Formula iliyotolewa na NIMR kudhibiti Covid19 ikizingatiwa tukaitumia bila dharau hatuhitaji chanjo

Nyankurungu2020 said:
Kama alikuwa na Covid 19 na wewe umefika kwake msibani basi hata wewe utakuwa umeipata. Maana huu ugonjwa unaambukizwa kwa kupiga chafya au kugusana.
Ukipunguza umbulula utaelewa tu MTU akifa kama hawezi piga chafya au kuchuruzika maji na maiti ikapigwa dawa za kutosha hakuna madhara unless hujui maana ya virus. Katika hotuba tangulizi mkemia Dr. JPM alifafanua vizuri kuwa virus ni kimelea kinachojiunda kwenye mafuta hivyo kinaweza kuyeyuka kwenye joto kali. Ndio maana unashauliwa kula nanasi nyingi, limau, pilipiki tangawizi ili damu izunguke na kupata kinga ikiwa na joto , mpaka sasa hakuna dawa ila wazungu wanatulazikisha na kinga kuja kutudhuru
 
Ukipunguza umbulula utaelewa tu MTU akifa kama hawezi piga chafya au kuchuruzika maji na maiti ikapigwa dawa za kutosha hakuna madhara unless hujui maana ya virus. Katika hotuba tangulizi mkemia Dr. JPM alifafanua vizuri kuwa virus ni kimelea kinachojiunda kwenye mafuta hivyo kinaweza kuyeyuka kwenye joto kali. Ndio maana unashauliwa kula nanasi nyingi, limau, pilipiki tangawizi ili damu izunguke na kupata kinga ikiwa na joto , mpaka sasa hakuna dawa ila wazungu wanatulazikisha na kinga kuuja kutudhuru
Umesema watoto wa marehemu dereva hawajawekwa karantini. Una maanisha wana maambukizi,wewe si uligusana nao. Kwa hiyo tayari unao ugonjwa. Au fomula ya Nimr inakusaidia?
 
Wana jf
Naungana na rais Wangu Dr. j.Magufuri kugomea chanjo, ikiwa tuna wataalum wakali kutoka NIMR wameonyesha uwezo Wa kukabili kirusi hiki hatari duniani. Yapo magonjwa Mengi ambayo tunaishi nayo na hatujawahi kupewa chanjo kwa Kuwa wenzetu washatokomeza labda kwa madawa yao. Sisi kwa kutoa tibalishe Nimrcaf itoshe to kusema hata kirusi kijibadiri vipi tiba lishe ile ile itakingoa mwilini.

Hata hivyo baada ya kupitia hotuba ya juzi na kuona Rais anavyopambana tusiuliwe na njaa badala ya corona kwa kutufungia huku hana uwezo Wa kutulisha tz mil 58 naona ameshiriki kututia moto na nguvu tusitishwetishwe na wazungu. Pia mpaka sasa hakuna mfanya mazoezi au mwanamichezo amefariki kwa corona hiyo kumbe kinga ni kufanya mazoezi na kula vyakuka vilivyoainishwa, inatosha kufukuza ndudu bila chanjo. Si kila kinachoua wazungu sie tukitilie maanani na kukiogopa sana bali tukifanyie kazi tukitokomeze.

Asante rais wangu kwa kututia moyo kuwa tusitishike ila tuchukue tahadhali kutokana maelekezo ya idara ya Afya.

Leo nilikuwa kwenye msiba bunju ambao mtu mmoja aliyefariki inasemekana alikuwa nayo lakini ameuhudumiwa na watu wa kila aina bila kutambua kuwa ni ugonjwa gani, walionhudumia hawajapigwa karanteen kuanzia mtoto wake dreva na mke wake bado wako vizuri, ikiwa wao wana afya mzuri na wanafuata masharti ya tibalishe ugonjwa huu utapita tu.

Nashauri wale vibonge, wazee, wenye vifua vikuu, ukimwi kila wiki wanywe nimricaf waongeze kinga ugonjwa utapotea
Hivi unajua maana ya immunization?
 
Hiyo Chanjo imewasaidia vipi wazungu? Tusilazimishane vitu vya majaribio rais wetu ameonyesha nia njema
 
Bia yetu,etwege,motochini,wakudavadua ndio wanaongoza team lumumba kwenda china kupata chanjo hiyo
Dr. Magu alivyoruhusu shule kufunguliwa mwezi wa sita wazungu walishangaa sana, alivyofungua mipaka na Viwanja vya ndege wakaduwaa mno. Alivyoruhusu Mpira simba ikajaza uwanja Dunia yote macho na masikio kwetu kungoja vifo kama kuku lakini hili alikutokea, nyungu Sala zilifanya kazi, mpaka Leo hakuna mtoto Wa shule kuanzia kidato cha sita hadi std 1 hivyo wanaokufa ni vibonge. Wenye vvu na
 
Walichogundua NIMR ni lishe!Wewe profesa wa NIMR gundua chanjo na siyo mambo ya lishe.Hizi formula za lishe kuna watu wameishia la saba huku mtaani huwa naona wanatengeneza na kuuza lishe pia.Profesa wa NIMR acha kuzingua!
 
Kings labdaE="Behaviourist, post: 37969543, member: 362019"]
Walichogundua NIMR ni lishe!Wewe profesa wa NIMR gundua chanjo na siyo mambo ya lishe.Hizi formula za lishe kuna watu wameishia la saba huku mtaani huwa naona wanatengeneza na kuuza lishe pia.Profesa wa NIMR acha kuzingua!
[/QUOTE]
Chanjo waanzie kwa wazee umri 65 na watu we ye magonjwa nyemelezi lakini kwa vijana no no no
 
Umesema watoto wa marehemu dereva hawajawekwa karantini. Una maanisha wana maambukizi,wewe si uligusana nao. Kwa hiyo tayari unao ugonjwa. Au fomula ya Nimr inakusaidia?
Mimi kwangu nimepanda kaswagara, limau nanasi , pilipili na tangawizi, mwembe na mpera. Bado nakunywa Uji hopeca ambayo nayo inaondoa maradhi hivyo nimezika kawaida tu wala sikuvaa barakoa
 
Wana jf,

Naungana na rais Wangu Dr. j.Magufuri kugomea chanjo, ikiwa tuna wataalum wakali kutoka NIMR wameonyesha uwezo Wa kukabili kirusi hiki hatari duniani. Yapo magonjwa Mengi ambayo tunaishi nayo na hatujawahi kupewa chanjo kwa Kuwa wenzetu washatokomeza labda kwa madawa yao. Sisi kwa kutoa tibalishe Nimrcaf itoshe to kusema hata kirusi kijibadiri vipi tiba lishe ile ile itakingoa mwilini.

Hata hivyo baada ya kupitia hotuba ya juzi na kuona Rais anavyopambana tusiuliwe na njaa badala ya corona kwa kutufungia huku hana uwezo Wa kutulisha tz mil 58 naona ameshiriki kututia moto na nguvu tusitishwetishwe na wazungu. Pia mpaka sasa hakuna mfanya mazoezi au mwanamichezo amefariki kwa corona hiyo kumbe kinga ni kufanya mazoezi na kula vyakuka vilivyoainishwa, inatosha kufukuza ndudu bila chanjo. Si kila kinachoua wazungu sie tukitilie maanani na kukiogopa sana bali tukifanyie kazi tukitokomeze.

Asante rais wangu kwa kututia moyo kuwa tusitishike ila tuchukue tahadhali kutokana maelekezo ya idara ya Afya.

Leo nilikuwa kwenye msiba bunju ambao mtu mmoja aliyefariki inasemekana alikuwa nayo lakini ameuhudumiwa na watu wa kila aina bila kutambua kuwa ni ugonjwa gani, walionhudumia hawajapigwa karanteen kuanzia mtoto wake dreva na mke wake bado wako vizuri, ikiwa wao wana afya mzuri na wanafuata masharti ya tibalishe ugonjwa huu utapita tu.

Nashauri wale vibonge, wazee, wenye vifua vikuu, ukimwi kila wiki wanywe nimricaf waongeze kinga ugonjwa utapotea
Kwa hiyo umetumwa na Nimr uwatangazie biashara?

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Wana jf,

Naungana na rais Wangu Dr. j.Magufuri kugomea chanjo, ikiwa tuna wataalum wakali kutoka NIMR wameonyesha uwezo Wa kukabili kirusi hiki hatari duniani. Yapo magonjwa Mengi ambayo tunaishi nayo na hatujawahi kupewa chanjo kwa Kuwa wenzetu washatokomeza labda kwa madawa yao. Sisi kwa kutoa tibalishe Nimrcaf itoshe to kusema hata kirusi kijibadiri vipi tiba lishe ile ile itakingoa mwilini.

Hata hivyo baada ya kupitia hotuba ya juzi na kuona Rais anavyopambana tusiuliwe na njaa badala ya corona kwa kutufungia huku hana uwezo Wa kutulisha tz mil 58 naona ameshiriki kututia moto na nguvu tusitishwetishwe na wazungu. Pia mpaka sasa hakuna mfanya mazoezi au mwanamichezo amefariki kwa corona hiyo kumbe kinga ni kufanya mazoezi na kula vyakuka vilivyoainishwa, inatosha kufukuza ndudu bila chanjo. Si kila kinachoua wazungu sie tukitilie maanani na kukiogopa sana bali tukifanyie kazi tukitokomeze.

Asante rais wangu kwa kututia moyo kuwa tusitishike ila tuchukue tahadhali kutokana maelekezo ya idara ya Afya.

Leo nilikuwa kwenye msiba bunju ambao mtu mmoja aliyefariki inasemekana alikuwa nayo lakini ameuhudumiwa na watu wa kila aina bila kutambua kuwa ni ugonjwa gani, walionhudumia hawajapigwa karanteen kuanzia mtoto wake dreva na mke wake bado wako vizuri, ikiwa wao wana afya mzuri na wanafuata masharti ya tibalishe ugonjwa huu utapita tu.

Nashauri wale vibonge, wazee, wenye vifua vikuu, ukimwi kila wiki wanywe nimricaf waongeze kinga ugonjwa utapotea

wazazi wangu wanahitaji chanjo naomba tusilazimishane kila kwenye mambo ya maamuzi ya kiafya. Kwa wale wasiotaka chanjo waendelee na nyungu lakini wazazi wetu wanahitaji chanjo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom