DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,663
- 3,882
Habari za kazi watu wa Mungu,
Hivi kuna ambaye amepata admission chuo (tofauti na OUT) kwa kutumia matokeo ya foundation ya open katika selection za mwaka huu?
Sent using Jamii Forums mobile app
N.B: Mode heading isomeke" kuna waliopata admission kwa matokeo ya Foundation ya OUT?".
Hivi kuna ambaye amepata admission chuo (tofauti na OUT) kwa kutumia matokeo ya foundation ya open katika selection za mwaka huu?
Sent using Jamii Forums mobile app
N.B: Mode heading isomeke" kuna waliopata admission kwa matokeo ya Foundation ya OUT?".