mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,036
Napendekeza formula Mpya itakayoweza kumaliza kabisa mzozo wa waisrael na wapalestina. Formula hii inazingatia :
1. Msingi wa tatizo
2. Ukweli wa kihistoria
3. Kanuni za urithi
Ninaamini ikifanyiwa kazi italeta matokeo chanya na jumuia ya kimataifa italazimika kunipa tuzo ya Nobele (Nobel Prize)
Ufafanuzi: 1. Msingi wa Tatizo. Msingi wa tatizo ni kugombania mahali pa kuishi ambapo kila taifa kati ya Israel na Palestina anaona anastahili kuwa hapo. Wapalestina wanaona nchi yote inayoitwa Israel ni yao na inapaswa kuitwa Palestina na mji wake mkuu ni Yerusalemu!
Hali kadhalika, Waisrael wanaona nchi yote wanayokaa wao kwa sasa na ile sehemu wanayokaa wapalestina ni nchi yao ambayo walipokonywa kwa nguvu na kupelekwa uhamishoni! Na wanaona wana haki na wajibu wa kuirejesha yote hatua kwa hatua na Yerusalemu ni mji wao mkuu! Hilo ndilo tatizo la msingi!
2. Ukweli wa kihistoria: Wapalestina na waisrael wote wanagombea nchi moja kutokana na ukweli wa kihistoria unaofahamika wazi. Asili ya wote hawa ni pale pale wanapopagombania! Hii ni kwa sababu waisrael na wapalestina ni ndugu wa damu! Wote baba yao ni mmoja anaitwa Ibrahimu! Ibrahim alizaa watoto wawili wa mwanzo, lakini kwa mama wawili tofauti. Wa kwanza ni Ishmael. Huyu ni mtoto wa haram kwa msingi kuwa alizaliwa nje ya ndoa! Ibrahimu baada ya kuona kuwa mke wake wa ndoa Sara ni tasa na mzee sana alisikiliza ushauri mbaya wa mke wake aliyemtaka aingie kwa mjakazi wake Hajiri ili apate mtoto! Kwa hiyo Ibrahim akazaa na mjakazi wa Sara na akazaliwa Ishmael.
Uzao wa Ishmael ndo ulizaa waarabu wote wakiwemo wapalestina!
Lakini baadaye Mungu alifanya muujiza Sarah akapata mimba katika uzee sana wa miaka 90 na akamzaa mtoto halali wa kwenye ndoa akaitwa Isaka! Isaka alizaa watoto wawili mapacha, Mkubwa Esau, na mdogo wake Yakobo. Yakobo baadaye alibadilishiwa jina akaitwa Israel. Uzao wa Israel ndo ulileta waisrael wote na taifa lote la Israel. Sasa uzao wa Israel unaotokana na Isaka mtoto halali wa Ibrahimu na uzao wa Ishmael mtoto haramu wa Ibrahimu, wote wanataka urithi kwa mzee wao Ibrahimu kwa maana ya ardhi aliyokuwa anamiliki Ibrahimu, seke seke liko hapo!
3.Kanuni za urithi: Kanuni za urithi za waisrael hazipishani na za waarabu. Mtoto wa haramu hana haki ya kurithi, sana sana baba akiwa hai anaweza kumpa chochote kama sehemu ya uwajibikaji wa matunzo ya mtoto/ mwana wake, lakini haihesabiki kuwa ni urithi!
Kwa maana hiyo uzao wa Ishmael hauna sehemu ya urithi kwa Ibrahim, bali uzao wa Ishmael ambao ni waarabu wakiwemo na wapalestina wana haki ya kurithi kwa Ishmael! Mungu alimpa Ishmael ardhi kubwa na utajiri mkubwa sana! Kwa bahati mbaya waarabu wamewatenga ndugu zao na waarabu wenzao waitwao wapalestina kwenye kurithi kwa mzee wao Ishmael. Lakini wanamsukumiza akarithi mahali ambapo ni mtoto wa haramu huku wakijua kabisa hata kwa mujibu wa dini yao wenyewe kuwa huko wanakomsukumizia hana urithi kwa sababu ni mtoto wa nje ya ndoa. Kwa mujibu wa uislamu mtoto wa nje ya ndoa huwa harithi. Kwa hiyo hawa waarabu wenzake ndo wamewadhulumu wapalestina urithi walioustahili kwa Ishmael maana ndiye baba yao wote!
Formula ya suluhisho: (A) Wapalestina kama walivyo waarabu wengine wanastahili kuwa na taifa lao kama walivyo wasaudia, wairan, wasyria nk. Itafutwe/zitafutwe nchi za kiarabu ambazo zina eneo kubwa zaidi kuliko waarabu wengine! Hawa wenye eneo kubwa zaidi ya wenzao ndio waliowapunja wenzao kwenye kurithi toka kwa mzee wao Ishmael! Hawa waambiwe wamege kipande muafaka cha ardhi ili wapewe ndugu zao wapalestina! Kwa nini wao warithi sehemu kubwa kuliko wengine wakati watoto wana haki sawa ya kurithi toka kwa baba yao Ishmael?
Kwa maana hiyo, Iraq, na Syria zitoe sehemu hiyo ya ardhi. Na ninapendekeza ile sehemu iliyokuwa imetekwa na IS (Islamic State) ya Syria na Iraq wapewe wapalestina kama urithi wao halali kwa baba yao Ishmael waliokuwa wamedhulumiwa na ndugu zao waarabu.
(B) Baada ya wapalestina kupewa eneo hilo, kila taifa la kiarabu liwachangie USD 5 bilioni (isipokuwa Iraq na Syria waliotoa ardhi), kama fidia kwa ndugu zao waliokuwa wamewatenga kwenye urithi! Kwa bahati nzuri hiyo ni pesa ndogo sana kwa mataifa ya kiarabu! Halafu hiyo sehemu tayari ina visima vya mafuta na Palestina litakuwa taifa kubwa na lenye nguvu na uchumi mzuri sana ndani ya miaka 5 tu! Mji wake mkuu napendekeza uwe Allepo!
Kama kila taifa LA kiarabu likichachangia hivyo, miji yote iliyoharibiwa kwa vita dhidi ya IS itajengwa upya! Na taasisi za kielimu kama shule na vyuo vitajengwa upya!
Kama waarabu wakikataa, basi wakome kulaumu na kulalamika! Kama wao wameshindwa kumsaidia ndugu yao, kwa nini wanategemea akakaribishwe na kupewa urithi ambako ni mtoto wa kambo? Nawasilisha na karibuni kwa michango!
1. Msingi wa tatizo
2. Ukweli wa kihistoria
3. Kanuni za urithi
Ninaamini ikifanyiwa kazi italeta matokeo chanya na jumuia ya kimataifa italazimika kunipa tuzo ya Nobele (Nobel Prize)
Ufafanuzi: 1. Msingi wa Tatizo. Msingi wa tatizo ni kugombania mahali pa kuishi ambapo kila taifa kati ya Israel na Palestina anaona anastahili kuwa hapo. Wapalestina wanaona nchi yote inayoitwa Israel ni yao na inapaswa kuitwa Palestina na mji wake mkuu ni Yerusalemu!
Hali kadhalika, Waisrael wanaona nchi yote wanayokaa wao kwa sasa na ile sehemu wanayokaa wapalestina ni nchi yao ambayo walipokonywa kwa nguvu na kupelekwa uhamishoni! Na wanaona wana haki na wajibu wa kuirejesha yote hatua kwa hatua na Yerusalemu ni mji wao mkuu! Hilo ndilo tatizo la msingi!
2. Ukweli wa kihistoria: Wapalestina na waisrael wote wanagombea nchi moja kutokana na ukweli wa kihistoria unaofahamika wazi. Asili ya wote hawa ni pale pale wanapopagombania! Hii ni kwa sababu waisrael na wapalestina ni ndugu wa damu! Wote baba yao ni mmoja anaitwa Ibrahimu! Ibrahim alizaa watoto wawili wa mwanzo, lakini kwa mama wawili tofauti. Wa kwanza ni Ishmael. Huyu ni mtoto wa haram kwa msingi kuwa alizaliwa nje ya ndoa! Ibrahimu baada ya kuona kuwa mke wake wa ndoa Sara ni tasa na mzee sana alisikiliza ushauri mbaya wa mke wake aliyemtaka aingie kwa mjakazi wake Hajiri ili apate mtoto! Kwa hiyo Ibrahim akazaa na mjakazi wa Sara na akazaliwa Ishmael.
Uzao wa Ishmael ndo ulizaa waarabu wote wakiwemo wapalestina!
Lakini baadaye Mungu alifanya muujiza Sarah akapata mimba katika uzee sana wa miaka 90 na akamzaa mtoto halali wa kwenye ndoa akaitwa Isaka! Isaka alizaa watoto wawili mapacha, Mkubwa Esau, na mdogo wake Yakobo. Yakobo baadaye alibadilishiwa jina akaitwa Israel. Uzao wa Israel ndo ulileta waisrael wote na taifa lote la Israel. Sasa uzao wa Israel unaotokana na Isaka mtoto halali wa Ibrahimu na uzao wa Ishmael mtoto haramu wa Ibrahimu, wote wanataka urithi kwa mzee wao Ibrahimu kwa maana ya ardhi aliyokuwa anamiliki Ibrahimu, seke seke liko hapo!
3.Kanuni za urithi: Kanuni za urithi za waisrael hazipishani na za waarabu. Mtoto wa haramu hana haki ya kurithi, sana sana baba akiwa hai anaweza kumpa chochote kama sehemu ya uwajibikaji wa matunzo ya mtoto/ mwana wake, lakini haihesabiki kuwa ni urithi!
Kwa maana hiyo uzao wa Ishmael hauna sehemu ya urithi kwa Ibrahim, bali uzao wa Ishmael ambao ni waarabu wakiwemo na wapalestina wana haki ya kurithi kwa Ishmael! Mungu alimpa Ishmael ardhi kubwa na utajiri mkubwa sana! Kwa bahati mbaya waarabu wamewatenga ndugu zao na waarabu wenzao waitwao wapalestina kwenye kurithi kwa mzee wao Ishmael. Lakini wanamsukumiza akarithi mahali ambapo ni mtoto wa haramu huku wakijua kabisa hata kwa mujibu wa dini yao wenyewe kuwa huko wanakomsukumizia hana urithi kwa sababu ni mtoto wa nje ya ndoa. Kwa mujibu wa uislamu mtoto wa nje ya ndoa huwa harithi. Kwa hiyo hawa waarabu wenzake ndo wamewadhulumu wapalestina urithi walioustahili kwa Ishmael maana ndiye baba yao wote!
Formula ya suluhisho: (A) Wapalestina kama walivyo waarabu wengine wanastahili kuwa na taifa lao kama walivyo wasaudia, wairan, wasyria nk. Itafutwe/zitafutwe nchi za kiarabu ambazo zina eneo kubwa zaidi kuliko waarabu wengine! Hawa wenye eneo kubwa zaidi ya wenzao ndio waliowapunja wenzao kwenye kurithi toka kwa mzee wao Ishmael! Hawa waambiwe wamege kipande muafaka cha ardhi ili wapewe ndugu zao wapalestina! Kwa nini wao warithi sehemu kubwa kuliko wengine wakati watoto wana haki sawa ya kurithi toka kwa baba yao Ishmael?
Kwa maana hiyo, Iraq, na Syria zitoe sehemu hiyo ya ardhi. Na ninapendekeza ile sehemu iliyokuwa imetekwa na IS (Islamic State) ya Syria na Iraq wapewe wapalestina kama urithi wao halali kwa baba yao Ishmael waliokuwa wamedhulumiwa na ndugu zao waarabu.
(B) Baada ya wapalestina kupewa eneo hilo, kila taifa la kiarabu liwachangie USD 5 bilioni (isipokuwa Iraq na Syria waliotoa ardhi), kama fidia kwa ndugu zao waliokuwa wamewatenga kwenye urithi! Kwa bahati nzuri hiyo ni pesa ndogo sana kwa mataifa ya kiarabu! Halafu hiyo sehemu tayari ina visima vya mafuta na Palestina litakuwa taifa kubwa na lenye nguvu na uchumi mzuri sana ndani ya miaka 5 tu! Mji wake mkuu napendekeza uwe Allepo!
Kama kila taifa LA kiarabu likichachangia hivyo, miji yote iliyoharibiwa kwa vita dhidi ya IS itajengwa upya! Na taasisi za kielimu kama shule na vyuo vitajengwa upya!
Kama waarabu wakikataa, basi wakome kulaumu na kulalamika! Kama wao wameshindwa kumsaidia ndugu yao, kwa nini wanategemea akakaribishwe na kupewa urithi ambako ni mtoto wa kambo? Nawasilisha na karibuni kwa michango!