Form four msiwaze kurudia mitihan nenden chuo.Advance hakuna cha maana

Baraka Roman

JF-Expert Member
Feb 16, 2013
692
262
Natoa ushaul kama kaka niliyeona jua mapema kwa wale wote wenye mawazo ya kurudia mitihan au wanaotatizwa na maamuz waende chuo au Advance..Chuo kina faida kwasababu zifuatazo
1.Akil yako itakuwa na utaanza kufikilia kiutu uzima tofaut na ukiwa advance utajiona bado mtoto
2.Utajifunza kile kitu ulichokuwa unakipenda na uhakika wakutimiza ndoto zako utakuwa mkubwa tofaut na ukiwa advance utafundishwa vitu ambavyo haviendan na huo udactar,uhasibu,uwanasheria ule unaouwaza kila siku na kumbuka kuna kufeli hapo
3.Utakuza sociar network b'se chuo unakutana na watu waliokutangulia kimaisha na wanajua mengi ya kimaisha tofaut na sekondary mtakutana na wanafunz tu ambao ni watoto wenzako
4.Ukiwa chuo haukatazwi kuwa na GF or BF,kuolewa au kuoa so nimuda wakupanga future kumbuka umli wa kuishi unapungua.
Kwa sababu hizo nawatia moyo wale waliokata tamaa baada ya kukosa sifa za kuingia A levo na wanaumia kwenda chuo kuwa chuo ni bora kuliko A levo.
NB:hii ni rasimu tu sio lazima uikubali.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Unacho ongea ndio nilichokifanya mimi baada ya kurudia mtihani wa kidato cha nne mara kadhaa bila mafanikio nakuamua kwenda tu chuo na nilisoma uhasibu kuanzia ngazi ya cheti na kuendelea so wasivunjike moyo.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Natoa ushaul kama kaka niliyeona jua mapema kwa wale wote wenye mawazo ya kurudia mitihan au wanaotatizwa na maamuz waende chuo au Advance..Chuo kina faida kwasababu zifuatazo
1.Akil yako itakuwa na utaanza kufikilia kiutu uzima tofaut na ukiwa advance utajiona bado mtoto
2.Utajifunza kile kitu ulichokuwa unakipenda na uhakika wakutimiza ndoto zako utakuwa mkubwa tofaut na ukiwa advance utafundishwa vitu ambavyo haviendan na huo udactar,uhasibu,uwanasheria ule unaouwaza kila siku na kumbuka kuna kufeli hapo
3.Utakuza sociar network b'se chuo unakutana na watu waliokutangulia kimaisha na wanajua mengi ya kimaisha tofaut na sekondary mtakutana na wanafunz tu ambao ni watoto wenzako
4.Ukiwa chuo haukatazwi kuwa na GF or BF,kuolewa au kuoa so nimuda wakupanga future kumbuka umli wa kuishi unapungua.
Kwa sababu hizo nawatia moyo wale waliokata tamaa baada ya kukosa sifa za kuingia A levo na wanaumia kwenda chuo kuwa chuo ni bora kuliko A levo.
NB:hii ni rasimu tu sio lazima uikubali.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

umenena mkuu si unajua vijana sasa mbwembwe nyingi akiulizwa mtaani comb gani unapiga haa! Pcb malaa haaa pcm mala haaa pgm mwisho wa siku muulize una una div ngapi kimya!
 
Mkuu ushauri mzuri lakin Advance mi naona ndio mpango mzima, hasa ukiwa unapenda mauzo au majigambo (Pomposity), Pia ni njia nzuri ya mkato kuelekea degree, Pia bongo kuna kasumba 1 ambayo kama mtu hakupita Advance lakin amepitia vyeti mpaka akapata PHD lakin bado wabongo huleta dharau mara utasjia mtu anasema huyu jamaa 4M4 na kwa maana nyingine kwa hapa bongo msomi ni lazima apige Advance then chuo....
 
Ni utoto tu unawasumbua! Nenda centre yoyote ya watu wanao-resit uone watu wazima na vitambi vyetu tunavyoangaika kutafuta credit, Soma hivyo vyuo vyenu alafu kwenye bench la interview mkutane na madogo wenye degree na hapo ndio mtakumbuka maneno haya: chuma kikunje kingali cha moto.

Sio lazima wote tuwe na degree, kubeba mafaili na kwenda posta afanye nan?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom