Nothing happened lakini hiyo inaashiria jambo moja tu! Pamoja na kwamba Trump anapigwa madongo sana lakini 2020 anarudi madarakani! Wazungu kwa maana ya Wazungu, I mean Wazungu! Jina la kiungwana wakijulikana kama White Nationalists ingawaje kimsingi ni White Supremacy, kwa wale wanaojionesha wazi bila kujali na wale wanaojificha kwa ajili ya unafiki tu, wote hao ndio wafuasi wa Trump na ndio watazamaji wakubwa wa Fox News! Na ndio maana, sina shaka hata kidogo, ukitafuta takwimu za kidunia, Fox News hawawezi kuwa juu ya CNN!
Ni kama kuyafananisha mashirika ya utangazaji ya umma halafu SABC unaipambanisha na TBC!Akili tupu hii Mkuu kuwafananisha wapumbavu wa FOX NEWS na CNN wapi na wapi!
Hiyo findings ni ya US peke yake na sio duniani! Ni kweli, kwa US, Fox imepanda sana na inaizidi CNN lakini ukitoka toka tu US, CNN habari nyingine! Kwamba CNN ni waenezaji wazuri wa taarifa za uongo; hiyo ni kauli ya Trump ambayo amekuwa akiirudia mara kwa mara na hivi sasa kauli yake hiyo imedakwa na wafuasi! Kwa kifupi, Trump anaiita CNN kama Fake News; na kama US ingekuwa ndo Tanzania, hivi sasa CNN ingekuwa imetupwa "jela" zamani manake Trump hataki hata kuisikia!Lakini kupitia source mbalimbali 2009 kushuka CNN ilikuwa juu. After ten years tayari ime-drop, wengi wanasema CNN ni waenezaji wazuri wa taarifa za uongo na propaganda.
-
Pia baadhi wanasema Fox anaonekana amepanda kwa sababu ya multi-broadcasting within US.
Na wengine wanadai Fox kutokuwa na ushawishi Ulimwengu kote amejikita US zaidi na CNN amelala upande wa dunia.
Nothing happened lakini hiyo inaashiria jambo moja tu! Pamoja na kwamba Trump anapigwa madongo sana lakini 2020 anarudi madarakani! Wazungu kwa maana ya Wazungu, I mean Wazungu! Jina la kiungwana wakijulikana kama White Nationalists ingawaje kimsingi ni White Supremacy, kwa wale wanaojionesha wazi bila kujali na wale wanaojificha kwa ajili ya unafiki tu, wote hao ndio wafuasi wa Trump na ndio watazamaji wakubwa wa Fox News! Na ndio maana, sina shaka hata kidogo, ukitafuta takwimu za kidunia, Fox News hawawezi kuwa juu ya CNN!
Hiyo findings ni ya US peke yake na sio duniani! Ni kweli, kwa US, Fox imepanda sana na inaizidi CNN lakini ukitoka toka tu US, CNN habari nyingine! Kwamba CNN ni waenezaji wazuri wa taarifa za uongo; hiyo ni kauli ya Trump ambayo amekuwa akiirudia mara kwa mara na hivi sasa kauli yake hiyo imedakwa na wafuasi! Kwa kifupi, Trump anaiita CNN kama Fake News; na kama US ingekuwa ndo Tanzania, hivi sasa CNN ingekuwa imetupwa "jela" zamani manake Trump hataki hata kuisikia!
Ni kama kuyafananisha mashirika ya utangazaji ya umma halafu SABC unaipambanisha na TBC!
Akili tupu hii Mkuu kuwafananisha wapumbavu wa FOX NEWS na CNN wapi na wapi!