IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,448
- 2,289
Mzee baba ongera soon nta join naona people zinatusua
Mzee baba ongera soon nta join naona people zinatusua
Wengi wanaoponda unakuta wanafanya hii kituSi ulikua unaponda
Vp mkuu umeamua kubadili mawazo ?
Shetani amekua malaika
Ajira mkuu, niwe hausiboy.
Kitu nimejifunza katika maisha ukiamua kufanya kitu fanya, maana anayekwambia hakifai yeye yuko busy kukifanya nyuma ya pazia.Ajira mkuu, niwe hausiboy.
Tumezoea matumizi ya nguvu.
Ivi naweza anza na mtaji wa $ 90 ndugu mana akaunt nnayo Presda
Now TMT is my home officially, Thanks Ontario
Unaweza ,kuna some body tupo nae group moja alianza na USD 90 sasa ana 1000 USD ,pia amatoa bank USD 250 ndani ya wiki tatu. Ila kufanikiwa hili inahitaji nidhamu ya hali ya juu na kuelewa unachokifanyaIvi naweza anza na mtaji wa $ 90 ndugu mana akaunt nnayo Presda
Shida sio kuanza na dola tisin unaweza anza hata na dola kumi. Ila unachotakiwa kwanza ni kuwa kusoma na kuwa na moyo wa kusoma vitabu!!Ivi naweza anza na mtaji wa $ 90 ndugu mana akaunt nnayo Presda
Naomba kibarua cha kulima bustani zenu, sinaga tamaa ya madolari wala mareale.Kitu nimejifunza katika maisha ukiamua kufanya kitu fanya, maana anayekwambia hakifai yeye yuko busy kukifanya nyuma ya pazia.
Mwenzako alikua busy kuikashifu forex leo na yeye yuko mzigoni anapiga madolari!! Badilika mkuu...
Mkuu una wen,ge sana. Hivi ni lazima kila mtu afanye ForeX/betting??Kitu nimejifunza katika maisha ukiamua kufanya kitu fanya, maana anayekwambia hakifai yeye yuko busy kukifanya nyuma ya pazia.
Sijui wangapi waliona forex ni utapeli kwa sababu yako na wakaiacha wakati wewe uko busy kuisoma!!
Guys ukiamua kitu fanya na usisikie ya watu!!
Umenikumbusha enzi hizo, watu wanasema mimi sisomagi kabisa alafu mtu huyyo huyo ukimvizia usiku unakuta amejikunja na kitabu!!
Anyways karibu sana arifu!!
Cc chakii jogi
Cc dillema
Forex is not betting my friends, its not even close....Mkuu una wen,ge sana. Hivi ni lazima kila mtu afanye ForeX/betting??