Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Form za Uspika wa Bunge la Jamhuli ya Mhuungano wa Tanzania;
Ndg kuna mambo ya muhimu hapa. Nasikia kuwa watu wameisha anza kuchukua form za kuomba hicho cheo cha uspika. Baadhi yao ni Bwn vijisenti (Mr Chenge) Bwn EDO, Bwn Sitta( the former Spika)na wengine. Inatakiwa muda huu watu wapenda fairness or Democracy wajipange kwa ajili ya hicho kiti maana kina umuhimu saana kupitisha au kupindisha maamuzi. HIYO NI MUHIMU SAANA WAKATI HUU TUSIJE KUJUTA BAADAE.
Ndg kuna mambo ya muhimu hapa. Nasikia kuwa watu wameisha anza kuchukua form za kuomba hicho cheo cha uspika. Baadhi yao ni Bwn vijisenti (Mr Chenge) Bwn EDO, Bwn Sitta( the former Spika)na wengine. Inatakiwa muda huu watu wapenda fairness or Democracy wajipange kwa ajili ya hicho kiti maana kina umuhimu saana kupitisha au kupindisha maamuzi. HIYO NI MUHIMU SAANA WAKATI HUU TUSIJE KUJUTA BAADAE.