cerengeti
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,878
- 1,622
Forex za kimagumadhi ndio zenye rate nzuri kuliko benki uchwara.Hapo sasa?! Tusubiri tuone, hapo BOT wamepandisha mtaji tu, ili kuondoa vile vi Bureau De Change vya kimangumashi, vilivyokuwa vinatumiwa kuweka mitaji ya madawa ya kulevya na biashara zingine haramu, ukitaka Forex nenda benki za kawaida tu mbona wako poa, wasiojuwa, CRDB, NMB, NBC, KCB, Azania na wengine wengi tu wana dollars, hakuna tatizo hapo, hao wababaishaji tuone kama watatunisha misuli au watapandisha mitaji..yetu macho..