nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 994
- 821
Nilichokuwa namaanisha baada ya leo biashara itakuwa inaendelea, kwasababu ni mpaka mnunuzi aje kujiridhisha, halafu hapo ulipo duka linatama barabara kubwa inayoelekea Bagamoyo?
Vifaa vya umeme sio vitu vya kuharibika na havina expire date. Naweza kuvifungia tuu huku nikiendlea kupambana na soko. Nikiona kodi ni changamoto naweza kuviamishia sehem ambayo haina changamoto ya kodi.