Abuu Abdurahman
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,447
- 1,770
Habari zenu wanajukwaa
Kunahabari zimeenea hivi karibuni kuwa kuanzia 2019 form 6 watafanya mitihani yao mwezi wa pili(February) badala ya kufanya mwezi wa 5(May) kama wanavyofanya sasa...
Naomba tujuzane kuhusu ukweli wa tetesi hiyo!!
Natanguliza shukurani ..
Karibuni kuchangia mada
Kunahabari zimeenea hivi karibuni kuwa kuanzia 2019 form 6 watafanya mitihani yao mwezi wa pili(February) badala ya kufanya mwezi wa 5(May) kama wanavyofanya sasa...
Naomba tujuzane kuhusu ukweli wa tetesi hiyo!!
Natanguliza shukurani ..
Karibuni kuchangia mada