Kamwene kamwene
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,159
- 2,585
Kwanini usiache kijana aendelee kufanya biashara mkuu..
Kodi n maongezi tuu, fremu ipo pazuri. Ila piq sii lazima ubaki hapo hapo. Unaweza beba mzingoHiyo frem kodi ni sh ngapi? Kama ipo mahali pazuri uniachie
Frem pamoja na mali bei gani? Leseni ya biashara ipo? Kodi ya pango ni kiasi gani kwa mwezi? Bado muda gani kodi ya pango iishe. Unaweza kunifuata PM kwa biashara ya uhakikaMkuu itakuwa ngumu kwa mkopo. Bora niuze kwa discount kias kuliko hiyo ya awamu. Ukipokea pesa kdgo kidgo huwez kufanya kitu kingine kabisa mkuu
Mambo tuu yameingilia mkuu, natakiwa ArushaKwanini usiache kijana aendelee kufanya biashara mkuu..
Mzigo bado upo wakuu.. Nilipaata wateja watatu, changamoto ikajitokeza kidogp maana mwanzon nilikadiria mzigo wote ni 2.5M(Kwenye tangazo mwanzon).Tulivyokuja kupiga stock ikaja 3M na point kidogo. Wawili walirudi wakaesema walikuwa wamejiandaa kwa 2.5
Ni yeye tuu. Aweke pesa mezani achukua biashara nzuri ina-run tayar.
Sawa mkuuKasema umfuate pm
Mkuu kama upo vizuri njoo uchukue biashara inayo-run kwa pungufu ya laki 4. Mzigo wote unagharimu 3,016,450. Mm nataka unipe 2.6M tuu. Nikuachie. Nahitajika tangu last week Arusha na sijaenda bado.
Ngoja aje mkuu..
mkuu si upiga picha tu urushe hapa kwani kuna tatizo gani?
Sawa mkuumkuu si upiga picha tu urushe hapa kwani kuna tatizo gani?
Mzigo nimeshusha tena bei.. Njoo PM tumalize kazi hata leo. Hii ni zaidi ya bonus,hii kitu huwezi pata tena hadi unakufa,Kesho lazima niondoke.
Bila lain mkuuStock yote ni pamoja na iyo mitungi ya ges na lain za uwakala?
Mzigo nimeshusha tena bei.. Njoo PM tumalize kazi hata leo. Hii ni zaidi ya bonus,hii kitu huwezi pata tena hadi unakufa,Kesho lazima niondoke.
Vifaa vya umeme sio vitu vya kuharibika na havina expire date. Naweza kuvifungia tuu huku nikiendlea kupambana na soko. Nikiona kodi ni changamoto naweza kuviamishia sehem ambayo haina changamoto ya kodi.Kiongozi kama itashindikana leo kupata mteja inamaana biashara utamuachia nani?