Tukumbushe hiyo fomulaRudi shule kwanza ujifunze kuandika kijana afu ndo uje JF kumpongeza Mr mitano tena
Ukipunguza umbulula utaelewa tu MTU akifa kama hawezi piga chafya au kuchuruzika maji na maiti ikapigwa dawa za kutosha hakuna madhara unless hujui maana ya virus. Katika hotuba tangulizi mkemia Dr. JPM alifafanua vizuri kuwa virus ni kimelea kinachojiunda kwenye mafuta hivyo kinaweza kuyeyuka kwenye joto kali. Ndio maana unashauliwa kula nanasi nyingi, limau, pilipiki tangawizi ili damu izunguke na kupata kinga ikiwa na joto , mpaka sasa hakuna dawa ila wazungu wanatulazikisha na kinga kuja kutudhuruNyankurungu2020 said:Kama alikuwa na Covid 19 na wewe umefika kwake msibani basi hata wewe utakuwa umeipata. Maana huu ugonjwa unaambukizwa kwa kupiga chafya au kugusana.
Umesema watoto wa marehemu dereva hawajawekwa karantini. Una maanisha wana maambukizi,wewe si uligusana nao. Kwa hiyo tayari unao ugonjwa. Au fomula ya Nimr inakusaidia?Ukipunguza umbulula utaelewa tu MTU akifa kama hawezi piga chafya au kuchuruzika maji na maiti ikapigwa dawa za kutosha hakuna madhara unless hujui maana ya virus. Katika hotuba tangulizi mkemia Dr. JPM alifafanua vizuri kuwa virus ni kimelea kinachojiunda kwenye mafuta hivyo kinaweza kuyeyuka kwenye joto kali. Ndio maana unashauliwa kula nanasi nyingi, limau, pilipiki tangawizi ili damu izunguke na kupata kinga ikiwa na joto , mpaka sasa hakuna dawa ila wazungu wanatulazikisha na kinga kuuja kutudhuru
Tuthamin vya kwetu nduguToka lini kachumbari/chachandu ikatibu virus?
Acheni hadithi za kitoto.
Kama hiyo kachumbari inaweza kutibu covid basi watuletee na kachumbari ya kutibu hiv, cancer, malaria na kila kitu.
Hivi unajua maana ya immunization?Wana jf
Naungana na rais Wangu Dr. j.Magufuri kugomea chanjo, ikiwa tuna wataalum wakali kutoka NIMR wameonyesha uwezo Wa kukabili kirusi hiki hatari duniani. Yapo magonjwa Mengi ambayo tunaishi nayo na hatujawahi kupewa chanjo kwa Kuwa wenzetu washatokomeza labda kwa madawa yao. Sisi kwa kutoa tibalishe Nimrcaf itoshe to kusema hata kirusi kijibadiri vipi tiba lishe ile ile itakingoa mwilini.
Hata hivyo baada ya kupitia hotuba ya juzi na kuona Rais anavyopambana tusiuliwe na njaa badala ya corona kwa kutufungia huku hana uwezo Wa kutulisha tz mil 58 naona ameshiriki kututia moto na nguvu tusitishwetishwe na wazungu. Pia mpaka sasa hakuna mfanya mazoezi au mwanamichezo amefariki kwa corona hiyo kumbe kinga ni kufanya mazoezi na kula vyakuka vilivyoainishwa, inatosha kufukuza ndudu bila chanjo. Si kila kinachoua wazungu sie tukitilie maanani na kukiogopa sana bali tukifanyie kazi tukitokomeze.
Asante rais wangu kwa kututia moyo kuwa tusitishike ila tuchukue tahadhali kutokana maelekezo ya idara ya Afya.
Leo nilikuwa kwenye msiba bunju ambao mtu mmoja aliyefariki inasemekana alikuwa nayo lakini ameuhudumiwa na watu wa kila aina bila kutambua kuwa ni ugonjwa gani, walionhudumia hawajapigwa karanteen kuanzia mtoto wake dreva na mke wake bado wako vizuri, ikiwa wao wana afya mzuri na wanafuata masharti ya tibalishe ugonjwa huu utapita tu.
Nashauri wale vibonge, wazee, wenye vifua vikuu, ukimwi kila wiki wanywe nimricaf waongeze kinga ugonjwa utapotea
Ningekuelewa chief ungesema tutengeneze chanjo zetu. Vinginevyo hujui maana ya immunization na chanjoTuthamin vya kwetu ndugu
Safi kabisa tumeambiwa tusijaribu jaribu vitu bila kujua madhara ya baadaeHiyo Chanjo imewasaidia vipi wazungu? Tusilazimishane vitu vya majaribio rais wetu ameonyesha nia njema
Bia yetu,etwege,motochini,wakudavadua ndio wanaongoza team lumumba kwenda china kupata chanjo hiyoHuu sasa wanataka kutuletea Ushoga,
Dr. Magu alivyoruhusu shule kufunguliwa mwezi wa sita wazungu walishangaa sana, alivyofungua mipaka na Viwanja vya ndege wakaduwaa mno. Alivyoruhusu Mpira simba ikajaza uwanja Dunia yote macho na masikio kwetu kungoja vifo kama kuku lakini hili alikutokea, nyungu Sala zilifanya kazi, mpaka Leo hakuna mtoto Wa shule kuanzia kidato cha sita hadi std 1 hivyo wanaokufa ni vibonge. Wenye vvu naBia yetu,etwege,motochini,wakudavadua ndio wanaongoza team lumumba kwenda china kupata chanjo hiyo
Tuthamin vya kwetu ndugu
Mimi kwangu nimepanda kaswagara, limau nanasi , pilipili na tangawizi, mwembe na mpera. Bado nakunywa Uji hopeca ambayo nayo inaondoa maradhi hivyo nimezika kawaida tu wala sikuvaa barakoaUmesema watoto wa marehemu dereva hawajawekwa karantini. Una maanisha wana maambukizi,wewe si uligusana nao. Kwa hiyo tayari unao ugonjwa. Au fomula ya Nimr inakusaidia?
Kwa hiyo umetumwa na Nimr uwatangazie biashara?Wana jf,
Naungana na rais Wangu Dr. j.Magufuri kugomea chanjo, ikiwa tuna wataalum wakali kutoka NIMR wameonyesha uwezo Wa kukabili kirusi hiki hatari duniani. Yapo magonjwa Mengi ambayo tunaishi nayo na hatujawahi kupewa chanjo kwa Kuwa wenzetu washatokomeza labda kwa madawa yao. Sisi kwa kutoa tibalishe Nimrcaf itoshe to kusema hata kirusi kijibadiri vipi tiba lishe ile ile itakingoa mwilini.
Hata hivyo baada ya kupitia hotuba ya juzi na kuona Rais anavyopambana tusiuliwe na njaa badala ya corona kwa kutufungia huku hana uwezo Wa kutulisha tz mil 58 naona ameshiriki kututia moto na nguvu tusitishwetishwe na wazungu. Pia mpaka sasa hakuna mfanya mazoezi au mwanamichezo amefariki kwa corona hiyo kumbe kinga ni kufanya mazoezi na kula vyakuka vilivyoainishwa, inatosha kufukuza ndudu bila chanjo. Si kila kinachoua wazungu sie tukitilie maanani na kukiogopa sana bali tukifanyie kazi tukitokomeze.
Asante rais wangu kwa kututia moyo kuwa tusitishike ila tuchukue tahadhali kutokana maelekezo ya idara ya Afya.
Leo nilikuwa kwenye msiba bunju ambao mtu mmoja aliyefariki inasemekana alikuwa nayo lakini ameuhudumiwa na watu wa kila aina bila kutambua kuwa ni ugonjwa gani, walionhudumia hawajapigwa karanteen kuanzia mtoto wake dreva na mke wake bado wako vizuri, ikiwa wao wana afya mzuri na wanafuata masharti ya tibalishe ugonjwa huu utapita tu.
Nashauri wale vibonge, wazee, wenye vifua vikuu, ukimwi kila wiki wanywe nimricaf waongeze kinga ugonjwa utapotea
Wana jf,
Naungana na rais Wangu Dr. j.Magufuri kugomea chanjo, ikiwa tuna wataalum wakali kutoka NIMR wameonyesha uwezo Wa kukabili kirusi hiki hatari duniani. Yapo magonjwa Mengi ambayo tunaishi nayo na hatujawahi kupewa chanjo kwa Kuwa wenzetu washatokomeza labda kwa madawa yao. Sisi kwa kutoa tibalishe Nimrcaf itoshe to kusema hata kirusi kijibadiri vipi tiba lishe ile ile itakingoa mwilini.
Hata hivyo baada ya kupitia hotuba ya juzi na kuona Rais anavyopambana tusiuliwe na njaa badala ya corona kwa kutufungia huku hana uwezo Wa kutulisha tz mil 58 naona ameshiriki kututia moto na nguvu tusitishwetishwe na wazungu. Pia mpaka sasa hakuna mfanya mazoezi au mwanamichezo amefariki kwa corona hiyo kumbe kinga ni kufanya mazoezi na kula vyakuka vilivyoainishwa, inatosha kufukuza ndudu bila chanjo. Si kila kinachoua wazungu sie tukitilie maanani na kukiogopa sana bali tukifanyie kazi tukitokomeze.
Asante rais wangu kwa kututia moyo kuwa tusitishike ila tuchukue tahadhali kutokana maelekezo ya idara ya Afya.
Leo nilikuwa kwenye msiba bunju ambao mtu mmoja aliyefariki inasemekana alikuwa nayo lakini ameuhudumiwa na watu wa kila aina bila kutambua kuwa ni ugonjwa gani, walionhudumia hawajapigwa karanteen kuanzia mtoto wake dreva na mke wake bado wako vizuri, ikiwa wao wana afya mzuri na wanafuata masharti ya tibalishe ugonjwa huu utapita tu.
Nashauri wale vibonge, wazee, wenye vifua vikuu, ukimwi kila wiki wanywe nimricaf waongeze kinga ugonjwa utapotea