nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,609
- 4,097
Sioni yoyote mwenye mvuto Kati ya hawa
1. Cecilia
2. Sumaye
3. Lowassa
Wote history yao imeishia hapo.
Kule watakuwa Ni ndiyo mzee.
Sumaye ndiye aliyetoa kauli kuwa ukitaka biashara yako ifanikiwe au umiliki shamba au uwe kiongozi njoo ccm, akiwa Waziri mkuu.
Ndicho kilichomkuta, karudi CCM ili akomboe mashamba yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Cecilia
2. Sumaye
3. Lowassa
Wote history yao imeishia hapo.
Kule watakuwa Ni ndiyo mzee.
Sumaye ndiye aliyetoa kauli kuwa ukitaka biashara yako ifanikiwe au umiliki shamba au uwe kiongozi njoo ccm, akiwa Waziri mkuu.
Ndicho kilichomkuta, karudi CCM ili akomboe mashamba yake.
Sent using Jamii Forums mobile app