mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,305
- 13,640
Ni kweli wanapotosha yeye alitaka uenyekiti chadema ndio mbowe akamwambia sumu haionjwi(ole wako)Huna Habari kwamba Sumaye aligombea kidemokrasia nafasi pale CCM 2015?
Mwaka huu alisema wapi anata kugombea urais kupitia CCM? Acha kupotosha Sumaye hajawahi sema Tena baada ya kukosa kuteuliwa 2015.