Form 4 mwenye ndoto za kusomea IT usipoteze mda wako kwenda form 6, nimekupa ramani nzima hapa

Kuna baadhi ya kada 5 & 6 haina umuhimu sana kwao mojawapo ni hii IT.

Ila hapo kwenye vyuo mkuu, haya masuala ya IT kua vyema kichwani ndio cha muhimu haijalishi umesoma UDSM au chuo gani cha muhimu tu kiwe kinatambulika kiserikali.

IT inahitaji hasa ujuzi wako tofauti na kada nyingine ambazo ni rahisi kucopy toka kwa wafanyakazi wenzio na ww ukaishi umo umo. Ila hii utastukiwa tu na kuonekana kilaza hata mtaani utapaona pagumu sana.
 
Sidhan kama case hiyo ni valid kwa sasa. Naona ajira zinatolewa kwa wote. Ukipata usaili unapita haijalishi chuo gani
Watu wanakalili sana mkuu. Ndio chanzo cha wahitimu wa kidato cha sita kukimbilia UDSM kwa wingi na kwenye course za ajabu ajabu tu kwa kua kaka/dada zao wamewaambia ukisoma UDSM ni rahisi kupata ajira.

Hii kitu imepungua kaa kiasi kikubwa sana siku hizi. Tena kwa hizi course zinazohitaji ujuzi zaidi hii imekua ni nadra sana kutokea.
 
Nako huko india kunategemeana na chuo ulichoenda kusoma pamoja na bidii yako, kuna vyuo huko india havitambuliki hata na TCU, ukimaliza huko hicho cheti huwezi tumia huku kuombea ajira

Kwa faida ya wengine, unajuaje list ya vyuo vinavyotambuliwa na TCU vilivyopo nchi za wenzetu...?

Swali jingine ni kuhusu hizi online courses, unaposoma online kwa mfano Udemy au Coursera then ukapata cheti, hiko cheti kinafaa kuombea Ajira...? Au kinahitajika upeleke TCU for verification mkuu...?
 
Kwa faida ya wengine, unajuaje list ya vyuo vinavyotambuliwa na TCU vilivyopo nchi za wenzetu...?

Swali jingine ni kuhusu hizi online courses, unaposoma online kwa mfano Udemy au Coursera then ukapata cheti, hiko cheti kinafaa kuombea Ajira...? Au kinahitajika upeleke TCU for verification mkuu...?
1.Kujua vyuo vya nchi fulani kama vinatambuliwa na TCU, Ingia kwenye tovuti za TCU na NACTE soma vigezo na masharti husika.

2.Cheti cha kozi za online nacho ni lazima kiwe verified by TCU/NACTE.

3.Ndiyo, Unatumia kuombea ajira kama ukihitaji kufanya hivyo.
 
Nikweli mkuu ila kinachoniuma hata hiyo D 4 form four sikujariwa kuipata ila IT nimeipiga kimtaa mtaa yaani maswala ya. Haxking, trogan horse Network topology, data base na nyingine nyingi hayanipigi chenga ila shida huja kwenye vyeti inapotokea ajira kwenye shirika
Cheti cha darasa la saba nacho huna?
Kama unacho nenda chuo cha mafunzo ya ufundi yaani VETA,
Uwaonyeshe cheti na uwaambie kozi zote ulizopiga mtaani na una ujuzi nazo,
Watakupa mtihani wa vitendo wa kozi husika ukifuzu utapewa cheti.

Kila kozi ina gharama yake.

Nafikiri utapewa mtihani wa vitendo kwa kozi mbili ili upate hiyo yenye sifa ya cheti cha form four yaani NTA LEVEL 4.
 
Cheti cha darasa la saba nacho huna?
Kama unacho nenda chuo cha mafunzo ya ufundi yaani VETA,
Uwaonyeshe cheti na uwaambie kozi zote ulizopiga mtaani na una ujuzi nazo,
Watakupa mtihani wa vitendo wa kozi husika ukifuzu utapewa cheti.

Kila kozi ina gharama yake.

Nafikiri utapewa mtihani wa vitendo kwa kozi mbili ili upate hiyo yenye sifa ya cheti cha form four yaani NTA LEVEL 4.
Chet cha form four ninacho na nilifaulu kwenda A- level but sikwenda kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu,
 
Chet cha form four ninacho na nilifaulu kwenda A- level but sikwenda kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu,
Hongera.
Sijajua unakwama wapi mkuu wangu wakati una cheti tena chenye ufaulu mzuri wa kwenda A-Level?
Sijui kama unataka kujiajiri au unataka kuendelea na masomo. Maana nilitaka kukushauri kwa kutumia cheti cha four unapiga kozi ya NTA Level 5/6 pale VETA badala ya kwenda A-Level halafu una-apply kwenda Chuo Kikuu katika vyuo vya serikali na utakuwa na uwezo wa kuomba mkopo chuoni hapo. Gharama ya kozi pale VETA inategemeana na kozi unayoichukua lakini zipo za kuanzia 200K, 250K, 300K, 350K, 450K, N.K
 
Chet cha form four ninacho na nilifaulu kwenda A- level but sikwenda kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu,
Kuna njia nyingine huwa inatolewa na Serikali kwa mtu ambaye alifaulu form four ama alipata D4 ya ufaulu halafu hakuendelea na masomo ya A-Level.
Kipindi kile ilikuwa unatoa shilingi laki nne [400,000=TSH] kwenye shule ya Serikali yenye masomo ya A-Level halafu wanakuunga kwenye mfumo kusoma saa 8 mchana - saa 12 jioni ukipiga double masomo ya 5 na 6 one year halafu matokeo yakitoka ukafaulu unaenda chuo kikuu na una apply mkopo.
 
Kuna njia nyingine huwa inatolewa na Serikali kwa mtu ambaye alifaulu form four ama alipata D4 ya ufaulu halafu hakuendelea na masomo ya A-Level.
Kipindi kile ilikuwa unatoa shilingi laki nne [400,000=TSH] kwenye shule ya Serikali yenye masomo ya A-Level halafu wanakuunga kwenye mfumo kusoma saa 8 mchana - saa 12 jioni ukipiga double masomo ya 5 na 6 one year halafu matokeo yakitoka ukafaulu unaenda chuo kikuu na una apply mkopo.
Asante kwa ushauri wako
 
Kuna njia nyingine huwa inatolewa na Serikali kwa mtu ambaye alifaulu form four ama alipata D4 ya ufaulu halafu hakuendelea na masomo ya A-Level.
Kipindi kile ilikuwa unatoa shilingi laki nne [400,000=TSH] kwenye shule ya Serikali yenye masomo ya A-Level halafu wanakuunga kwenye mfumo kusoma saa 8 mchana - saa 12 jioni ukipiga double masomo ya 5 na 6 one year halafu matokeo yakitoka ukafaulu unaenda chuo kikuu na una apply mkopo.
Nitaufanyia kazi mkuu
 
๐™๐™Š๐™๐™ˆ 4 ๐™ˆ๐™’๐™€๐™‰๐™”๐™€ ๐™‰๐˜ฟ๐™Š๐™๐™Š ๐™•๐˜ผ ๐™†๐™๐™Ž๐™Š๐™ˆ๐™€๐˜ผ ๐™„๐™ ๐™๐™Ž๐™„๐™‹๐™Š๐™๐™€๐™•๐™€ ๐™ˆ๐˜ฟ๐˜ผ ๐™’๐˜ผ๐™†๐™Š ๐™†๐™’๐™€๐™‰๐˜ฟ๐˜ผ ๐™๐™Š๐™๐™ˆ 6, ๐™‰๐™„๐™ˆ๐™€๐™†๐™๐˜พ๐™ƒ๐™Š๐™๐™€๐˜ผ ๐™๐˜ผ๐™ˆ๐˜ผ๐™‰๐™„ ๐™‰๐™•๐™„๐™ˆ๐˜ผ ๐™ƒ๐˜ผ๐™‹๐˜ผ

Muhimu; Kama una changamoto za kiuchumi ni vyema ukasome form 6 kwenye shule ya serikali uliyochaguliwa ili umalize form 6 na ujaribu bahati yako kuomba mkopo wa serikali ili usome chuo, Post hii nawalenga wale ambao wana uwezo wa kulipia ada za chuo ambazo zina range kuanzia laki 9 hadi milioni 1.3, shule nyingi za private ada ni milioni 2 na kitu, kama unaweza lipia hizo shule basi ni wazi unaweza kuchagua kusoma chuo

๐€) ๐‰๐„, ๐ฆ๐ก๐ข๐ญ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ ๐Ÿ’ ๐š๐ง๐š๐š๐ง๐ณ๐ข๐š ๐ฅ๐ž๐ฏ๐ž๐ฅ ๐ข๐ฉ๐ข ๐ง๐š ๐ข๐ง๐š๐œ๐ก๐ฎ๐ค๐ฎ๐š ๐ฆ๐ข๐š๐ค๐š ๐ฆ๐ข๐ง๐ ๐š๐ฉ๐ข ๐ก๐š๐๐ข ๐š๐ฆ๐š๐ฅ๐ข๐ณ๐ž ๐๐ž๐ ๐ซ๐ž๐ž?

Utaanzia certificate, kiingilio ni kuwa na D nne, (D mojawapo iwe angalau ya hesabu)

Cerificate utasoma mwaka 1
Diploma utasoma Miaka 2
Degree utasoma Miaka 3 au 4

Katika kila hatua unapomaliza unapewa cheti cha kungilia hatua inayofata

๐) ๐‰๐„, ๐ฆ๐ญ๐ฎ ๐š๐ฅ๐ข๐ž๐ฆ๐š๐ฅ๐ข๐ณ๐š ๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ ๐Ÿ” ๐š๐ง๐š๐š๐ง๐ณ๐ข๐š ๐ฅ๐ž๐ฏ๐ž๐ฅ ๐ข๐ฉ๐ข
Mtu aliemaliza form 6 ataanzia ngazi ya degree na kuisoma kwa miaka 3 au 4, hatapitia certificate na Diploma

๐‚) ๐Š๐ฐ๐š๐ง๐ข๐ง๐ข ๐ฎ๐ž๐ง๐๐ž ๐œ๐ก๐ฎ๐จ ๐›๐š๐š๐๐š ๐ฒ๐š ๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ ๐Ÿ’??

- Form 6 hakuna kozi ya iliyojikita kwenye directly kwenye IT ila ukienda chuo utapata nafasi ya kusomea kozi zinazohusu IT, form 6 kuna kombi za pcm, pgm, pcb, cbg n.k hazifikii hata theluthi kwa kinachofundishwa kwenye IT au computer science, kuna kozi mpya imeanzishwa ya phiysics, chemistry na computer lakini kiukweli bado huu sio mbadala, Na ndio maana wenzetu Kenya mtu akimaliza tu form 4 anaenda chuo, Waliifuta form 5 na 6.

- Mtu wa form 6 atasomea elimu ya IT kwa miaka 3 au 4 na atakuwa na cheti cha degree pekee ila Mtu alieunga chuo baada ya form 4 atasomea IT miaka 6 au 7 na atakua na vyeti vya certificate, Diploma na Degree, hivi vyeti vinahusiana moja kwa moja na IT tofauti na vyeti vya form 6 vya pcm, pcb, pgm, n.k.

- Form 6 huwezi kupata ajira ila kwa mtu mwenye diploma anaweza kuajiriwa, ukimaliza diploma yako una sifa za kuajirika tayari, Pia mkikutana huko degree na waliomaliza form 6, yule wa form 6 akishindwa kumaliza chuo basi atabaki na cheti cha form 6 ambacho haajiriki ila mwenye cheti cha diploma hata akishindwa kumaliza degree anaweza kuajirika kwa diploma yake, Licha ya hivyo kuna kazi ambazo zinahitaji mtu awe na diploma na sio degree, Hapa mwenye cheti cha degree pekee hawezi kupewa hii kazi, ila mwenye cheti cha diploma nadegree anaweza kutumia cheti chake cha Diploma kupewa kazi,

- Kwenda field ni kufanya kazi kwa vitendo kwenye mashirika / Taasisi za serikali au private mfano TRA, Halmashauri, Bandarini, Tanroads, n.k hili ni somo la lazima chuoni na linajenga mwanafunzi kupata uzoefu nje ya darasani, Ukianza certificate utafanya field, ukiingia diploma utafanya field na ukiingia degree kuna field, Hii ni advantage kwa mtu aliemaliza form 4 na kwenda chuo, Kwa mtu alieingia degree kwa form 6 ataifanya mara 1 tu huku mwenzake itakuwa ni mara ya 3.

๐ƒ) ๐‰๐„, ๐ง๐ข๐ฌ๐จ๐ฆ๐ž ๐œ๐ก๐ฎ๐จ ๐ ๐š๐ง๐ข?

Kundi A - vyuo vya nje - Wenye uwezo nawasihi sana msipoteze mudahapa nchini, Kama nyumbani mambo yapo vizuri sioni sababu ya wewe kung'ang'ania kusomea hapa nchini, kama hauna uwezo unaweza kupata scholarship kupitia mitihani ya SAT pale ubalozi wa marekani na mimi ni shahidi, kuna dogo namjua anasomeshwa uturuki, Nenda ubalozi wa marekani kaulizie mitihani ya SAT, Kiingilio huwa ni dola 64 ambayo haizidi laki na nusu ya pesa yetu, hapoinabidi uwe tayari umeanza form 5 na ukipata hio scholarship huna haja ya kumaliza form 6, Vito vya mitihani huwa ni International school of Tanganyika, Dar International Academy, n.k Mtihani ujao unafanyika November, Tembelea hapa kujua vituo vya kufanyia pepa na tarehe >> Find SAT Test Centers

Kundi B - UDSM - Kwa upande wa UDSM hakuna mtu asiejua kwamba udsm ndio chuo baba kwa Tanzania, Maprofesa, Viongozi wa taasisi, wakurugenzi, Mawaziri, Researchers, n.k karibu asilimia 90 wamesomea UDSM, pambana kufa kupona usomee hapa, cheti pekee bila hata kujali ufaulu kinaweza kuku boost kupata ajira, cheo, n.k

Kundi C.Vyuo specific kwajili ya IT - Hivi ni vyuo vimejikita zaidi kwenye elimu ya fani flani, kwenye Sayansi na Teknolojia kuna vyuo vyake kama DIT, MUST, Arusha Tech, n.k Ni vyuo vizuri maana vimejikita zaidi kwenye texhnology na ukisomea IT inakuwa relevant, Ila natoa onyo kwamba hivi vyuo wamekaza mno elimu zao, Hesabu ni nyingi, Masomo ni mengi, Ratiba zimebana ile, Yaani inahitaji kujitoa mno!! Wanafunzi wengi wa hivi vyuo huwa wanadanganwa na waalim wao kwamba kwakuwa wanakaziwa sana, wanasoma masomo mengi, mitihani migumu, n.k basi wao ndio cream ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Hizo stori huwa zinaishia huko huko vyuoni, hali ya ajira ni tofauti kabisa, Ajira kinachoangaliwa zaidi ni kwamba una cheti, stori imeisha hapo, Mambo ya ulisoma masomo mangapi, mitihani migumu, n.k yanabaki huko huko vyuoni, wanaotaka kwenda vyuo hivi wawe tayari kujitoa maana ukipata ufaulu mdogo unaweza kushindwa kukosa sifa za kusoma masters au kupata scholarship kufadhiliwa kusoma nje ya nchi.

Kundi D. Vyuo vya serikali General - Hivi vyuo vipo kwajili ya kutoa kozi nyingi kwa usawa,Ukiachana na UDSM ambayo nishaitaja kuna UDOM wana taasisi yao inaitwa college of Informatics, Ukikosa hapo nenda Mzumbe nao ni chuo general

Kundi E. Vyuo vya serikali Specific ila indirect - Havina utofauti na kundi C ila hivi ni kwajili ya mambo mengine Mfano kuna IAA hiki ni chuo kipo Arusha kimelenga uhasibu lakini huku kwenye teknolojia hawapo nyuma wana kozi za cyber security, IT, Computer science, kozi za kutengeneza app, Media, n.k, vyuo vingine kuna IFM, Ardhi, TIA, n.k

Kundi F.Private universities - ukikosa kabisa nenda Private, ila kiukweli vyuo vyao vingi vina skendo za kufungiwa fungiwa, walimu wenye sifa ndogo, n.k pia serikali imeweka kipaumbele kwenye wahitimu wa vyuo vyao vya serikali kundi A hadi C..

MUHIMU: Unapoomba ushauri hakikisha kwanza unamuuliza chuo alichosomea anaekupa ushauri, wengi wana tabia ya kusifia sana vyuo walivyosoma mpaka kuvuka mipaka, Kwahio na wewe hapa usiingie mkenge.
hii nchi ndio maana tunazidi kudidimiana kutengeneza vijana wa hovyo, acheni kuwapotosha vijana wa watu na shortcut zenu zaa maisha, waacheni waende advance, kunafaida nyingi atapata kuliko kupitia vishortcut, afadhali aende advance then aje kuanzia diploma ,then degree na ngazi nyingine atajenga career yake vizuri, atapata exposure na experience, na masomo kama hesabu hayatampa stress. pili, acha kushauri watu wasome ili aje waajiriwe, course kama I.t ni moja ya course amabazo ukikomaa na skill fulani ulioichakgua, utaweza kujiajiri mwenyewe .
 
Mdog wangu alipata D 5 form 4 nkampeleka certificate ya IT, akaunga Diploma.. akatapa kazi ya uhakika wizara flan.. kapangiwa dsm na kajisomesha degree sa hv anafanya Masters!
Tena Boss na anakaa nyumba ya wizara Mbezi beach
 
Back
Top Bottom