Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
kwa maana nyingine unamaanisha kuwa neno 'harambee' ni mantra? (mantra ni neno maalum lenye energy ambalo likirudiwa mara nyingi lina produce a certain effect}.Ndivyo ilivyo,jiulize juu ya Kenya waliokabidhi nchi kwa mungu wa wahindi ambaye ni amber,Kenya haitaendelea kuipita India sababu wanatumia mungu wao,hayo aliyafanya jomo kenyata,na akaweka kauli mbiu ya HARAMBEE,( neno HAR ni neno la Kihindi maana yake Tukuza,na AMBEE ni mungu wa wahindi,kwahiyo HAR+AMBEE=HARAMBEE yaani Tukuza Ambee),kenya imewekwa rehani india na ikiangalia nyaraka zote za serikali ya kenya zina neno HARAMBEE hadi nembo ya taifa Lao,sasa hivi HARAMBEE imeingia Tanzania kila Changizo la kuchangia chochote liwe au kidini au kiserikali wanasema tunafanya HARAMBEE ya kuchangia kitu fulani,kwahilo hatuwezi kuendelea na kuwapita kenya maana tunatukuza mungu wao waliyemtoa india hivyo hawezi kutupa zaidi tukawapita wakenya kimaendeleo,chunguza hilo
ujue hata wayahudi kina ben Gurion mwaka 1948 nchi yao waliamua waiitie ISRAEL ikiwa ni muunganiko wa majina ya miungu wao watatu ISIS, RA, na ELOHIM. Isije ikawa huyu HAR ikawa ni corruption ya jina RA au RAMA wa mahabarata.