Hiyo ni TIN no mkuu
Hakuna TIN No. TIN Ni abbreviation ya Tax Identification Number. So ukisema TIN No ina maana unarudia number Mara mbili.
Hiyo ni TIN no mkuu
KNOWLEDGE IS POWER.
Good morning traders
Napambana, tunapambana na mwisho lengo litimie... Naona mwanga, kwangu na kwenu pia - kuna baadhi ya wanafunzi wangu humu, kamwe siwezi kuwaacha, wanachokifanya so far kinanipa matumaini sana kua tunaweza kuwa na traders makini watakaoweza kubamiza market na kubadili maisha yao na ya wale wanaowazunguka. Progress ambayo baadhi yenu mnafanya inanipa nguvu sana, tuendelee kusoma na kusoma na kuelewa mambo... Tukija darasani tunafundishana kudownload pesa tu.
Kwa upande wangu naona mambo yanaiva... Pesa inanipukutika kama vapour, lkn kwakua najua nikitulia week 1 tu narudisha gharama zote, basi nakua sina presha. Ofisi iko sawa, hata kesho tunaeza kuanza, lkn bado nashughulikia papers... tufanye vitu ambavyo kihalali na kisheria, tulipe kodi, tulipe blah blah, yani tusiwe na shida na watawala. Mwanga nauona, obstruction zipo lkn tunapambana mpk kieleweke.
Tuvute subira, wakati huo tunajifua zaidi... sisi wote ni winners, when you win I also win. When you lose I also lose - but we are all destined for greatness.
Yani naamka asubui najikuta sina pesa ya kunipush kumalizia hii week, so nnachofanya ni kuingia kwa forex account yangu na kuvuta pound kadhaa - mshahara wa daktari mwenye degree ya miaka 6 (no disrespect). Ndio raha ya FX lkn bado kuna watakaosema ni betting, hahaha!! Acha tuendelee kubet
Best ever so far. Nimetumia brokers wa 4 hadi sasa :- Xm, Etoro, Hot forex na hawa JP Markets. Hawa jamaa sikutegemea, mwanzo niliwaunderate coz hawana jina kiivyo, na ni kampuni ya SA, lkn nikasema let me give them a try. Nilichokipata kutoka kwao nikafunga account ya Etoro na Hot forex, hata ya XM soon naipiga chini. Jamaa wana spread za kijanja sana, leverage ya 500:1, afu kubwa zaidi ni 1 day withdraw. Hapa ndio patamu zaidi, nachomoa pesa asubui mchana saa 6 ninayo mkononi tofauti na hao wengine unaeza subiri hata 5 working days.Huyu broker umemtumia toka lini?
Reliability yake ipoje?
Hongera mkuu Ontario sio haba kabisaBest ever so far. Nimetumia brokers wa 4 hadi sasa :- Xm, Etoro, Hot forex na hawa JP Markets. Hawa jamaa sikutegemea, mwanzo niliwaunderate coz hawana jina kiivyo, na ni kampuni ya SA, lkn nikasema let me give them a try. Nilichokipata kutoka kwao nikafunga account ya Etoro na Hot forex, hata ya XM soon naipiga chini. Jamaa wana spread za kijanja sana, leverage ya 500:1, afu kubwa zaidi ni 1 day withdraw. Hapa ndio patamu zaidi, nachomoa pesa asubui mchana saa 6 ninayo mkononi tofauti na hao wengine unaeza subiri hata 5 working days.
imeeleweka vyema, Asante sanaPlease refer page namba 119 ya huu uzi, post#2377 nimetolea ufafanuzi, kuna mdau lilikuwa linampa shida pia
I thought XM na HotForex are much better. Maana nimefanya utafiti sana mtandaoni kujua the best broker, nikaangukia kwa XM na HotForex. Naona JPMarket wako vzr kwa vigezo hivyo; spread za kijanja na faster withdrawal.Best ever so far. Nimetumia brokers wa 4 hadi sasa :- Xm, Etoro, Hot forex na hawa JP Markets. Hawa jamaa sikutegemea, mwanzo niliwaunderate coz hawana jina kiivyo, na ni kampuni ya SA, lkn nikasema let me give them a try. Nilichokipata kutoka kwao nikafunga account ya Etoro na Hot forex, hata ya XM soon naipiga chini. Jamaa wana spread za kijanja sana, leverage ya 500:1, afu kubwa zaidi ni 1 day withdraw. Hapa ndio patamu zaidi, nachomoa pesa asubui mchana saa 6 ninayo mkononi tofauti na hao wengine unaeza subiri hata 5 working days.
Huyu broker haruhusu scalpingHuyu broker umemtumia toka lini?
Reliability yake ipoje?
Samahani mkuu Kabanga...Huyu broker haruhusu scalping
Njia nyingine ni kuchukua hicho kitabu kukiscan kwa kutumia O.C.R program. Hapo utascan kama letter not as picture.I support this.. Since you personally use this book and we've all seen how u do ur magic, no one will take this for granted.
We nenda tu kaache stationary uone watu tutakavyokizukia.
Ts a good way.. U jus name the stationary we'll handle the rest.
Impressive.Best ever so far. Nimetumia brokers wa 4 hadi sasa :- Xm, Etoro, Hot forex na hawa JP Markets. Hawa jamaa sikutegemea, mwanzo niliwaunderate coz hawana jina kiivyo, na ni kampuni ya SA, lkn nikasema let me give them a try. Nilichokipata kutoka kwao nikafunga account ya Etoro na Hot forex, hata ya XM soon naipiga chini. Jamaa wana spread za kijanja sana, leverage ya 500:1, afu kubwa zaidi ni 1 day withdraw. Hapa ndio patamu zaidi, nachomoa pesa asubui mchana saa 6 ninayo mkononi tofauti na hao wengine unaeza subiri hata 5 working days.
VITABU + PRACTICE HUWA HAVIDANGANYI, Indicator ya kwanza Moving avarage (short and long inafanya kazi) nimeielewa in practiceSamahani mkuu Kabanga...
Umeshawahi kutrade with JPmarkes?
Ama ni kwamba umesahau maana ya scalping? Ngoja nikukumbushe - scalping ama skimming ni strategy ya kufungua positions kisha unazihold kwa muda mfupi, sana sana dakika 5,10, 15 au nusu saa, then ukipata faida unatoka kwa market... tofauti na day trading ambapo unaeza fungua position ukakaa nazo hata masaa 8 au 10 huko. Afu scalping unakua unafanya mara nyingi nyingi ndani ya siku.
Unaposema JPM hawaruhusu scalping basi labda ni miaka ya nyuma sana, maana hii ndio mbinu yangu. Screen shots nyingi nilizoweka hapa nilikua ninascalp saa zingine 1 hour, 2 hours inategemea na soko lipoje. So, ili kupunguza confusion hapa hasa kwa newbies, ni vzr tuwe tunatoa our own live experience, sio kusoma vitu vilivyopo google.
Hizi trades zinarun na ninafanya scalping, nazifunga nikigonga $800+, ni Live JP Markets
nina imani hivi karibuni nitakuwa nauliza maswali kama haya.."broker yupi mpoa wa kufanya mambo ya transaction chapchap"ama tunavyopenda kusema FASTA FASTABest ever so far. Nimetumia brokers wa 4 hadi sasa :- Xm, Etoro, Hot forex na hawa JP Markets. Hawa jamaa sikutegemea, mwanzo niliwaunderate coz hawana jina kiivyo, na ni kampuni ya SA, lkn nikasema let me give them a try. Nilichokipata kutoka kwao nikafunga account ya Etoro na Hot forex, hata ya XM soon naipiga chini. Jamaa wana spread za kijanja sana, leverage ya 500:1, afu kubwa zaidi ni 1 day withdraw. Hapa ndio patamu zaidi, nachomoa pesa asubui mchana saa 6 ninayo mkononi tofauti na hao wengine unaeza subiri hata 5 working days.
Wewe jamaa nimekufuatilia uzi zako nyingi sana, kikubwa nilichogundua kutoka kwako una moyo wa msaada sana. MUNGU wangu akuongeze.