Foreign investor in racism row: "the work was never done"

Zamani sana ile miaka ya themanini kulikuwa na wimbo ulioimbwa na Cosmas Thobias Chidumule wa mlimani Park usemao "Mtoto Akililia Wembe." Nadhani wimbo huu ulikuwa umeelekezwa na akina Muhudin Gurumo na wenzake waliohama Mliman Park kwa mpigo na kujiunga na Safari Sound ya Hugo Kisima. Bwana huyu Kisima alikuwa anajulikana kwa kuwabana sana wanamziki wake (kwa wale vijana wa siku hizo mtakumbuka yale yalichomkumba Mwanamuziki Skassy Kasamabula aliposhindana na Hugo Kisima). Lakini bado aliwarubuni akina Muhudini kuwa angewafanyia mambo mengi mazuri kuboresha maisha yao, lakini walipofika kule wakakutana na moto: walisaini mkataba ule bila kuangalia fine prints.

Na sisi tuliahidiwa mengi kutoka kwa kaburu tukaingia mkenge; leo tunaanza kuipata. Viongozi wetu hawakuangalia fine prints na matokeo yake ndiyo hivyo: shirika letu la ndege hoi, kiwanda chetu cha kibuku hoi, mazingira ya kazi kwa watu wetu wengi ni hoi, the list goes on.

Wakati nia yetu ya kuwaleta hawa investors ilikuwa ni kuboresha maisha ya raia wetu kwa kuwapatia ajira, na vile vile kuongeza pato la serikali kwa kulipa kodi, sidhani kama tumeyapata hayo. Kuna kazi nyingi zimebaki kwa wasouth afrika ikiwa hata kazi za uhudumu; hii ni hatari kweli kweli. Kazi nyingi zinazotolewa kwa watu wetu zimekuwa za manyanyasonyanyaso tu.

Tulililia wembe
 
Zamani sana ile miaka ya themanini kulikuwa na wimbo ulioimbwa na Cosmas Thobias Chidumule wa mlimani Park usemao "Mtoto Akililia Wembe." Nadhani wimbo huu ulikuwa umeelekezwa na akina Muhudin Gurumo na wenzake waliohama Mliman Park kwa mpigo na kujiunga na Safari Sound ya Hugo Kisima. Bwana huyu Kisima alikuwa anajulikana kwa kuwabana sana wanamziki wake (kwa wale vijana wa siku hizo mtakumbuka yale yalichomkumba Mwanamuziki Skassy Kasamabula aliposhindana na Hugo Kisima). Lakini aliwarubuni akina Muhudini kuwa angewafanyia mambo mengi mazuri kuboresha maisha yao, lakini walipofika kule wakakutana na moto: walisaini mkataba ule bila kuangalia fine prints.

Na sisi tuliahidiwa mengi kutoka kwa kaburu tukaingia mkenge; leo tunaanza kuipata. Viongozi wetu hawakuangalia fine prints na matokeo yake ndiyop hivyo: shirika letu la ndege hoi, kiwanda cfehtu cha kibuku hoi, mazingira ya kazi kwa watu wetu wengi ni hoi, the list goes on.

Wakati nia yetu ya kuwaleta hawa investors ilikuwa ni kuboresha maisha ya raia wetu kwa kuwapatia ajira, na vile vile kuongeza pato la serikali kwa kulipa kodi, sidhani kama tumeyapata hayo. Kuwa kazi nyingi zimebaki kwa wasouth afrika iukiwa hata kazi za uhudumu; hii ni hatari kweli kweli. Kazi nyingi zinazotolewa kwa watu wetu zimekuwa za manyanyasonyanyaso tu.

Tulililia wembe

Nakubaliana na wewe kwa kiasi flani!
Ila namlaumu MKAPA NA MWINYI VIBAYA MNO!
Sasa Kichuguu naelewa umesema kuwa tumelilia wembe..SASA WHAT ABOUT THE NEXT GENERATION?
Sisi kusema ukweli maisha yetu sasa hata si marefu sana...Na sasa inabidi tufikirie mbele...
WHAT ARE WE GOING TO DO FOR THE NEXT GENERATION?
 
I think I have already answered this question. But I'll repeat my answer, I have inferiority complex free mentality. In other words I don't suffer from the same inferiority complex over the Brits as the Indians who protested. It is an inferiority complex that makes names or slurs sting the targeted person.
.

Since you are inferiority complex free how do you know when one suffers from an inferiority complex? How do you know that the anger of the Indians came from an inferiority complex rather than from a natural human instinct reaction when one uses a language of putdown against you?
 
Nakubaliana na wewe kwa kiasi flani!
Ila namlaumu MKAPA NA MWINYI VIBAYA MNO!
Sasa Kichuguu naelewa umesema kuwa tumelilia wembe..SASA WHAT ABOUT THE NEXT GENERATION?
Sisi kusema ukweli maisha yetu sasa hata si marefu sana...Na sasa inabidi tufikirie mbele...
WHAT ARE WE GOING TO DO FOR THE NEXT GENERATION?

Njia rahisi ni ku-overhaul mfumo wa utawala wetu. Tukifanikiwa kupata uongozi ambao hauna uhusiano na tawala zilizopita, tukaanza mambo yote upya tutafanikiwa kukabiliana kwa nguvu sana na mapungufu hayo ya mikataba iliyotutia matatizoni kwani tutakuwa tunawaambia kuwa "there is a new sherrif in town" nao watajua ukweli huo. Ila tunapobadilisha viongozi na kuacha mfumo ule ule, tutabaki vivyo hivyo, kwani viongozi hawa wapya huwa pia wanalinda mfumo uliowaleta hapo walipo na wakati pia wakichukulia kuwa sasa ni zamu yao pia kula kama waliowatangulia.

Mfano wa jinsi Kikwete alivyotuhdidi kupambana na Sinclair kuhusu dhahabu, halafu baada ya kuwapo madarakani tu akageuza kibao na kututanganzia akiwa Norway kuwa tunachopta kutoka kwa Sinclair ndiyo the best deal in the world!! Hiyo inaonyesha jinsi pamoja na mambo mengine alivyokuwa akilinda waliomtangulia. Mfano mwingine ni huu wa skendo za Mkapa ambapo aliapa kuwa hatazishughulikia, bali tumwache Mzee Mkapa apumzike kwa amani!!
 
.... one more thing, if you happened to watch any of the recent ended football matches for UEFA 2008, you could have seen some anti-racial declarations at the beginning of each match... millions watched and millions of people are in support of campaigns against racism. the backdrop of all these are monkey noises that stem out of ignorance and are nonsensically verbalized by few fanatics towards black players. i assume you are into cricket, if not you would excuse me... but recently, there have been rows between Australia and Pakistan if am not mistaken, this all is due to racial issues.... so are you really trying to tell me that racism or any feel of being disregarded or racially abused only exist in people with inferiority complex mind?! come on.... be serious for one moment pls!!

What do you think would have happened if White soccer players were subjected to monkey noises by African fans? Do you think they would have made as big of a deal or been as offended? If not, then why not? I am not trying to make light of racism as I have stated earlier, I draw the line where racism turns into violence or real physical hindrance to one's life. Put your passion against racism aside and really look into this issue and you will see the point I am trying to put across.
 
Since you are inferiority complex free how do you know when one suffers from an inferiority complex? How do you know that the anger of the Indians came from an inferiority complex rather than from a natural human instinct reaction when one uses a language of putdown against you?

How do I know when one suffers from an inferiority complex? I simply observe the behavior of that person see if it matches any symptoms or signs of inferiority complex. You can do it yourself, just Google "inferiority complex" and many useful articles will pop up.
 
How do I know when one suffers from an inferiority complex? I simply observe the behavior of that person see if it matches any symptoms or signs of inferiority complex. You can do it yourself, just Google "inferiority complex" and many useful articles will pop up.

You don't know who suffers from inferiority complex?
Are you aware of SLAVERY?
What about COLONIALISM? APARHTEID SYSYTEM?
RACISM AND ALL THAT EVIL STUFF?
What about SOCIAL DARWINISM?
You still want me to go on?
 
Put your passion against racism aside and really look into this issue and you will see the point I am trying to put across.

No, you don't have any valid point here, if you are not upset and be ready to defend your race when someone is using racial slurs against your race, then there is a possibility that you don't appreciate your race, otherwise it is impossible for you to keep quiet and it is not about inferiority complex. If you are proud of your race you'll always stand up against any one who is using those words with negative connotations against your race.
 
What do you think would have happened if White soccer players were subjected to monkey noises by African fans? Do you think they would have made as big of a deal or been as offended? If not, then why not? I am not trying to make light of racism as I have stated earlier, I draw the line where racism turns into violence or real physical hindrance to one's life. Put your passion against racism aside and really look into this issue and you will see the point I am trying to put across.

...for a second I thought this time around you were tallying with objectivity… to my disappointment, I still see the same subjective racial pampering comparative gesture in your whimsies.



Above, Kuhani kasema kabisa kuwa kuwaita watu weusi hivyo ni kosa, kutokana na wao historically kuwa wame suffer from cases ambapo kuitwa hivyo kulimaanisha are racially inferior mbele za watawala wao na walichapwa viboko na kupewa adhabu za kuzarilisha kwa justifications kama hizo. Today, those who take offense when called so, have a right to be defended just like a million Indians who took offense at Shilpa's incident.

The Truth, when you stepped into this conversation you were full on with what seems to be nothing but an uncouth congenital disregard for other races, particularly black people by trampling on your favourite IQ – inferiority complex foul doctrine while the matter at hand as described in the article has nothing whatsoever to do with the so called IQ. Sasa miye nimejaribu kukueleza kwa kutoa mifano ya akina Shilpa na baadhi ya Wapakistan pale wanapoitwa majina ya ajabu… mbona watu waliandamana na mbona watu hu-take offense when called ‘paki'…but you seem pussyfooting on these two vivid examples. Further more, being pertinaciously to understanding my point, you have given your rather irrelevant but ducky example that – if black fans were to make such noises at white players, they (whites) won't take offense…. Hooray, rocket science this is! Off course they won't… if you call me a ‘pak' or ‘shilpa poppodom' I won't give a flyin' fANKA or even think twice, I would move on unaffected. But doing so to someone connected to a particular offensive word would or could indeed mean offense.

People take offense for different reasons. Though you have tried to be objective this time by asking me to focus on the particular claims and showing a little bit of sensibility to racial issues. Still, naona bado unafikiria kuwa siye tuna piga debe tupu tu hapa (hali nawe ironically ukiwa mshiriki) bila mpango wala uelewa au kutumia busara katika yale tunayoongea. Leo hii nikimwita mzungu ‘nguruwe wewe', one might be offended and another may not. The bottom line ni kwamba, offense zinatofautiana kati ya watu na watu. Ukimwita mtu kitu ambacho hapendwi kuitwa na kina historia mbaya kwake, ni kutafuta shari. Tuko hapa JF kuonesha ubaya wa kuitwa hivyo at the same time hatutetei uvivu wa wenzetu makazini. Naishia hapa. Baadae.

SteveD.
 
...for a second I thought this time around you were tallying with objectivity… to my disappointment, I still see the same subjective racial pampering comparative gesture in your whimsies.



Above, Kuhani kasema kabisa kuwa kuwaita watu weusi hivyo ni kosa, kutokana na wao historically kuwa wame suffer from cases ambapo kuitwa hivyo kulimaanisha are racially inferior mbele za watawala wao na walichapwa viboko na kupewa adhabu za kuzarilisha kwa justifications kama hizo. Today, those who take offense when called so, have a right to be defended just like a million Indians who took offense at Shilpa’s incident.

Does that mean you agree with my inferiority complex argument? If I am understanding what you are saying is that this inferiority complex among Africans has a historical basis or justification. Am I correct in my interpretation of your post?

The Truth, when you stepped into this conversation you were full on with what seems to be nothing but an uncouth congenital disregard for other races, particularly black people by trampling on your favourite IQ – inferiority complex foul doctrine while the matter at hand as described in the article has nothing whatsoever to do with the so called IQ.

Actually I have to correct you here, I never brought up the IQ argument in this thread save for the time I called the British idiot on Big Brother a double digit IQ so and so. My argument throughout this thread has been inferiority complex and I tried not to go off on a tangent by tying it up with an IQ argument.

Sasa miye nimejaribu kukueleza kwa kutoa mifano ya akina Shilpa na baadhi ya Wapakistan pale wanapoitwa majina ya ajabu… mbona watu waliandamana na mbona watu hu-take offense when called ‘paki’…but you seem pussyfooting on these two vivid examples.

It is still inferiority complex. I didn't pussyfoot on the Shilpa issue, I said the protesters suffer from inferiority complex over the Brits. The same reason with people being called "Pakis". Inferiority complex is what makes a racial slur or a name sting.

Further more, being pertinaciously to understanding my point, you have given your rather irrelevant but ducky example that – if black fans were to make such noises at white players, they (whites) won’t take offense…. Hooray, rocket science this is! Off course they won’t… if you call me a ‘pak’ or ‘shilpa poppodom’ I won’t give a flyin’ fANKA or even think twice, I would move on unaffected. But doing so to someone connected to a particular offensive word would or could indeed mean offense.

Well, just pick any offensive word to describe Whites you can think and see if they react the same way. It does not have to be monkey noises or calling them White monkeys. Call them honkeys, crackers etc and see their reaction.

People take offense for different reasons.

What do you think are some of those reasons?

Though you have tried to be objective this time by asking me to focus on the particular claims and showing a little bit of sensibility to racial issues. Still, naona bado unafikiria kuwa siye tuna piga debe tupu tu hapa (hali nawe ironically ukiwa mshiriki) bila mpango wala uelewa au kutumia busara katika yale tunayoongea. Leo hii nikimwita mzungu ‘nguruwe wewe’, one might be offended and another may not. The bottom line ni kwamba, offense zinatofautiana kati ya watu na watu. Ukimwita mtu kitu ambacho hapendwi kuitwa na kina historia mbaya kwake, ni kutafuta shari. Tuko hapa JF kuonesha ubaya wa kuitwa hivyo at the same time hatutetei uvivu wa wenzetu makazini. Naishia hapa. Baadae.

SteveD.

Just about every group of people have been wronged, enslaved, subjugated by some other group. Even Whites have gone through all of that. But the reaction to being called any particular name or slur is different from group to group and individual to individual. That's why I wasn't riled up over the Shilpa episode and so didn't most other Indians. I think this difference is brought about by a person or a group of persons inferiority complex.
 
Truth, I truly believe and I presume you probably do as well that you don't belong here. This may sound harsh as it is but I think when discussing issues of a great interest to our nation we normally expect patriotism to prevail. If you are not one of us, why don't you find something else to keep you busy?
 
Wabongo wavivu wa kufanya kazi. wakimpata Mzungu anayewafuatilia wanaanza chokochoko

Uvivu wa kufanya kazi na matusi ya kibaguzi wapi na wapi? Wavivu wa kufanya kazi kuna hatua zinachukuliwa lakini sio kuanza kutukana watu.

Watanzania tusikubali hata siku moja kunyanyaswa kwenye nchi yetu, afadhali kuwa maskini kuliko kudhalilishwa na hao wanaojiita investors.

Angenitukana mimi hapo kusingelikuwa na usalama, siwezi ku tolerate ubaguzi wa namna hiyo. Huyo ofisa wa wizara ya mali ya asili ilitakiwa akatoe report polisi kwanza na sio kumshitaki nyani kwa ngedere.

Tutanyanyaswa mpaka lini kwenye nchi yetu? Mimi niliwahi kushuhudia mlinzi wa STANBIC anatukanwa na Kaburu bila sababu za maana, makosa ylikuwa ya maboss wawili ambao walitoa contradicting orders. Kulikuwa na Watanzania wengi tu pale wakawa wanacheka. Mimi iliniudhi nikamwambia ile ni failure yao na inaelekea hata hawana process juu ya nini kifanyike kukiwa na tatizo. Watu wakashangaa, kaburu alivyoona naelewe, akajikata haraka haraka.


Haiwezekani wakaja kukaa kwenye nchi yetu na wakaendeleza ubaguzi huku tunaangalia tu na tunaanza kusema Watanzania wavivu wa kazi. Sasa ukiwa mvivu wa kazi ndio utukanwe matusi?
 
What do you think would have happened if White soccer players were subjected to monkey noises by African fans? Do you think they would have made as big of a deal or been as offended? If not, then why not? I am not trying to make light of racism as I have stated earlier, I draw the line where racism turns into violence or real physical hindrance to one's life. Put your passion against racism aside and really look into this issue and you will see the point I am trying to put across.

What would happen if a German player was subjected to Nazi noises? Do you think he won't react?

Blacks/Whites react in the same way when it comes to racism.
 
Kwenye hasira mtu unaweza kutoa tusi ambao haliendani na dhamira yako. Kuna matusi mengi tu yanatolewa na watu lakini hayaendani za dhamira zao, inakuwa ni emotions tu. Lakini msingi wa tatizo hapa ni uvivu hapa tusizungushe maneno, tutatakiwa kwanza tusiwape hawa watu kisingizio.
Ni kweli swala kama hili linatakiwa kushughulikiwa kwa mujibu wa taratibu za kinidhamu zinazohusika, huyo mtu kama alitoa matusi kuna labor lawas zinazotakiwa kufanya kazi.
 
Hawa makaburu inaonekana sasa hivi wanataka kutufanya kama walivyokuwa wanawafanya waafrika weusi Afrika kusini. Mandela alipotimiza miaka 90 wiki moja iliyopita aliiambia dunia kuwa " The work was never done!" Alichopigania bado kiko. What we see now is exportation South African Racism to developing countries, to be more specific Tanzania. As we will increasingly be in need of their investors, ni wazi kuwa kwao ubaguzi ni utamaduni wa kawaida. Wengi hawaoni km kuna tatizo kumbagua mtu mweusi. After all wangapi kati wao wanaamini kuwa mweusi ni binadamu kamili? Yanayotoke sasa hivi Selous yanatuonesha tunapoelekea na hawa jamaa. This is just a tip of what they are doing! Kuna wengi kwenye mashoprite wananyanyaswa lakini wanaogopa kufungua mdomo kuhofia kufukuzwa kazi na serikali kutochukua hatua.

Foreign investor in racism row


THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

A SOUTH African investor involved in a multi-million dollar project involving the construction of luxury lodges in the Selous Game Reserve, is at the centre of a racism row that has left the development of the key tourism project reeling in crisis.

Roland Vincent is accused of uttering racist slurs against Tanzanians, including a senior official of the Ministry of Natural Resources and Tourism which oversees the country’s tourism sector.

The South African, currently overseeing the construction of the Malala luxury lodges in the Selous, is alleged to have referred to local Tanzanians as ’’black monkeys’’, and is accused of other racial slurs and bias.

A senior official with the tourism ministry who allegedly suffered racist verbal abuse from Vincent officially reported the matter to the management of Sea Cliff Hotel in Dar es Salaam, which is the main company behind the development of the luxury lodges in the Selous.

When contacted by THISDAY, Sea Cliff Hotel General Manager Keven Stander confirmed that formal complaints against Vincent’s reported racist slurs have been made.

Stander said the hotel’s board of directors has already ’’cautioned’’ Vincent about his alleged racist behaviour.

’’I cannot comment on additional racist remarks because I spend very little time in the camp sites where Mr Vincent is supervising construction and overseeing the labour force,’’ he added.

Among other things, Vincent, who is also one of the Sea Cliff Hotel directors, is accused of mistreating and harassing the company’s workers in the Selous project.

Several of them, claiming to have been victimised by his allegedly racist abuse, have said he even forces local workers to ’’stand up whenever he passes by.’’

They claim that Vincent has been promoting a ’’master-slave mentality’’, and even refuses to give workers permission to attend funerals.

One member of the company’s local staff, speaking on condition of not being named for fear of retribution from Vincent, told THISDAY in an interview this week: ’’We have made formal complaints against this man (Vincent) to the company management since September or October last year, but nothing has been done. He continues to abuse Tanzanians in our own land with incessant racist slurs.’’

When contacted for comment, Vincent himself told THISDAY he was currently on a business trip to Dubai, but hastened to dismiss the allegations of his being a racist.

’’I am not happy about these allegations directed at me, which are untrue and vindictive,’’ he said.

’’I must tell you that I am not a racist�some of my best friends in Dar are black people and therefore these types of comments are very unfair. In fact, if anything, I look after my staff better than anyone in the Selous,’’ Vincent added.
 
Emedichi sio lazima uende Selous unaweza watafuta vijana wetu pale kwenye kampuni inayojenga Twin Towers za BoT inaitwa Group5 pia kuna wale wa minara ya simu nadhani wanaitwa Broron (or something along those lines) watakuambia nini maana ya kufanya kazi na hawa jamaa zetu wa kule Kusini.... weupe!!!
 
Acheni ku spin. Wabongo tu ma LAZY sana, tulizoea kufanya kazi kijamaa zaidi. Unaingia ofisini saa 3 asubuhi saa 4 unaenda kunywa supu saa 7 chakula saa 9 umeondoka job.

sasa wazungu wakibana mnaanza zenu? kama una tabia kama hiyo mzungu akikuita we black ni lazy sana atakuwa kakubagua?

Mbona Kenya hawalalamiki na wamo kibao hapa TZ, ni kwa kuwa wapo competent.

Watu wangu weusi, nyanyukeni pigeni mzigo mheshmike, msibakie kila siku kulalamika utafikiri mablack wa kimarekani!

Mwenye kuchukia ameze vyupa!
 
acheni Ku Spin. Wabongo Tu Ma Lazy Sana, Tulizoea Kufanya Kazi Kijamaa Zaidi. Unaingia Ofisini Saa 3 Asubuhi Saa 4 Unaenda Kunywa Supu Saa 7 Chakula Saa 9 Umeondoka Job.

Sasa Wazungu Wakibana Mnaanza Zenu? Kama Una Tabia Kama Hiyo Mzungu Akikuita We Black Ni Lazy Sana Atakuwa Kakubagua?

Mbona Kenya Hawalalamiki Na Wamo Kibao Hapa Tz, Ni Kwa Kuwa Wapo Competent.

Watu Wangu Weusi, Nyanyukeni Pigeni Mzigo Mheshmike, Msibakie Kila Siku Kulalamika Utafikiri Mablack Wa Kimarekani!

Mwenye Kuchukia Ameze Vyupa!

Ukweli Siku Zote Uko Katikati.
 
Bongoland hii nchi ambayo CCM inasema bado inaendesha siasa ya UJAMAA NA KUJITEGEMEA.

Hii ndo inaharibu akili za hawa watu, they dont think like capitalists, they lack exposure.

FairPlayer
 
ONYO KALI......

Re: Foreign investor in racism row
Wabongo wavivu wa kufanya kazi. wakimpata Mzungu anayewafuatilia wanaanza chokochoko
by FairPlayer

The work was never done" Kama huamini nenda Selous
1.Acheni ku spin. Wabongo tu ma LAZY sana, tulizoea kufanya kazi kijamaa zaidi. Unaingia ofisini saa 3 asubuhi saa 4 unaenda kunywa supu saa 7 chakula saa 9 umeondoka job.sasa wazungu wakibana mnaanza zenu? kama una tabia kama hiyo mzungu akikuita we black ni lazy sana atakuwa kakubagua? Mbona Kenya hawalalamiki na wamo kibao hapa TZ, ni kwa kuwa wapo competent.
Watu wangu weusi, nyanyukeni pigeni mzigo mheshmike, msibakie kila siku kulalamika utafikiri mablack wa kimarekani! Mwenye kuchukia ameze vyupa!
by FairPlayer

2.Bongoland hii nchi ambayo CCM inasema bado inaendesha siasa ya UJAMAA NA KUJITEGEMEA.Hii ndo inaharibu akili za hawa watu, they dont think like capitalists, they lack exposure.
by FairPlayer

ONYO KALI!
Kwa masikitiko makubwa natoa onyo kali kwa watu wenye mawazo ya ki-maamuma ambao baada ya kusomeshwa na fedha za wakulima wanaoshinda mashambani mchana kutwa wakilima na jembe la mkono wanarudi na kuwatukana kwa kuwaita wavivu!
Baada ya kukusomesha wewe umewasaidiaje kuondokana na huo "uvivu"??????

1.Hapana ni wewe umerudi na kuwaibia fedha yao ya ngama (wewe unaiita "vijisenti") na kwenda kuificha ughaibuni???
2.Hapana walipokuwa na matatizo ya umeme wewe umewanunulia majenereta feki???? Sasa watapata wapi kwa kuanzia?
3.Hapana ni wewe ulipoona uchaguzi unakaribia "ulivunja" hazina na kukomba fedha yao yote ya ngama iliyokuwepo???
4.Hapana ni wewe walipokutuma ukawanunulie matrekta uligeuka ukanunua "mashangingi" ya kutembelea na malaya wako?
Sasa hata kile kidogo walichokitafuta kwa "uvivu" wao wewe umekikomba!!! Unataka waanzie wapi????? Tafakari!!!!
 
Back
Top Bottom