nyegere86
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 2,214
- 3,899
Kwahyo huku kwenye forex ni uhakika kula hela kila siku yaani hakuna kuliwa???? Najua kuna mabaya ya forex, hembu anza kunielezea huko nijipange vizuriTofauti ipo kubwa sana Boss
Naweza nikasema hakuna sehemu yoyote duniani wanapofundisha Betting ila forex imejaa wakufunzi Kama TMT.
Bila Shaka umeipata point yangu Mkuu