mwakichi
JF-Expert Member
- May 14, 2011
- 417
- 95
Huyu ni kada ccm na mkuu wa wilaya ya mahenge,baada ya askari polis kuua raia wawil na kujeruh wengine watano huku wananchi wakishuhudia mkuu huyo wa wilaya ya mahenge mkoani morogoro anasema hiyo ni ajal kama bas lilivyoua wanataarabu..
Hivi serikal ya ccm inatupeleka wap?
Kwanin ccm inalea viongoz vihiyo kama hawa?
My take:
polisi na ninyi viongozi ni wachache sana ipo siku tutawauliza.
Source Itv habari
Hivi serikal ya ccm inatupeleka wap?
Kwanin ccm inalea viongoz vihiyo kama hawa?
My take:
polisi na ninyi viongozi ni wachache sana ipo siku tutawauliza.
Source Itv habari