jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,814
- 7,589
Nakubali ni kweli, hasa kama wabadili hela za kigeni za kutosha..ila masomoni wengine tulishuhudia kwenye nchi za watu wakiwa sheria hizi hizi, hasa waliotutawala, si ajabu, si mpya, ila kwetu hizi sheria zilkuwa zime "relax" kidogo...Kuna tofauti kubwa kuchange ela bank na kuchenjia bureau dechange.. Bank huwa wanatoa rate ndogo sana..
Nashukuru Al-Watan kwa kuweka article ya John Mashaka, sisi tuna/tume dolorize karibu kila bidhaa, mbaya sana..