Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mkuu ivi kwenye kitabu na demo kuna kitu kinaitwa pips sijakielewa ni nini haswa
Kaelezea unaeza kuwa umeweka pips 10:1 sijaelewa anamaakisha nini mkuu
Afu pia ni wakti gani utapata faida pale pesa inapopanda na ukauza ama itaposhuka na kununua maana anasema "when u buy u make money and when u sell u make profit "
Na pale kwenye market order mkuu kuhusu stop ndo unaiweka kwenye pips ama!!
Regard!
 
WP_20170612_006.jpg


Before the New York time closing.
 
Good morning traders

Napambana, tunapambana na mwisho lengo litimie... Naona mwanga, kwangu na kwenu pia - kuna baadhi ya wanafunzi wangu humu, kamwe siwezi kuwaacha, wanachokifanya so far kinanipa matumaini sana kua tunaweza kuwa na traders makini watakaoweza kubamiza market na kubadili maisha yao na ya wale wanaowazunguka. Progress ambayo baadhi yenu mnafanya inanipa nguvu sana, tuendelee kusoma na kusoma na kuelewa mambo... Tukija darasani tunafundishana kudownload pesa tu.

Kwa upande wangu naona mambo yanaiva... Pesa inanipukutika kama vapour, lkn kwakua najua nikitulia week 1 tu narudisha gharama zote, basi nakua sina presha. Ofisi iko sawa, hata kesho tunaeza kuanza, lkn bado nashughulikia papers... tufanye vitu ambavyo kihalali na kisheria, tulipe kodi, tulipe blah blah, yani tusiwe na shida na watawala. Mwanga nauona, obstruction zipo lkn tunapambana mpk kieleweke.

Tuvute subira, wakati huo tunajifua zaidi... sisi wote ni winners, when you win I also win. When you lose I also lose - but we are all destined for greatness.

Yani naamka asubui najikuta sina pesa ya kunipush kumalizia hii week, so nnachofanya ni kuingia kwa forex account yangu na kuvuta pound kadhaa - mshahara wa daktari mwenye degree ya miaka 6 (no disrespect). Ndio raha ya FX lkn bado kuna watakaosema ni betting, hahaha!! Acha tuendelee kubet
fabf04972b857bd4f6febb6bda00748b.jpg

Huyu broker umemtumia toka lini?

Reliability yake ipoje?
 
Huyu broker umemtumia toka lini?

Reliability yake ipoje?
Best ever so far. Nimetumia brokers wa 4 hadi sasa :- Xm, Etoro, Hot forex na hawa JP Markets. Hawa jamaa sikutegemea, mwanzo niliwaunderate coz hawana jina kiivyo, na ni kampuni ya SA, lkn nikasema let me give them a try. Nilichokipata kutoka kwao nikafunga account ya Etoro na Hot forex, hata ya XM soon naipiga chini. Jamaa wana spread za kijanja sana, leverage ya 500:1, afu kubwa zaidi ni 1 day withdraw. Hapa ndio patamu zaidi, nachomoa pesa asubui mchana saa 6 ninayo mkononi tofauti na hao wengine unaeza subiri hata 5 working days.
 
Best ever so far. Nimetumia brokers wa 4 hadi sasa :- Xm, Etoro, Hot forex na hawa JP Markets. Hawa jamaa sikutegemea, mwanzo niliwaunderate coz hawana jina kiivyo, na ni kampuni ya SA, lkn nikasema let me give them a try. Nilichokipata kutoka kwao nikafunga account ya Etoro na Hot forex, hata ya XM soon naipiga chini. Jamaa wana spread za kijanja sana, leverage ya 500:1, afu kubwa zaidi ni 1 day withdraw. Hapa ndio patamu zaidi, nachomoa pesa asubui mchana saa 6 ninayo mkononi tofauti na hao wengine unaeza subiri hata 5 working days.
Hongera mkuu Ontario sio haba kabisa
 
Best ever so far. Nimetumia brokers wa 4 hadi sasa :- Xm, Etoro, Hot forex na hawa JP Markets. Hawa jamaa sikutegemea, mwanzo niliwaunderate coz hawana jina kiivyo, na ni kampuni ya SA, lkn nikasema let me give them a try. Nilichokipata kutoka kwao nikafunga account ya Etoro na Hot forex, hata ya XM soon naipiga chini. Jamaa wana spread za kijanja sana, leverage ya 500:1, afu kubwa zaidi ni 1 day withdraw. Hapa ndio patamu zaidi, nachomoa pesa asubui mchana saa 6 ninayo mkononi tofauti na hao wengine unaeza subiri hata 5 working days.
I thought XM na HotForex are much better. Maana nimefanya utafiti sana mtandaoni kujua the best broker, nikaangukia kwa XM na HotForex. Naona JPMarket wako vzr kwa vigezo hivyo; spread za kijanja na faster withdrawal.
Hapa I should also go for JP Market naona ndio habari ya mjini.
 
Huyu broker haruhusu scalping
Samahani mkuu Kabanga...

Umeshawahi kutrade with JPmarkes?
Ama ni kwamba umesahau maana ya scalping? Ngoja nikukumbushe - scalping ama skimming ni strategy ya kufungua positions kisha unazihold kwa muda mfupi, sana sana dakika 5,10, 15 au nusu saa, then ukipata faida unatoka kwa market... tofauti na day trading ambapo unaeza fungua position ukakaa nazo hata masaa 8 au 10 huko. Afu scalping unakua unafanya mara nyingi nyingi ndani ya siku.

Unaposema JPM hawaruhusu scalping basi labda ni miaka ya nyuma sana, maana hii ndio mbinu yangu. Screen shots nyingi nilizoweka hapa nilikua ninascalp saa zingine 1 hour, 2 hours inategemea na soko lipoje. So, ili kupunguza confusion hapa hasa kwa newbies, ni vzr tuwe tunatoa our own live experience, sio kusoma vitu vilivyopo google.

5167324e2893d98a4c3e713f94cb89c3.jpg

Hizi trades zinarun na ninafanya scalping, nazifunga nikigonga $800+, ni Live JP Markets
 
I support this.. Since you personally use this book and we've all seen how u do ur magic, no one will take this for granted.
We nenda tu kaache stationary uone watu tutakavyokizukia.
Ts a good way.. U jus name the stationary we'll handle the rest.
Njia nyingine ni kuchukua hicho kitabu kukiscan kwa kutumia O.C.R program. Hapo utascan kama letter not as picture.
Yaan output from the scanner ni letter format not Jpg. After that kinakuwa arranged tayari ni kitabu, ready fir printing.
Lakini kama kitabu ni kikubwa hivyo page 260 itabidi kukiharibu ili kila page iwe scanned moja moja.
 
Kuna mdau anauliza ajajua Pip ni nini, A pip is the smallest increment of price fluctuation in currency price.
 
Best ever so far. Nimetumia brokers wa 4 hadi sasa :- Xm, Etoro, Hot forex na hawa JP Markets. Hawa jamaa sikutegemea, mwanzo niliwaunderate coz hawana jina kiivyo, na ni kampuni ya SA, lkn nikasema let me give them a try. Nilichokipata kutoka kwao nikafunga account ya Etoro na Hot forex, hata ya XM soon naipiga chini. Jamaa wana spread za kijanja sana, leverage ya 500:1, afu kubwa zaidi ni 1 day withdraw. Hapa ndio patamu zaidi, nachomoa pesa asubui mchana saa 6 ninayo mkononi tofauti na hao wengine unaeza subiri hata 5 working days.
Impressive.
Natumia hotforex natamani kuwatoroka.
Nimejaribu demo ya TDMarkets bado nawaza kujiunga nao.
 
Samahani mkuu Kabanga...

Umeshawahi kutrade with JPmarkes?
Ama ni kwamba umesahau maana ya scalping? Ngoja nikukumbushe - scalping ama skimming ni strategy ya kufungua positions kisha unazihold kwa muda mfupi, sana sana dakika 5,10, 15 au nusu saa, then ukipata faida unatoka kwa market... tofauti na day trading ambapo unaeza fungua position ukakaa nazo hata masaa 8 au 10 huko. Afu scalping unakua unafanya mara nyingi nyingi ndani ya siku.

Unaposema JPM hawaruhusu scalping basi labda ni miaka ya nyuma sana, maana hii ndio mbinu yangu. Screen shots nyingi nilizoweka hapa nilikua ninascalp saa zingine 1 hour, 2 hours inategemea na soko lipoje. So, ili kupunguza confusion hapa hasa kwa newbies, ni vzr tuwe tunatoa our own live experience, sio kusoma vitu vilivyopo google.

5167324e2893d98a4c3e713f94cb89c3.jpg

Hizi trades zinarun na ninafanya scalping, nazifunga nikigonga $800+, ni Live JP Markets
VITABU + PRACTICE HUWA HAVIDANGANYI, Indicator ya kwanza Moving avarage (short and long inafanya kazi) nimeielewa in practice

WABARIKIWE wote wanaotoa mawazo yao KUNIELIMISHA hata wale wanaoelimisha ya kipuuzi kwangu ni elimu pia
 
Best ever so far. Nimetumia brokers wa 4 hadi sasa :- Xm, Etoro, Hot forex na hawa JP Markets. Hawa jamaa sikutegemea, mwanzo niliwaunderate coz hawana jina kiivyo, na ni kampuni ya SA, lkn nikasema let me give them a try. Nilichokipata kutoka kwao nikafunga account ya Etoro na Hot forex, hata ya XM soon naipiga chini. Jamaa wana spread za kijanja sana, leverage ya 500:1, afu kubwa zaidi ni 1 day withdraw. Hapa ndio patamu zaidi, nachomoa pesa asubui mchana saa 6 ninayo mkononi tofauti na hao wengine unaeza subiri hata 5 working days.
nina imani hivi karibuni nitakuwa nauliza maswali kama haya.."broker yupi mpoa wa kufanya mambo ya transaction chapchap"ama tunavyopenda kusema FASTA FASTA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom