KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 537
Makamba juzi alitangaza kuwa wote wenye nia ya kugombea nafasi ya uspika na unaibu spika wakachukue form hizo kwenye ofisi za CCM na gharama ya form ni sh. 500,000. Pia alisisitiza kuwa si wanachama wa CCM peke yao hata wale wa vyama pinzani waende wachukue form hizo kwenye ofisi hizo.
Swali ninalo jiuliza ni kuwa:
-Tangu lini CCM walipewa mamlaka ya kuhodhi nafasi ya spika na naibu wake?
-Kwa nini kazi ya kutoa form isifanywe na ofisi ya Bunge Dodoma chini ya katibu wa Bunge?
Swali ninalo jiuliza ni kuwa:
-Tangu lini CCM walipewa mamlaka ya kuhodhi nafasi ya spika na naibu wake?
-Kwa nini kazi ya kutoa form isifanywe na ofisi ya Bunge Dodoma chini ya katibu wa Bunge?