Fred Mpendazoe: Uchumi wa nchi umo mikononi mwa familia tisa za matajiri!

Hello fellows! Hivi hawa jamaa wanapohojiwa kwanini huwa hawatoi taarifa zilizo kamilika? Au wameamua kuja kutuchanganya? Maana mimi najua kuwa ukiesema familia tisa means unazijua! Na inatakiwa uzitaje! Sasa ukisema tu bila kutaja majini hapo ina maana habari yako haijakamilika.

Mimi nafikiri sasa inabidi hawa jamaa wakiojiwa kama awatoi maelezo ya kueleweka ni vizuri hizo habari zikaachwa maana hazina kipya zaidi ya kuongeza maswali yasiyo na majibu.

ATAJE MAJINA SIYO KUTUTAJIA NAMBA TU? ATOE NA VIDHIBITISHO KUONYESHA AMETUMIA NINI MPAKA KUFIKIA KUSEMA HIVYO....

Mugerezi,
Hapo umenena, lakini inaelekea na waandishi wetu nao wamepwaya maana hilo lilitakiwa liwe ndio swali linaaalofuatia. Ilitakiwa wamuulize Mheshimiwa;

.....Je unaweza kututajia majina au vielelezo vya hizo familia tisa zinazomiliki nchi?
 
- Kwani is there a problem uchumi wa taifa kushikiliwa na familia 9 tu, au kuna more than that statement?

Kama umeelewa kauli yangu ya juu, tatizo langu nililotaja si namba ya watu wanaomiliki uchumi wa nchi, ingawa hilo nalo ni swala zuri la kujadili, na ninalijadili hapa chini, bali jinsi uchumi unavyobakwa.

Kama uchumi ungekuwa unaendeshwa vizuri na wachache, na wote wakafaidika relatively reasonably, objection zangu zingekuwa ndogo sana na mainly zingekuwa the standard liberal/socialist/ social democratic stands about social equality, income disparity and distribution.Lakini my issues is more than one stemmed from "The Communist Manifesto" or "Das Kapital" kwa sababu watu wachache hawa wameshindwa hata kufanya uchumi huu umsaidie mtanzania wa kawaida kwa kiasi kidogo sana, in other words, to make it plain, wameshindwa kula na kipofu na sasa wanatishia sio tu welfare ya kipofu huyu, bali pia welfare yao wenyewe matajiri kwa ku risk social unrest.Ng'ombe usiyemlisha ukimkamua sana maziwa mwisho maziwa yataisha na itatoka damu tu.

I have a problem with nine families running an economy of 40 plus million people, although I believe this number to be vastly exaggerated for effect. The point made here is still the same, that very few people -fewer even than a usually licentious Austrian economics based conservative libertarian capitalistic model would reasonably allow-, and here is the outrage that should concern even a reasonable capitalist who understand that classes are very necessary to build a prosperous society, and you are bound to have income and economic inequality just as you are bound to have industrious and lazy families , so there is a socio-economic issue with far flung implications right into national security when just a few people a running the country a la the French oligarchy before their revolution, you will be looking for something similar to the French Revolution complete with guillotines..

Lord Acton put it aptly when he said "power corrupts and absolute power corrupt absolutely"

The point is, this is unhealthy not only to the poor people, but also to the rich who are disproportionately plundering our economy.It is in their interest to see a portion of what they make "trickle down" -to borrow a right wing phrase- to ensure that their plundering is not threatened by the ploretariat's increasingly bleek predicament.

Even Juvenal of Roman Empire fame knew that to control the masses you need at least bread and circuses, to keep them busy and their bellies full while you bag the cashand gold.

The problem is, in Tanzania, you only see shoddy circuses, and no bread at all!
 
- Kama vile uchumi wa USA ulivyo chini ya familia 500 tu, huku ikiwa na wananchi millioni 400, sisi millioni 40 familia tisa, au?

Mkuu Field Marshall,
Nafikiri uchumi wa US ni mkubwa sana kiasi kuwa hauwezi kuyumbishwa na hao 500. Lakini hawa wakwetu 9, kwanza wanaweza wakakutana kila wiki kupanga mikakati, halafu pili inaelekea tayari wanaimiliki ikulu.

Lakini je ina maana ndio waliomuweka Kikwete madarakani? Ninachojua kwenye hiyo list lazima atakuwepo; Rostam Azizi kwa hiyo sio ajabu tayari wanamiliki nchi.
 
- Kwani is there a problem uchumi wa taifa kushikiliwa na familia 9 tu, au kuna more than that statement?

Tatizo lipo na tena kubwa sana mkuu.

Kama watu 9 wanamiliki uchumi wa taifa ina maana pia hao 9 au less wanaweza pia kuumaliza huo uchumi wakati wowote wakitaka.

Hii ina maana kuwa hao individuals watakuwa na substantial economic muscles that gives them unchallengeable political clout.

Ndio maana hata US wanapiga vita kwa mtu/kampuni kuhodhi madaraka au nafasi katika biashara kwa kiasi kikubwa kiasi cha kukosekana ushindani (anti-trust law).
 
Kama uchumi ungekuwa unaendeshwa vizuri na wachache, na wote wakafaidika relatively reasonably, objection zangu zingekuwa ndogo sana na mainly zingekuwa the standard liberal/socialist/ social democratic stands about social equality, income disparity and distribution.Lakini my issues is more than one stemmed from "The Communist Manifesto" or "Das Kapital" kwa sababu watu wachache hawa wameshindwa hata kufanya uchumi huu umsaidie mtanzania wa kawaida kwa kiasi kidogo sana,!

- Strong point mkuu, hivi unaijua nchi moja duniani haya mambo yanafanyika kama unavyosema kwamba wanaweza kuwa mfano mzuri sana kwetu?

Ahsante.

William.
 
In that case, the outrage should be on why did Mwakyembe not name names. I also deplore double standards, but what I deplore more than double standards is the habit of lowering high standards toward low standards in order not to have double standards.

Kama tunataka "Ukweli na Uwazi" na tulishaukubali under magirini ya Mkapa kwa nini kufichana fichana?

Kama issue ina warrant watu kutajwa watajwe tu, na mimi nafikiri kusema "uchumi unaendeshwa na familia tisa tu" bila kuzitaja ni irresponsible, kwa sababu una fuel speculations.Sasa kila mtu aliye katika top echelon ya business na politics anaanza kuzungumziwa, Je ni Bakhresa? ni Rostam? ni Mengi? majina yatazidi hayo tisa aliyosema muheshimiwa na wengine watanaswa na mtego wa panya.

Waandishi wetu hata hawajamuuliza amepata wapi hizi data? Familia hizo tisa ni zipi na zinawezaje ku control uchumi hivyo? Kihalali au isivyo halali?

Unakuta mtu ana quote Greek gods wote Aristotle, Einstein na sijui nani pamoja na etymologies za Greek rooted words, lakini anashindwa kuelezea kitu so central, au hata kusema "siwezi kutaja majina kwa sababu hii na hii".Kauli mtu bado issue, journalistic integrity na competencu bado issue.

Kiranga nakubaliana na wewe moja kwa moja katika ukweli huo.

Kila mtu anaeamua kuongea na vyombo vya habari anatakiwa aseme kila kitu kikiwa kikamilifu na sahihi. Hakuna haja ya kuita wahandishi wa habari na kuwapa dondoo tu. I fully agree with you.

If there is where we stand, then we stand in high grounds.
 
Kiranga nakubaliana na wewe moja kwa moja katika ukweli huo.

Kila mtu anaeamua kuongea na vyombo vya habari anatakiwa aseme kila kitu kikiwa kikamilifu na sahihi. Hakuna haja ya kuita wahandishi wa habari na kuwapa dondoo tu. I fully agree with you.

If there is where we stand, then we stand in high grounds.

Assumming aliyosema ni kweli kuwa nchi iko mikononi mwa familia 9, je nini madhara yake kwa nchi, kisiasa na kiuchumi?
 
Even Juvenal of Roman Empire fame knew that to control the masses you need at least bread and circuses, to keep them busy and their bellies full while you bag the cashand gold.

The problem is, in Tanzania, you only see shoddy circuses, and no bread at all!

Good analysis. Our emperors seem to be not familiar or have forgoten this part of history. They might end up in the public guilotine.
 
Waandishi wa habari mnakuwa wajinga sometimes kwasababu yakutaka kuwa spoon fed habari.. "taarifa" is this taarifa ama opinion ya mtu.. its just an opinion...
 
niliwahi kumsikia Dr chrisant mzindakaya wakatifulani akichangia bungeni enzi za awamu ya tatu eti uchumi wa tz unashikiliwa na familia tisa (9)!!!, juzi tena wakati akitangaza kung'atuka akarudia tena, eti uchumi wa tanzania unashikiliwa na familia kumi (10) (safari hii kaongeza moja)!!!

hivi kauli kama hizi zina ukweli gani? na;
kuna anayejzijua hizi familia atuume sikio kidogo??? ili;
tuziombee afya na uzima kwa Mungu, manake zikisambaratika na sisi kiuchumi kwisha kazi!!!
 
niliwahi kumsikia Dr chrisant mzindakaya wakatifulani akichangia bungeni enzi za awamu ya tatu eti uchumi wa tz unashikiliwa na familia tisa (9)!!!, juzi tena wakati akitangaza kung'atuka akarudia tena, eti uchumi wa tanzania unashikiliwa na familia kumi (10) (safari hii kaongeza moja)!!!

hivi kauli kama hizi zina ukweli gani? na;
kuna anayejzijua hizi familia atuume sikio kidogo??? ili;
tuziombee afya na uzima kwa Mungu, manake zikisambaratika na sisi kiuchumi kwisha kazi!!!

Sizijui hizo familia kumi za mzindakaya....nashangaa kwani hakuzitaja na kwa nini anadhani ndizo zinazoshikilia uchumi wetu.
1) RA I guess huyu labda atakuwepo miongoni mwa 10....
2)
3)
4)
 
Sizijui hizo familia kumi za mzindakaya....nashangaa kwani hakuzitaja na kwa nini anadhani ndizo zinazoshikilia uchumi wetu.
1) RA I guess huyu labda atakuwepo miongoni mwa 10....
2)
3)
4)

hata mimi nimejitahidi kuzitafakari sijazing'amua. lakini huyu RA inawezekana yumo.... pia msimdharau mzee wa simu 800 ama yule wa lupaso!!

wajuzi tufungueni macho...
 
niliwahi kumsikia Dr chrisant mzindakaya wakatifulani akichangia bungeni enzi za awamu ya tatu eti uchumi wa tz unashikiliwa na familia tisa (9)!!!, juzi tena wakati akitangaza kung'atuka akarudia tena, eti uchumi wa tanzania unashikiliwa na familia kumi (10) (safari hii kaongeza moja)!!!

hivi kauli kama hizi zina ukweli gani? na;
kuna anayejzijua hizi familia atuume sikio kidogo??? ili;
tuziombee afya na uzima kwa Mungu, manake zikisambaratika na sisi kiuchumi kwisha kazi!!!

Maybe there is a lot of truth in Mzindakaya's statement, but who cares! hahahahahahahah lol! I am just joking.

Kilichonistaajabisha ni kwamba huyu Mzindakaya alikuwemo Bungeni kwa zaidi ya miaka 40 sasa, je hakuona wakati wa muafaka wa kuyasema aliyoyasema hadi wakati wake wa kustaafu? Je, aliamua kunyamaza kimya kwa kuogopa kufukuzwa chamani au kwa kuogopwa kukolimbwa?

Waandishi wa habari nao wamezembea maana baada ya kauli hii na ile ya kulazimika kutoa rushwa ili kuupata uongozi, ilibidi wamhoji kupata hizo details za hizo familia 10 rafu za kutumia pesa zinazochezwa CCM ili kupata ULAJI na kwa nini hakuyasema hayo miaka mingi iliyopita ili hatua madhubuti zichukuliwe na badala yake kusubiri hadi wakati wake wa kustaafu.

Kwa maoni yangu Mzindakaya naye ni mnafiki kama walivyo Viongozi wengi ambao pamoja na kujua matatizo mengi ndani ya Tanzania wako radhi wayafumbie macho miaka nenda miaka rudi na kuwadanganya wananchi kwamba kila kitu kiko shwari kabisa wakati hali haiko hivyo.

Rushwa inazidi kushamiri pamoja na kuwepo TAKUKURU, mahospitali bado hayana madawa, vitanda na vifaa muhimu, wauguzi na hata madaktari. Mashule mengi ya msingi na hata ya sekondari hayana madarasa ya kutosha, madawati, waalimu, na matatizo mengi chungu nzima. Huduma muhimu za upatikanaji maji, umeme na mabarabara bado si za kuridhisha sehemu nyingi nchini.

Pamoja na kuambiwa kwamba uchumi wa Tanzania unakuwa kwa asilimia 5 au zaidi kwa miaka mingi sasa lakini mengi ya matatizo yetu hayana hata ahueni kwa miaka chungu nzima sasa. Dar miundo mbinu ni ya miaka 40 iliyopita na ikinyesha mvua kubwa kwa dakika chache tu basi sokomoko ya usafiri ndiyo inazidi kuwa ya kutisha, labda mpaka hapo hizo familia 10 au zaidi zilizoushikilia uchumi wa Tanzania zitakapoona umuhimu wa kufanyia ukarabati mkubwa jiji la Dar ili kuepuka maafa makubwa siku za usoni.

 
Mkuu BAK simlaumu sana kwasababu hata afande Mwema mwenyewe si alisema wazi hawagusiki?Naelewa pointi yako lakini hali halisi unaijuwa....Wasema nchi haitatawalika.
Binafsi nampa Mpendazoe a benefit of doubt kwasababu amejiunga upinzani hivyo dhana ya unafiki kufutika,unless abehave tofauti.
 
Interesting topic but I think we are discussing more of personal opinion rather than any tangible facts. Since even our journalists are not the curious type(don't know how you can be a journalist without having the interests to dig deeper and deeper) he/she does not even ask any question which helps shed light to the matter.

The MP states that there are nine families controlling the Tanzanian economy. O.k., even in the world there are a few countries controlling the economy of the whole world. Even in a rich country like the U.S. 1% of the population controls the economy. This in itself is not a big issue. That's what you get from capitalism. It is the rule on the many by the few.

Now one might make the argument that these nine families are screwing up Tanzania. Who are they? You can't tell me he fears for his well being by mentioning their names because if he is correct just the mere fact that he mentioned there are nine families means they would be gunning for him anyway. He also does not explain how they are controlling Tanzania and in what way.

The MP also provides no proof for his statements which makes it a matter of opinion. How did he reach the number of nine? He provides no proof what so ever. He also names the aristocracy as a class which is kept for the interests of these "big kahunas" forgetting that in Tanzania the aristocracy is made in part by the ruling class(MPs, ministers, etc) which he himself is a part of. How does he differentiate himself from the people who place others in the MPs group for their own interests.

So I don't see how Mpendazoe's words or this article can help us in anyway. How do you even work on his claims? How do you work on fixing the supposed "problem"? It's bogus and his words will soon be forgotten because I don't see how it helps us move forward. I think politicians have to learn when and how to speak. Some things require a bit of proof or shedding some light. All I see here is a bunch of opinions which won't help us out in anyway.
 
Reading between the lines utamwelewa vizuri Mpendazoe lakini ukisoma kama mashairi na ngonjela hutafika popote. Kwa mfano ametumia mfano wa Albert Einstein ya kwamba - Ulimwengu pamekuwa mahala pa hatari sana kuishi, lakini haitokanina Ufisadi unaofanyika bali inatokana na wale wanaouangalia tu uovu ukifanyika na hawachukui hatua yoyote..

Haya ni maneno mazito sana ambayo hayamuhusu tu Mpendazoe ila hata wewe Mtanzania unayemsoma.. Jiulize umefanya nini kuzuia Ufisadi? kama hakuna basi ya nini kumlaumu Mpendazoe hali sote tumekaa hapa kibarazani tukibuya madudu yote ya Ufisadi. Familia tisa alizozungumzia ni zile zinazojenga kundi la kwanza - OLIGAKI, wengine wote tuna fall ktk makundi mengineyo..mjazie wenyewe..
 
- Kwani is there a problem uchumi wa taifa kushikiliwa na familia 9 tu, au kuna more than that statement?

Vibaya sana, kwa kuwa watakuwa juu ya kila kitu, sheria, siasa na lolote. watakuwa miungu watu. Na siku wakiamua kuondoka na mali zao kwenda kuishi Ulaya au Marekani wataondoka na uchumi wetu wote.
 
Mh. sumaye leo amesema anasikitishwa na hali ya ufisadi,dhuluma,wizi,mauji ya kutisha na unyanyasaji kwa wanyonge unaoendelea hivi sasa nchini kwa manufaa ya watu wachache.
Mh. Amesema "siwaonei gere matajiri na ningependa kila mtu awetajiri lakini haiwezekani, ila kinachoniumiza ni kundi la masikini ambao wanaumia kwa kupanda kwa gharama za maisha na hali ngumu ya maisha"
Sumaye ameeleza mengi kwa uchungu nakuonyesha kuwa hali inayoendelea hivi sasa nchini ya ufisadi uliokitili,wizi na mauji ya watanzania vinamkera sana.
Sumaye amesema mengi na kuongeza anashangazwa na jinsi kundi dogo katika nchi linataka kumiliki utajiri wa nchi na kuacha kundi kubwa likiangamia na kutumia kamsemo ka kila mtu kivyake hii hali itasabisha amani tuliyonayo itoweke.
Mh. Ametabainisha kwamba sasa hivi viongozi tulionao hawana moyo wa kutumikia watanzania bali kwa faida zao binafsi.
Pamoja na hayo Sumaye amewataka wahitimu wa kidato cha 6 wasome kwa nguvu ili waweze kushindana na wenzao katika ajira kwenye soko la Africa Mashariki. Maoni yangu.
Hivi Sumaye kama yanayo endelea yanamkera hawezi kuyakemea au ndo tuseme mavi ya kale hayanuki,binafsi huyu mh. Ameni gusa ila naona ni walewale.
Haya ameyasema katika mahafali ya kidato cha 6 pugu sekondary.
Nawasilisha
 
Back
Top Bottom