UMASIKINI BWANA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 942
- 566
Nimejaza Kaunta La Maadui Mara Tu Niliposoma Msemo Huo
Umasikini bwana unatutesa, baada ya kujaza umepata kamisheni kiasi gani?
Hali ngumu ya maisha haijawahi kumwacha mtu salama
Mkuu dr. L. M wa milembe hajamboNimejaza Kaunta La Maadui Mara Tu Niliposoma Msemo Huo
Mkuu dr. L. M wa milembe hajambo
.amepata nafuu.amejiona ameponaaa.Hajambo Lakini Kalalamika Eti Tangu Utoke Milembe Hukurudi Tena Kuchukua Vidonge Mimi Na Madaktari Wenzangu Tumepanga Ukianza Kuumwa Tena Ukaletwa Hatutakupokea Kwakuwa Umetudharau