Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru

Ndivyo ilivyo,jiulize juu ya Kenya waliokabidhi nchi kwa mungu wa wahindi ambaye ni amber,Kenya haitaendelea kuipita India sababu wanatumia mungu wao,hayo aliyafanya jomo kenyata,na akaweka kauli mbiu ya HARAMBEE,( neno HAR ni neno la Kihindi maana yake Tukuza,na AMBEE ni mungu wa wahindi,kwahiyo HAR+AMBEE=HARAMBEE yaani Tukuza Ambee),kenya imewekwa rehani india na ikiangalia nyaraka zote za serikali ya kenya zina neno HARAMBEE hadi nembo ya taifa Lao,sasa hivi HARAMBEE imeingia Tanzania kila Changizo la kuchangia chochote liwe au kidini au kiserikali wanasema tunafanya HARAMBEE ya kuchangia kitu fulani,kwahilo hatuwezi kuendelea na kuwapita kenya maana tunatukuza mungu wao waliyemtoa india hivyo hawezi kutupa zaidi tukawapita wakenya kimaendeleo,chunguza hilo
kwa maana nyingine unamaanisha kuwa neno 'harambee' ni mantra? (mantra ni neno maalum lenye energy ambalo likirudiwa mara nyingi lina produce a certain effect}.

ujue hata wayahudi kina ben Gurion mwaka 1948 nchi yao waliamua waiitie ISRAEL ikiwa ni muunganiko wa majina ya miungu wao watatu ISIS, RA, na ELOHIM. Isije ikawa huyu HAR ikawa ni corruption ya jina RA au RAMA wa mahabarata.
 
ni historia ambayo watanzania walio wengi wangependa kuifahamu kiundani na uhalali wake pia kwa sababu tuliowengi hatujui ni nini hasa chanzo cha huu mwenge na ulazima wake wa kuzungushwa karibu nchi nzima kila mwaka
 
ohhhhhh sasa naweza unganisha dots

.....CCM wanashabikia mwenge hivyo ni chama cha ibada ya mashetani
.......na ndio maana hatuendelei...... thx jf kwa hili dah
 
(Baba,sisi tunataka kiwasha mwenge na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro,umulike hata nje ya mipaka yetu,ulete tumaini mahala pasipo na tumaini,faraja palipo na huzuni,tumaini pasipo na tumaini,upendo penye chuki na heshima palipo na dharau),baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl.Nyerere,Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa mwenge wa uhuru,kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU",inamaana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa,na kwann Forojo Ganze hakutangazwa kama mwanzilishi wa Mwenge?

Kaka una stori nzuri sana yenye faida kwa watanzania wengi umeianzisha mwenyewe lakini nasikitika kila ukiulizwa FOROJO GANZE ni vipi alihusika na mwenge maelezo yako huyatoi yote kwa maelekezo utafutwe ndipo useme kila kitu sasa kama uliona ni siri kwa nini uliandika humu jf na kutuweka roho juu wana jf?

Kuna mzungu mmoja kigoma alimuua muha mmoja baada ya huyo muha kumuonyesha kuwa anao uwezo wa kumpeleka ulaya bila kupanda ndege na jaribio lilifanyika na mzungu akafika kwao kwa usiku mmoja na akarudi kigoma lakini jambo la kusikitisha mzungu alipotaka kufundishwa elimu ile ya kwenda ulaya bila ndege na kurudi Tanzania kwa usiku mmoja muha alileta za kuleta alibembelezwa mpka kwa fedha lakini akatia ngumu mzungu akaona hapa dawa yake ni kumtwanga shaba tu na kweli yule jamaa akauwawa.

Sasa wewe unatuanzishia jambo kubwa kama hili la mwenge halafu unaanza kurukaruka maana yake nini? Kumbuka madhara ya mwenge ni makubwa kwa nchi yetu na pia gharama zake ni kubwa lakini aslimia 99.9 ya watanzania wote hatujui maana yake sasa hebu weka mambo hadarani tujue siri ya urembo usiwe na hofu kwakuwa unatumia pen name fanya kweli.
 
Huyu Forojo Ganze,alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru kule bagamoyo,walipewa kazi ya kuhakikisha rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote(Mwl.Nyerere),zindiko hilo lilifanyika bagamoyo ktk moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo,zoezi hilo lilienda sambamba na kumuuliza shetani na malaika zake ni jambo gani lifanyike ili Tanzania iendelee,Forojo Ganze ndiye mtu pekee aliyeingia ktk hilo shimo kwaajili ya kuuliza,alikaa huko kwa muda wa siku 10 huku akiwa amewaacha wenzake nje wakimgoja atakuja na jibu gani ili wakampatie rais na wazee wa Dar es salaam,kilichoshangaza siku ya kumi na moja alitoka akiwa hoi hajiwezi akiwa kama mtu aliyepigwa na alikuwa anaongea lugha isiyofahamika,wenzake wakiwa wanaongozwa na Yahaya Hussien walimbeba hadi ikulu Dar es salaam na walipomfikisha mbele ya mwalimu Nyerere alitamka maneno hayo yanayohusu mwenge kwa kiswahili kisha akanyoosha juu mkono wake wa kulia ambao tayari ulikuwa umeandikwa namba hii 115,kisha akakata roho,baada ya mazishi mwalimu aliyafanyia kazi maneno ya Forojo Ganze akaanzisha mwenge wa uhuru bila kujua ulikuwa na maana gani,baada ya hapo aliwagiza yahya Hussein atafasiri maana ya ile namba 115,kama kawaida ya shehe Yahaya alitafasiri akamwambia kuwa namba hiyo inamaanisha "utakufa ukiwa na umri wa miaka 77 na taifa la Tanzania kwa kipindi hicho litakuwa na umri wa miaka 38,hii inamanisha ukichukua 77 umri wa mwalimu jumlisha 38 umri wa taifa utapata 115,na hii ndivyo ilivyokuwa,mwaka 1999 mwalimu alikufa akiwa na miaka 77 na taifa lilikuwa na miaka 38 ya uhuru (77+38=115) pia utamaduni wa rais kuongea na wazee wa Dar es salaam unaendelea hadi sasa na wamekuwa na maamuzi ya kitaifa na husikilizwa sana wanachokisema,mbona haijawahi kutokea rais akaongea na wazee wa bukoba jambo la kitaifa?,zindiko la bagamoyo linafanya kazi ,Safu hii ilikuwa ya watu 5 ambao ni. 1.mzee ramadhan,alizaliwa mwaka 1920,2.Ally tarazo(1929),3.Komwe wa Komwe(1918),4.Sheihe Yahya Hussein(1925),na 5.Forojo Ganze (1902)

nimeipenda
 
samahani sana wana jf kwa kukaa kwangu kimya juu ya hii story kama mnavyojua wengi tumetokea mashambani hivyo nilikuwa kijijini kwetu kwa muda mrefu kidogo,kwa wale wanaohoji kuwa huyo Forojo Ganze anarelate vp na mwenge wa uhuru,tafadhali asome vzuri maeno aliyoyataja forojo ganze na ktk maneno hayo mwalimu alibuni mwenge wa uhuru bila kiujua ulikuwa na maana gani.

Unaweza kujiuliza ilikuwaje mwalimu aanzishe mwenge bila kujua maana ake, jibu ni rahisi kwamba bwana Ganze alikuwa ni mchawi wa kutumainiwa ktk taifa hili na viongozi wake ktk harakati za kudai uhuru, pili litamka maneno hayo akiwa hoi kutokea bagamoyo ambako alikwenda kumuuliza shetani tufanye nn ili nchi ya tanzania iendelee na alikwenda huko akiwa ametumwa na na mwalimu pamoja na viongozi wengine,lakini alichokutana nacho ndani ya shimo hilo hadi leo hatujui maana alirushwa nje na akachukuliwa na shehe Yahaya Hussein akiwa hoi hajiwezi na alikuwa akiongea lugha isiyofahamika.

kwahiyo watanzia sisi tumewekwa rehani kwa shetani,ili muweze kujua zaidi mambo haya nitaingiza thread inayohusu zindiko la nchi tulilofanyiwa kule lindi na ndiyo utaona wenzake na forojo ganze walishiriki kikamilifu na utaona baadhi ya watu mashuhuri pengine unaowafahamu,na ndiyo maana lindi haiendelei na haitaendelea kamwe,Mambo haya ni mwendelezo wa uchawi unaokimbatiwa na baadhi ya viongozi wetu ktk kutuweka kwa shetani
 
samahani sana wana jf kwa kukaa kwangu kimya juu ya hii story kama mnavyojua wengi tumetokea mashambani hivyo nilikuwa kijijini kwetu kwa muda mrefu kidogo,kwa wale wanaohoji kuwa huyo Forojo Ganze anarelate vp na mwenge wa uhuru,tafadhali asome vzuri maeno aliyoyataja forojo ganze na ktk maneno hayo mwalimu alibuni mwenge wa uhuru bila kiujua ulikuwa na maana gani.Unaweza kujiuliza ilikuwaje mwalimu aanzishe mwenge bila kujua maana ake,jibu ni rahisi kwamba bwana Ganze alikuwa ni mchawi wa kutumainiwa ktk taifa hili na viongozi wake ktk harakati za kudai uhuru,pili litamka maneno hayo akiwa hoi kutokea bagamoyo ambako alikwenda kumuuliza shetani tufanye nn ili nchi ya tanzania iendelee na alikwenda huko akiwa ametumwa na na mwalimu pamoja na viongozi wengine,lakini alichokutana nacho ndani ya shimo hilo hadi leo hatujui maana alirushwa nje na akachukuliwa na shehe Yahaya Hussein akiwa hoi hajiwezi na alikuwa akiongea lugha isiyofahamika,kwahiyo watanzia sisi tumewekwa rehani kwa shetani,ili muweze kujua zaidi mambo haya nitaingiza thread inayohusu zindiko la nchi tulilofanyiwa kule lindi na ndiyo utaona wenzake na forojo ganze walishiriki kikamilifu na utaona baadhi ya watu mashuhuri pengine unaowafahamu,na ndiyo maana lindi haiendelei na haitaendelea kamwe,Mambo haya ni mwendelezo wa uchawi unaokimbatiwa na baadhi ya viongozi wetu ktk kutuweka kwa shetani
Mkuu niliipata story kama hii kwa bwana mdogo mmoja ambaye ana mapepo, anasema huwa yanamwonesha mambo mengi kuhusu mazindiko aliyoyafanya Nyerere kule bagamoyo na makosa yaliyofanyika. Inaendana na hii kwa kiasi kikubwa na hii ingawa yule dogo huwa anaongea hivyo vitu akiwa possesed, na ni binti wa miaka 14, mwanzo nilikuwa siamini but now I'm connecting the dots.
 
Halafu kuna mp**zi mmoja humu huwa anadai ati waislam ndo walopigania uhuru wa nchi hii, kumbe ana haki ya kudai, maana wakati wakristo wako kanisani kuikabidhi Tanzania kwa Bwana, Waislam wako Bagamoyo shimoni (iangalie hiyo crew, imejazwa na mabazazi wa nchi (mashekhe) wakiongozwa na huyo jini mtu Yahya.

Halafu eti Nimempa rais Kikwete ULINZI usioonekana, na hakuna wa kumgusa na rais anachekelea tu!
Ndio maana hatuna maendeleo nchi hii.
Uislam ni Janga la Dunia
CC: Mohamed Said BONGOLALA MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
Halafu kuna mp**zi mmoja humu huwa anadai ati waislam ndo walopigania uhuru wa nchi hii, kumbe ana haki ya kudai, maana wakati wakristo wako kanisani kuikabidhi Tanzania kwa Bwana, Waislam wako Bagamoyo shimoni (iangalie hiyo crew, imejazwa na mabazazi wa nchi (mashekhe) wakiongozwa na huyo jini mtu Yahya. Halafu eti Nimempa rais Kikwete ULINZI usioonekana, na hakuna wa kumgusa na rais anachekelea tu!Ndio maana hatuna maendeleo nchi hii.Uislam ni Janga la DuniaCC: Mohamed Said BONGOLALA MziziMkavu
coment yako yaonesha hauna busara, unataka kuharubu thread, wenye busara wamekushtukia
 
Mkuu niliipata story kama hii kwa bwana mdogo mmoja ambaye ana mapepo, anasema huwa yanamwonesha mambo mengi kuhusu mazindiko aliyoyafanya Nyerere kule bagamoyo na makosa yaliyofanyika. Inaendana na hii kwa kiasi kikubwa na hii ingawa yule dogo huwa anaongea hivyo vitu akiwa possesed, na ni binti wa miaka 14, mwanzo nilikuwa siamini but now I'm connecting the dots.

hiyo ni hali halisi kabisa na huyo mtoto huongozwa na mapepo yenyeuhusiano na jambo hili kimwonekano,bagamoyo ndilo eneo palipo uawa nhi yetu kimaendeleo,kielimu,kiuchumi na kadhalika,baada ya kuuawa kwa taifa letu hapo bagamoyo likaenda kuzikwa kule Lindi kwa zindiko la nchi,kunawatanzania wenzetu wanateseka hadi kesho pale lindi ndani ya shimo lizungukalo wakiwa wamewekwa humo kama zindiko,hii mada ya zindiko nitawaletea hiv karibuni muone tulivyowekwa gizani kwa bila kujijua watanzania.

Wanalindi watakuwa masikini hadi kufa kwao kizazi na kizazi,pia utatambua ni kwann Jackson Makweta chaguo la watanzania na mkombozi wa taifa kutoka ukoloni mamboleo hakuchukua urais mwaka 1995 na akazimwa kama mshumaa kisiasa hadi umauti ulipomkuta,lakini pamoja na hayo alikufa akiililia tanzania na watu wake,ZINDIKO LA LINDI LILIFANYA KAZI
 
hiyo ni hali halisi kabisa na huyo mtoto huongozwa na mapepo yenyeuhusiano na jambo hili kimwonekano,bagamoyo ndilo eneo palipo uawa nhi yetu kimaendeleo,kielimu,kiuchumi na kadhalika,baada ya kuuawa kwa taifa letu hapo bagamoyo likaenda kuzikwa kule Lindi kwa zindiko la nchi,kunawatanzania wenzetu wanateseka hadi kesho pale lindi ndani ya shimo lizungukalo wakiwa wamewekwa humo kama zindiko,hii mada ya zindiko nitawaletea hiv karibuni muone tulivyowekwa gizani kwa bila kujijua watanzania,Wanalindi watakuwa masikini hadi kufa kwao kizazi na kizazi,pia utatambua ni kwann Jackson Makweta chaguo la watanzania na mkombozi wa taifa kutoka ukoloni mamboleo hakuchukua urais mwaka 1995 na akazimwa kama mshumaa kisiasa hadi umauti ulipomkuta,lakini pamoja na hayo alikufa akiililia tanzania na watu wake,ZINDIKO LA LINDI LILIFANYA KAZI

Acha uongo_Tanzania ni maskini kwasababu watu wake wengi wana mawazo ya hovyo hovyo kama ya kwako i.e iman za uchawi na ulozi kama unavyowaza na kuamini wewe ndio mnyororo unaoifunga hii nchi.
 
Mkuu niliipata story kama hii kwa bwana mdogo mmoja ambaye ana mapepo, anasema huwa yanamwonesha mambo mengi kuhusu mazindiko aliyoyafanya Nyerere kule bagamoyo na makosa yaliyofanyika. Inaendana na hii kwa kiasi kikubwa na hii ingawa yule dogo huwa anaongea hivyo vitu akiwa possesed, na ni binti wa miaka 14, mwanzo nilikuwa siamini but now I'm connecting the dots.

sasa "bwana mdogo" halafu ni bint tena?
 
Acha uongo_Tanzania ni maskini kwasababu watu wake wengi wana mawazo ya hovyo hovyo kama ya kwako i.e iman za uchawi na ulozi kama unavyowaza na kuamini wewe ndio mnyororo unaoifunga hii nchi.

utabaki hivyohivyo na ujinga wako,wewe kama unamawazo mazuri umeifanyia nn tanzania kama siyo uchizi ulionao,Soma alama za nyakati mbulula wewe
 
utabaki hivyohivyo na ujinga wako,wewe kama unamawazo mazuri umeifanyia nn tanzania kama siyo uchizi ulionao,Soma alama za nyakati mbulula wewe

ahahahahahahaaaaaaaaaaaaa_nafikiri wewe ndio mjinga mkuu_unaleta habari za kumbi na kumbinga ambazo haukuwepo na hauna ushahidi nazo,.sasa sijui hilo ndio unaifanyia Tanzania vizuri...!....haya kila la kheri na story yako ya mwenge mkuu
 
ahahahahahahaaaaaaaaaaaaa_nafikiri wewe ndio mjinga mkuu_unaleta habari za kumbi na kumbinga ambazo haukuwepo na hauna ushahidi nazo,.sasa sijui hilo ndio unaifanyia Tanzania vizuri...!....haya kila la kheri na story yako ya mwenge mkuu

inaonekana wewe haujasoma mbulula wewe,historia umesoma wewe ----- au unaongea tuu,waulize wanahistoria waliyoyaandika ktk vtabu walikuwepo kuyashuhudia,acha ujunga wewe gamba
 
Back
Top Bottom