Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru

Utumwa wa kwanza unaanzia pale akili yako inapofungwa nira. Unadharau kila kitu cha kwako. Mpk na wewe unajidharau.musa alikuwa fimbo kw ajr ya kupambana na Farao. Lkn leo ungekuwa ni uchawi na ushetani
 
Huyu Forojo Ganze,alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru kule bagamoyo,walipewa kazi ya kuhakikisha rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote(Mwl.Nyerere),zindiko hilo lilifanyika bagamoyo ktk moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo,zoezi hilo lilienda sambamba na kumuuliza shetani na malaika zake ni jambo gani lifanyike ili Tanzania iendelee.

Forojo Ganze ndiye mtu pekee aliyeingia ktk hilo shimo kwaajili ya kuuliza,alikaa huko kwa muda wa siku 10 huku akiwa amewaacha wenzake nje wakimgoja atakuja na jibu gani ili wakampatie rais na wazee wa Dar es salaam,kilichoshangaza siku ya kumi na moja alitoka akiwa hoi hajiwezi akiwa kama mtu aliyepigwa na alikuwa anaongea lugha isiyofahamika,wenzake wakiwa wanaongozwa na Yahaya Hussien walimbeba hadi ikulu Dar es salaam na walipomfikisha mbele ya mwalimu Nyerere alitamka maneno hayo yanayohusu mwenge kwa kiswahili kisha akanyoosha juu mkono wake wa kulia ambao tayari ulikuwa umeandikwa namba hii 115,kisha akakata roho,baada ya mazishi mwalimu aliyafanyia kazi maneno ya Forojo Ganze akaanzisha mwenge wa uhuru bila kujua ulikuwa na maana gani,baada ya hapo aliwagiza yahya Hussein atafasiri maana ya ile namba 115.

Kama kawaida ya shehe Yahaya alitafasiri akamwambia kuwa namba hiyo inamaanisha "utakufa ukiwa na umri wa miaka 77 na taifa la Tanzania kwa kipindi hicho litakuwa na umri wa miaka 38,hii inamanisha ukichukua 77 umri wa mwalimu jumlisha 38 umri wa taifa utapata 115,na hii ndivyo ilivyokuwa,mwaka 1999 mwalimu alikufa akiwa na miaka 77 na taifa lilikuwa na miaka 38 ya uhuru (77+38=115) pia utamaduni wa rais kuongea na wazee wa Dar es salaam unaendelea hadi sasa na wamekuwa na maamuzi ya kitaifa na husikilizwa sana wanachokisema,mbona haijawahi kutokea rais akaongea na wazee wa bukoba jambo la kitaifa?,zindiko la bagamoyo linafanya kazi ,Safu hii ilikuwa ya watu 5 ambao ni. 1.mzee ramadhan,alizaliwa mwaka 1920,2.Ally tarazo(1929),3.Komwe wa Komwe(1918),4.Sheihe Yahya Hussein(1925),na 5.Forojo Ganze (1902)
Noma sana!
 
Bwana mdogo halafu ni binti wa miaka ...
Mkuu niliipata story kama hii kwa bwana mdogo mmoja ambaye ana mapepo, anasema huwa yanamwonesha mambo mengi kuhusu mazindiko aliyoyafanya Nyerere kule bagamoyo na makosa yaliyofanyika. Inaendana na hii kwa kiasi kikubwa na hii ingawa yule dogo huwa anaongea hivyo vitu akiwa possesed, na ni binti wa miaka 14, mwanzo nilikuwa siamini but now I'm connecting the dots.
 
Hiii sto
Huyu Forojo Ganze,alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru kule bagamoyo,walipewa kazi ya kuhakikisha rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote(Mwl.Nyerere),zindiko hilo lilifanyika bagamoyo ktk moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo,zoezi hilo lilienda sambamba na kumuuliza shetani na malaika zake ni jambo gani lifanyike ili Tanzania iendelee.

Forojo Ganze ndiye mtu pekee aliyeingia ktk hilo shimo kwaajili ya kuuliza,alikaa huko kwa muda wa siku 10 huku akiwa amewaacha wenzake nje wakimgoja atakuja na jibu gani ili wakampatie rais na wazee wa Dar es salaam,kilichoshangaza siku ya kumi na moja alitoka akiwa hoi hajiwezi akiwa kama mtu aliyepigwa na alikuwa anaongea lugha isiyofahamika,wenzake wakiwa wanaongozwa na Yahaya Hussien walimbeba hadi ikulu Dar es salaam na walipomfikisha mbele ya mwalimu Nyerere alitamka maneno hayo yanayohusu mwenge kwa kiswahili kisha akanyoosha juu mkono wake wa kulia ambao tayari ulikuwa umeandikwa namba hii 115,kisha akakata roho,baada ya mazishi mwalimu aliyafanyia kazi maneno ya Forojo Ganze akaanzisha mwenge wa uhuru bila kujua ulikuwa na maana gani,baada ya hapo aliwagiza yahya Hussein atafasiri maana ya ile namba 115.

Kama kawaida ya shehe Yahaya alitafasiri akamwambia kuwa namba hiyo inamaanisha "utakufa ukiwa na umri wa miaka 77 na taifa la Tanzania kwa kipindi hicho litakuwa na umri wa miaka 38,hii inamanisha ukichukua 77 umri wa mwalimu jumlisha 38 umri wa taifa utapata 115,na hii ndivyo ilivyokuwa,mwaka 1999 mwalimu alikufa akiwa na miaka 77 na taifa lilikuwa na miaka 38 ya uhuru (77+38=115) pia utamaduni wa rais kuongea na wazee wa Dar es salaam unaendelea hadi sasa na wamekuwa na maamuzi ya kitaifa na husikilizwa sana wanachokisema,mbona haijawahi kutokea rais akaongea na wazee wa bukoba jambo la kitaifa?,zindiko la bagamoyo linafanya kazi ,Safu hii ilikuwa ya watu 5 ambao ni. 1.mzee ramadhan,alizaliwa mwaka 1920,2.Ally tarazo(1929),3.Komwe wa Komwe(1918),4.Sheihe Yahya Hussein(1925),na 5.Forojo Ganze (1902)
Hii story ni nzuri sana Ndugu, sasa kama unaweza ukatupia humu kwa mapana zaidi itapendeza
 
Hiyo thread iko wapi na mimi niisome
samahani sana wana jf kwa kukaa kwangu kimya juu ya hii story kama mnavyojua wengi tumetokea mashambani hivyo nilikuwa kijijini kwetu kwa muda mrefu kidogo,kwa wale wanaohoji kuwa huyo Forojo Ganze anarelate vp na mwenge wa uhuru,tafadhali asome vzuri maeno aliyoyataja forojo ganze na ktk maneno hayo mwalimu alibuni mwenge wa uhuru bila kiujua ulikuwa na maana gani.Unaweza kujiuliza ilikuwaje mwalimu aanzishe mwenge bila kujua maana ake,jibu ni rahisi kwamba bwana Ganze alikuwa ni mchawi wa kutumainiwa ktk taifa hili na viongozi wake ktk harakati za kudai uhuru,pili litamka maneno hayo akiwa hoi kutokea bagamoyo ambako alikwenda kumuuliza shetani tufanye nn ili nchi ya tanzania iendelee na alikwenda huko akiwa ametumwa na na mwalimu pamoja na viongozi wengine,lakini alichokutana nacho ndani ya shimo hilo hadi leo hatujui maana alirushwa nje na akachukuliwa na shehe Yahaya Hussein akiwa hoi hajiwezi na alikuwa akiongea lugha isiyofahamika,kwahiyo watanzia sisi tumewekwa rehani kwa shetani,ili muweze kujua zaidi mambo haya nitaingiza thread inayohusu zindiko la nchi tulilofanyiwa kule lindi na ndiyo utaona wenzake na forojo ganze walishiriki kikamilifu na utaona baadhi ya watu mashuhuri pengine unaowafahamu,na ndiyo maana lindi haiendelei na haitaendelea kamwe,Mambo haya ni mwendelezo wa uchawi unaokimbatiwa na baadhi ya viongozi wetu ktk kutuweka kwa shetani
 
Halafu kuna mp**zi mmoja humu huwa anadai ati waislam ndo walopigania uhuru wa nchi hii, kumbe ana haki ya kudai, maana wakati wakristo wako kanisani kuikabidhi Tanzania kwa Bwana, Waislam wako Bagamoyo shimoni (iangalie hiyo crew, imejazwa na mabazazi wa nchi (mashekhe) wakiongozwa na huyo jini mtu Yahya.
Halafu eti Nimempa rais Kikwete ULINZI usioonekana, na hakuna wa kumgusa na rais anachekelea tu!
Ndio maana hatuna maendeleo nchi hii.
Uislam ni Janga la Dunia
CC: Mohamed Said BONGOLALA MziziMkavu
 
Halafu kuna mp**zi mmoja humu huwa anadai ati waislam ndo walopigania uhuru wa nchi hii, kumbe ana haki ya kudai, maana wakati wakristo wako kanisani kuikabidhi Tanzania kwa Bwana, Waislam wako Bagamoyo shimoni (iangalie hiyo crew, imejazwa na mabazazi wa nchi (mashekhe) wakiongozwa na huyo jini mtu Yahya.
Halafu eti Nimempa rais Kikwete ULINZI usioonekana, na hakuna wa kumgusa na rais anachekelea tu!
Ndio maana hatuna maendeleo nchi hii.
Uislam ni Janga la Dunia
CC: Mohamed Said BONGOLALA MziziMkavu
Wowowo wewe
 
Halafu kuna mp**zi mmoja humu huwa anadai ati waislam ndo walopigania uhuru wa nchi hii, kumbe ana haki ya kudai, maana wakati wakristo wako kanisani kuikabidhi Tanzania kwa Bwana, Waislam wako Bagamoyo shimoni (iangalie hiyo crew, imejazwa na mabazazi wa nchi (mashekhe) wakiongozwa na huyo jini mtu Yahya.
Halafu eti Nimempa rais Kikwete ULINZI usioonekana, na hakuna wa kumgusa na rais anachekelea tu!
Ndio maana hatuna maendeleo nchi hii.
Uislam ni Janga la Dunia
CC: Mohamed Said BONGOLALA MziziMkavu
Kenge
 
Huyu Forojo Ganze,alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru kule bagamoyo,walipewa kazi ya kuhakikisha rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote(Mwl.Nyerere),zindiko hilo lilifanyika bagamoyo ktk moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo,zoezi hilo lilienda sambamba na kumuuliza shetani na malaika zake ni jambo gani lifanyike ili Tanzania iendelee.

Forojo Ganze ndiye mtu pekee aliyeingia ktk hilo shimo kwaajili ya kuuliza,alikaa huko kwa muda wa siku 10 huku akiwa amewaacha wenzake nje wakimgoja atakuja na jibu gani ili wakampatie rais na wazee wa Dar es salaam,kilichoshangaza siku ya kumi na moja alitoka akiwa hoi hajiwezi akiwa kama mtu aliyepigwa na alikuwa anaongea lugha isiyofahamika,wenzake wakiwa wanaongozwa na Yahaya Hussien walimbeba hadi ikulu Dar es salaam na walipomfikisha mbele ya mwalimu Nyerere alitamka maneno hayo yanayohusu mwenge kwa kiswahili kisha akanyoosha juu mkono wake wa kulia ambao tayari ulikuwa umeandikwa namba hii 115,kisha akakata roho,baada ya mazishi mwalimu aliyafanyia kazi maneno ya Forojo Ganze akaanzisha mwenge wa uhuru bila kujua ulikuwa na maana gani,baada ya hapo aliwagiza yahya Hussein atafasiri maana ya ile namba 115.

Kama kawaida ya shehe Yahaya alitafasiri akamwambia kuwa namba hiyo inamaanisha "utakufa ukiwa na umri wa miaka 77 na taifa la Tanzania kwa kipindi hicho litakuwa na umri wa miaka 38,hii inamanisha ukichukua 77 umri wa mwalimu jumlisha 38 umri wa taifa utapata 115,na hii ndivyo ilivyokuwa,mwaka 1999 mwalimu alikufa akiwa na miaka 77 na taifa lilikuwa na miaka 38 ya uhuru (77+38=115) pia utamaduni wa rais kuongea na wazee wa Dar es salaam unaendelea hadi sasa na wamekuwa na maamuzi ya kitaifa na husikilizwa sana wanachokisema,mbona haijawahi kutokea rais akaongea na wazee wa bukoba jambo la kitaifa?,zindiko la bagamoyo linafanya kazi ,Safu hii ilikuwa ya watu 5 ambao ni. 1.mzee ramadhan,alizaliwa mwaka 1920,2.Ally tarazo(1929),3.Komwe wa Komwe(1918),4.Sheihe Yahya Hussein(1925),na 5.Forojo Ganze (1902)
So the guy was oldest in group.
 
Huyu Forojo Ganze,alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru kule bagamoyo,walipewa kazi ya kuhakikisha rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote(Mwl.Nyerere),zindiko hilo lilifanyika bagamoyo ktk moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo,zoezi hilo lilienda sambamba na kumuuliza shetani na malaika zake ni jambo gani lifanyike ili Tanzania iendelee.

Forojo Ganze ndiye mtu pekee aliyeingia ktk hilo shimo kwaajili ya kuuliza,alikaa huko kwa muda wa siku 10 huku akiwa amewaacha wenzake nje wakimgoja atakuja na jibu gani ili wakampatie rais na wazee wa Dar es salaam,kilichoshangaza siku ya kumi na moja alitoka akiwa hoi hajiwezi akiwa kama mtu aliyepigwa na alikuwa anaongea lugha isiyofahamika,wenzake wakiwa wanaongozwa na Yahaya Hussien walimbeba hadi ikulu Dar es salaam na walipomfikisha mbele ya mwalimu Nyerere alitamka maneno hayo yanayohusu mwenge kwa kiswahili kisha akanyoosha juu mkono wake wa kulia ambao tayari ulikuwa umeandikwa namba hii 115,kisha akakata roho,baada ya mazishi mwalimu aliyafanyia kazi maneno ya Forojo Ganze akaanzisha mwenge wa uhuru bila kujua ulikuwa na maana gani,baada ya hapo aliwagiza yahya Hussein atafasiri maana ya ile namba 115.

Kama kawaida ya shehe Yahaya alitafasiri akamwambia kuwa namba hiyo inamaanisha "utakufa ukiwa na umri wa miaka 77 na taifa la Tanzania kwa kipindi hicho litakuwa na umri wa miaka 38,hii inamanisha ukichukua 77 umri wa mwalimu jumlisha 38 umri wa taifa utapata 115,na hii ndivyo ilivyokuwa,mwaka 1999 mwalimu alikufa akiwa na miaka 77 na taifa lilikuwa na miaka 38 ya uhuru (77+38=115) pia utamaduni wa rais kuongea na wazee wa Dar es salaam unaendelea hadi sasa na wamekuwa na maamuzi ya kitaifa na husikilizwa sana wanachokisema,mbona haijawahi kutokea rais akaongea na wazee wa bukoba jambo la kitaifa?,zindiko la bagamoyo linafanya kazi ,Safu hii ilikuwa ya watu 5 ambao ni. 1.mzee ramadhan,alizaliwa mwaka 1920,2.Ally tarazo(1929),3.Komwe wa Komwe(1918),4.Sheihe Yahya Hussein(1925),na 5.Forojo Ganze (1902)
Ama hakika kama ni kweli basi zindiko hili ni zito mno kuwahi kutokea.
 
NSWECKY, p
Stori za Mwalimu kupelekwa Bagamoyo hata yeye wenyewe aliwahi kusema kuwa alichinjiwa Kondoo wakati damu inamwagika akaambiwa aruke shimo lilikuwa limecimbwa, na kunenwa maneno ya kuwa Twinning amekwisha , wakati wa kudai Uhuru.

Waliokuwa wanafanya kazi hiyo ni Mzee Tambaza aliyekuwa anaishi maeneo ya Muhmbili akiwa na wenzake. Pia walimpeleka hadi Bagamoyo kuombewa duha. Mambo haya yanafanyika hadi leo, siwezi kushangaa ila kibaya ni pale tunapotosha ukweli na kudandia stori ju kwa juu.
 
Back
Top Bottom