Frank Ruhasha, ametangaza rasmi kujiondoa CHADEMA na kujiunga NCCR Mageuzi

Magonjwa Mtambuka

JF-Expert Member
Aug 2, 2016
29,637
26,044
WhatsApp%20Image%202020-04-03%20at%203.36.25%20PM_0.jpeg

Wiston Mogha aliyekuwa mwanachama wa ACT Wazalendo KULIA, AKIWA NA Frank Ruhasha kutoka chama cha demokrasia na maendeleo chadema.

Frank Ruhasha kutoka Chadema alisema amekuwa katika chama hicho kwa zaidi ya miaka 13 na amewahi kushika nafasi mbalimbali za uongozi katika mkoa wa Kigoma ikiwemo ya katibu wa chama hicho wilaya ya Kigoma,mjumbe baraza kuu taifa na mjumbe mkutano mkuu wa chama taifa.

Amesema ameamua kukikimbia chama chake cha mwanzo kutokana na kutokuwa na matarajio ya kushika dola kutokana na aina ya siasa wanazo zifanya kwa sasa.

Aidha Ruhasha ameongeza kuwa kwa sasa kinahitajika chama chenye siasa mbadala ambacho kitatumia upole kusongesha mipango yao na si ukali kwani aina ya siasa kwa kipindi hiki imebadilika hivyo inapaswa pia vyama vya upinzani vitoe mwelekeo tofauti utakao sababisha matokeo mazuri.

 
Hatuamini vijana kutoka kigoma most of them cheapest na wanathamin matumbo yao kuliko kitu chochote mda wowote wanabadilika badilika.

Kihistoria tu vijana wajue NCCR haijawahi kuwa na mashiko kigoma, sasa leo hii itaweza.

Pili tangu lini kinyago kikamtisha mtengenezaji, hao vijana wa ACT na CHADEMA, bwana zitto ndio alikuwa kama role model wao leo wameungana kumuattack hawataweza maana zitto anawajua A to Z

Ngoja uone wanavyopotea.
 
Hatuamini vijana kutoka kigoma most of them cheapest na wanathamin matumbo yao kuliko kitu chochote mda wowote wanabadilika badilika

Kihistoria tu vijana wajue NCCR haijawahi kuwa na mashiko kigoma, sasa leo hii itaweza

Pili tangu lini kinyago kikamtisha mtengenezaji, hao vijana wa ACT na CHADEMA, bwana zitto ndio alikuwa kama role model wao leo wameungana kumuattack hawataweza maana zitto anawajua A to Z

Ngoja uone wanavyopotea
Dogo. Inawezekana siasa za Kigoma huzijui vizuri, hasa za upinzani. Ungekuwa unazijua vizuri, ungelijua kuwa 2010 - 2015 NCCR - Mageuzi ilikuwa na wabunge wanne Kigoma ambao ni Machali, Mkosamali, Kafulila na mwanamama Buyogera. Chadema haijawahi kuwa na wabunge zaidi ya wawili kwa wakati mmoja.
 
Mimi Jana nafamilia yangu ya watu 14 tumetangaza kuhama CCM kwenda Chadema. Tumechoshwa na chama kinachoendeleza ukandamizaji wa demokrasia hapa nchini.kutowajali wafanya biashara na mauaji ya wananchi kiholelaholela.
Ni mbaya sana kujiongopea mwenyewe. Kila mtu humu JF anajua wewe ni Nyumbu wa Ufipa. Sasa kusema umehama CCM kwenda Chadema ni ujuha dogo!
 
Dogo. Inawezekana sasa za Kigoma huzijui vizuri, has a za upinzani. Ungekiwa unazijua vizuri, ungelijua kuwa 2010 - 2015 NCCR - Mageuzi ilikuwa na wabunge wanne Kigoma ambao ni Machali, Mkosamali, Kafulila na mwanamama Buyogera. Chadema haijawahi kuwa na wabunge zaidi ya wawili kwa wakati mmoja.
hakika mkuu umenena hawa vijana wa doticom hawajui kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakika mkuu umenena hawa vijana wa doticom hawajui kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuamini vijana kutoka kigoma most of them cheapest na wanathamin matumbo yao kuliko kitu chochote mda wowote wanabadilika badilika.

Kihistoria tu vijana wajue NCCR haijawahi kuwa na mashiko kigoma, sasa leo hii itaweza.

Pili tangu lini kinyago kikamtisha mtengenezaji, hao vijana wa ACT na CHADEMA, bwana zitto ndio alikuwa kama role model wao leo wameungana kumuattack hawataweza maana zitto anawajua A to Z

Ngoja uone wanavyopotea.
acha blah blah kijana. hivi unawajua hawa?
1:Moses Machali
2;David kafulila
3;Felix Mkosamali

niambie walipata ubunge kigoma kwa chama gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom