Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

Rubbish, umeweka story nzuri juu, chini ukamalizia nchi zilizoendelea ni kawaida?Ni kawaida forex ila sio kawaida upatu ktk forex. Pia sio kawaida ni halali,hata huko ushoga ni kawaida sana.Je inafanya kuwa sahihi?Pia infact Hizo hizo nchi hazina utaratibu wa kufanya biashara zinazoishia kuhamisha hela nje ya nchi.KUna swali umeruda sijui hujui nilikuwa namaanisha nini? Nilitaka mnipe mchanganuo wa kuonyesha kuwa mwisho wa siku hela zinazoingia nchini km dollar ni nyingi kuliko mnazosaidia maharamia kuchukua mchini halafu nyie mnagawaiwa kiduchu.Commitment ipi zaidi ya kuingiza mtaji? Hata upatu nao wana vision ya kuwa wa kwanza pale juu ile wafanyiwe kazi na hawa hapa chini.
Kusajili kampuni ni kitu kingine kupewa leseni ni kitu kingine.Je mna leseni ya BOT?Mna deposit bei ngapi BOT ya kugarantee watu mnaowadanganya na kuwalazimisha waingie kwa nguvu hizi.Wengi hawajui wanafanya nini zaidi ya kuona transactions tuu. Pia Nimekuuliza ktk forex mnayofanya unajua nani unamuuzia na nani ananunua zaidi ya kuona sijui rangi ya blue?Infact brokers wapo clear zaidi ktk kuuza bond, share, etc ila money ni very trick zaidi ya unavyotaka jaza junks hapa na story za wale jamaa zetu wanaoongea kisha wahuni wao wanapiga makofi na kelele na kusema huyu ni nouma humuwezi kaona mengi..
Pambana na Hali yako mkuu
 
vizuri sana kuona watu wanadownload mapesa.......
nimevutiwa sana wacha nijipange
 
CMA proposes tough rules for online forex traders in Kenya

By Patrick Alushula | Tuesday, Jul 19th 2016 at 00:00

Share this story:



CMA currently regulates all trading taking place on the Nairobi securities Exchange. It wants to extend its regulatory powers to cover online forex trading.

NAIROBI: The Capital Markets Authority (CMA) is proposing tough regulations on businesses and brokers involved in online foreign currency trading.

Through draft regulations named ‘Licensing requirements for online forex brokers and conduct of online forex business’, companies seeking to enter forex trading will be required to have capital of at least Sh50 million.

Where an applicant is an online forex broker in another jurisdiction, the applicant will have to commit that the Sh50 million will be maintained in Kenya at all times. In addition, the regulator also wants such businesses to have at least Sh40 million, being 80 per cent of their capital, in liquid form.

Its for broker not retail trader... We are retail trader
 
CMA proposes tough rules for online forex traders in Kenya

By Patrick Alushula | Tuesday, Jul 19th 2016 at 00:00

Share this story:



CMA currently regulates all trading taking place on the Nairobi securities Exchange. It wants to extend its regulatory powers to cover online forex trading.

NAIROBI: The Capital Markets Authority (CMA) is proposing tough regulations on businesses and brokers involved in online foreign currency trading.

Through draft regulations named ‘Licensing requirements for online forex brokers and conduct of online forex business’, companies seeking to enter forex trading will be required to have capital of at least Sh50 million.

Where an applicant is an online forex broker in another jurisdiction, the applicant will have to commit that the Sh50 million will be maintained in Kenya at all times. In addition, the regulator also wants such businesses to have at least Sh40 million, being 80 per cent of their capital, in liquid form.

Regulation za broker,, we are retail trader
 
Habari zenu wadau.

Niwaombe moderators wasiuunganishe huu uzi na nyuzi zingine za forex kwani maudhui yake yapo tofauti na nyuzi zingine zilizopata kupostiwa hapa juu ya FOREX. Nitoe shukrani zangu kwa TMT wakiongozwa na Ontario na Createn kwa guidance waliyonipa na wanayoendelea kunipatia katika hii sekta. Binafsi, katika miezi hii michache ambayo nimeanza kuptractice forex, mafanikio kiasi nimeshaanza kuyaona. Hivyo basi Katika kile kidogo watu tunachokifahamu juu ya FOREX, si vibaya tukishirikishana, kuongozana na kutaarifiana na kuona kile kinachoendelea katika hii tasnia


Nimeamua kuanzisha huu uzi baada ya kuona kuwa kuna wale ambao hawakupata wasaa wa kuhudhuria trainings na hawana uwezo huo wa kuhudhuria kwa namna moja ama nyingine halikadhalika hawajapata wasaa wa kupata right technics na gudance juu ya nini haswa kinapaswa kufanywa na hatua gani zinapata kufuatwa wakati wa kufanya uchambuzi/analysis. Pia tunajua kuwa katika Whatsapp groups hakupo convinient sana kwa watu kupost analysis kutokana na tabia za watu kuchat unnecessary stuffs na kupelekea wengine kuzipita analysis zilizotolewa (wengi ni mashahidi). Hivyo basi huu uzi unawapa wasaa wale wote niliowaainisha hapo juu. Huu uzi ni maalumu kwa ajili tuu ya kupost analyses za Forex pairs, na si malumbano kama tuliyopata kuona katika nyuzi nyingine za forex (Binafsi, wale watakaoleta usumbufu usio na lazima, kejeli, dhihaka katika huu uzi sitosita kureport kwa moderators).

Hakuna anayekatazwa kupost analysis yake wala hakuna mwenye haki zaidi ya mwengine katika kupost analysis yake hapa. Sote tunaweza tukawa tunaangalia katika picha moja, lakini mwishoni mwa siku kila mtu ataibuka na tafsiri yake juu ya hiyo picha. Kuna wanaoweza kuwa wamekosea kuitafsiri, halikadhalika kuna watakaokuwa wamepatia kuitafsiri.

Kama analysis utaipost ukiwa umeikopi mahala, itakuwa ni jambo la busara kama uta acknowledge original author wa hiyo analysis.

karibuni.

CC: Lodrick thomas, Bavaria, Ontario na wadau wote wa forex.
 
Aisee,
Sasa ungeweka basi hizo analysis Mkuu japo kwa kuanzia tu
 
96590e1c160558c35691d8a0066c479a.jpg


We grow bank Account
Dah aise hongera
 
Back
Top Bottom