakua nae alizulumu nn, imebak Rice mill pekee, msimu huu naona anahangaika kufufua oil mill.. hii mada imenifikirisha sana
Mikopo ya kununua pamba wengi walipata hasara kuuziwa pamba chafu
 
Mkuu usiongee tu, frester ni kampun kubwa kuliko unavyo fikiri, hakosi bus 50 yule
Jamaa kaiteka njia ya bukoba na amekaa muda mrefu kweli.

Maana wengi huleta mabasi yao ya dar bukoba hadi dar lux lakin huchoka haraka lakin huyu frester amekaa muda mrefu just imagine ana kila siku mabasi yake nane hutoka na kuingia bukoba kutoka dar na Moro.
 
Back
Top Bottom