Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 27,950
- 80,613
Kwani kuna madhara gani kwa nchi, iwapo hiyo UNESCO italiondoa hilo eneo la Selous kutoka kuwa hicho kinachoitwa alama za turathi za dunia?Sawa mkuu....
Nami nitendee haki, katika hizo hekari 1000 unazosema ,Selous imebakiwa na hekari kiasi gani ?!