cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,457
- 137,068
We acha tu zile nguo huwezi vaa raia wakakuelewa labda vunjabei mwenyewe...yale ni matambara
We acha tu zile nguo huwezi vaa raia wakakuelewa labda vunjabei mwenyewe...yale ni matambara
Aaaah Fred jamani asitufanyie hivi.
Yani mtu anunue Gucci kwa 15k umwambie kavaa OG? Bora ingekua mtumba tungeelewa.
Atuache kidogo
Watu hamuijui China vizuri nyie, mnaropoka tu. Ukifika kwenye maduka Marekani na Ulaya nguo na vifaa vingi ni Made in China. China wanazo bidhaa quality sana. Washenzi ni wafanyabiashara wetu hapa wanaozoa nguo za bei nafuu (fake) kutoka China na kuuza kwa bei ya original.Mmh tumekusikia Gucci made in China ikavunja bei.
Mwambie kijana haijui hongkong ni niniWatu hamuijui China vizuri nyie, mnaropoka tu. Ukifika kwenye maduka Marekani na Ulaya nguo na vifaa vingi ni Made in China. China wanazo bidhaa quality sana. Washenzi ni wafanyabiashara wetu hapa wanaozoa nguo za bei nafuu (fake) kutoka China na kuuza kwa bei ya original.
Mtu kama ww unadhani kuwa wachina wana bidhaa hafifu tu.
Kutokana na lobbyist ku lobby haki za wafanyakazi na migomo, wenye viwanda nchi za Magharibi walijikuta hawatengenezi faida. Ndiyo ulikua mwanzo wa Globalisation.Watu hamuijui China vizuri nyie, mnaropoka tu. Ukifika kwenye maduka Marekani na Ulaya nguo na vifaa vingi ni Made in China. China wanazo bidhaa quality sana. Washenzi ni wafanyabiashara wetu hapa wanaozoa nguo za bei nafuu (fake) kutoka China na kuuza kwa bei ya original.
Mtu kama ww unadhani kuwa wachina wana bidhaa hafifu tu.
Anataka faida nyingi kwa wakati mmoja sasa iviTulonunua nguo vunja bei wakati wa miaka ya 2015-2017 jamaa walikua wanaleta vitu grade kiasi chake,nilinunua vijeans na vitisheti vyake mpaka leo ninavyo vimepauka kiasi tu lakini viko fresh.
Mwezi wa pili,nilisema nipite kidogo nichukue kat.shirt pale sinza nikakavaa,kimefuliwa Mara mbili mpaka leo Sina hamu nayo.Imekua Kama dekio na kuvutika Kama Dera.
Ushauri wangu tu,kwa Sasa anajina mjini,aache maronyaronya auze walau grade alizoanza nazo mwanzo hatotumia nguvu kubwa kujitangaza tofauti na sasa
kwa hiyo kumbe wachina wanaonewa tuWatu hamuijui China vizuri nyie, mnaropoka tu. Ukifika kwenye maduka Marekani na Ulaya nguo na vifaa vingi ni Made in China. China wanazo bidhaa quality sana. Washenzi ni wafanyabiashara wetu hapa wanaozoa nguo za bei nafuu (fake) kutoka China na kuuza kwa bei ya original.
Mtu kama ww unadhani kuwa wachina wana bidhaa hafifu tu.
Zile kampuni zenyewe zinazotengeneza pamba original unakuta wana maduka yao south.mfano timberland.Hapo bongo makampuni makubwa ya mavazi hamna.Nguo tunazovaa ni direct kutoka china.mzee unaweza ukaongeza maelezo kidogo kuhusu nguo o.g kupatikana south
. Bebe mi namsaka kwa matumizi gani nae yani?Vipi bebe hujafikiria kumsaka? Hahaha
ukuze brand babe. Bebe mi namsaka kwa matumizi gani nae yani?
Viatu sijawh mkuuviatu vipi?
Sasa kuna mtu kakushikia bunduki mpaka uende Vunja Bei kama unajua kuna mtumba OG?kuna tofauti kubwa kati ya OG mtumba na mpya feki za Vunja bei.....hiyo 20,000 unaweza kitu matata sana kwenye mtumba OG
Nishajikuza mie. Kujikuza kwa Fred naachia slay queensukuze brand babe