Force account ni mfumo wa upigaji, nafananisha na upigaji wa mabilioni ya JK

Je wanalipa kodi ya VAT na kodi nyinginezo? Je wanapima ubora wa vifaa? Je wanakata leseni ya biashara? Wanazingatia usalama kazini?
Bila mzunguko wa hela kwa kulipa kodi itafika mahali watakosa hela ya kuendelea kulipia hiyo miradi!
Msishangae wakati wa JPM alikuwa anasimamia na kutoa pesa mwenyewe SGR, bwawa la mwalimu Nyerere, ghorofa za Magomeni Kota na chuo kikuu cha DSM n.k. Ukizembea mahali alikuwa anakutumbua hapo hapo!!!
 
Nakubaliana na wewe 100%, huu mfumo unachohitaji ni usimamizi mzuri ila unaokoa mamillion ya pesa ambayo yangekuwa wasted.
Usimamizi mzuri ukoje??? Tueleze ili kuwe na usimamizi mzuri kitu gani kinatakiwa kifanyike, supply chain yake inakuwaje!
 
I agree with you. Mfano (Ila pia ubora utasimamiwa na nani kwenye halmashauri? ) .... Natumaini ipo KAMATI YA USIMAMIZI ambayo inajumuisha wataalamu wa Halmashauri i.e. Archtitects, Engineers, Economists e.t.c
Hebu naomba majibu kuhusu yafuatayo, hapo kwenye Halmashauri;

1. Nani anandaaTOR, BOQ na Specifications za mradi!
2. Nani anandaa Cost Estimate ya mradi!
3. Nani anasimamia huo mradi!
4. Nani anasimamia test za materials zinazotumika kwenye ujenzi!
5. Nani ana approve hizo materials!
6. Nani ana approve malipo ya kununua vifaa!
7. Vibarua wa kujenga wanapatikanaje!

8. Utaratibu wa kuwapata wazabuni wa ku-supply materials za ujenzi ukoje na uko transparent namna gani?

Naomba majibu tafadhali, na hii itatusaidia kuelewa effectiveness ya usimamizi wa hiyo miradi kutumia Force Account ikoje!
 
Hebu naomba majibu kuhusu yafuatayo, hapo kwenye Halmashauri;

1. Nani anandaaTOR, BOQ na Specifications za mradi!
2. Nani anandaa Cost Estimate ya mradi!
3. Nani anasimamia huo mradi!
4. Nani anasimamia test za materials zinazotumika kwenye ujenzi!
5. Nani ana approve hizo materials!
6. Nani ana approve malipo ya kununua vifaa!
7. Vibarua wa kujenga wanapatikanaje!

8. Utaratibu wa kuwapata wazabuni wa ku-supply materials za ujenzi ukoje na uko transparent namna gani?

Naomba majibu tafadhali, na hii itatusaidia kuelewa effectiveness ya usimamizi wa hiyo miradi kutumia Force Account ikoje!
Kwa maswali haya inaelekea huna ufahamu kabisa na mfumo huo. Hayo yote yanafanyika. Kwenye hiyo list ongezea pia (nani anapokea vifaa vifaa/uhakiki wa vifaa unafanywaje N.K.........[Hapa kuna KAMATI YA MAPOKEZI). Pia kumbuka Halmashauri zina wataamu ambao ni sehemu ya Kamati mbalimbali chini ya mfumo wa FORCE ACCOUNT.
 
Kwa maswali haya inaelekea huna ufahamu kabisa na mfumo huo. Hayo yote yanafanyika. Kwenye hiyo list ongezea pia (nani anapokea vifaa vifaa/uhakiki wa vifaa unafanywaje N.K.........[Hapa kuna KAMATI YA MAPOKEZI). Pia kumbuka Halmashauri zina wataamu ambao ni sehemu ya Kamati mbalimbali chini ya mfumo wa FORCE ACCOUNT.
Sio kwamba hana ufahamu na huo mfumo bali lengo ilikuwa ni kujua if at all the concept of checks and balances inakuwa exercised and executed properly ili kupata value for money kwa kazi iliuofanyika!
 
Kwa Sasa wakurugenzi Wengi wanamaduka ya hardware.

Mzigo unatoka ofisi A unaingia ofisi B na hakuna wa kuhoji
 
Sio kwamba hana ufahamu na huo mfumo bali lengo ilikuwa ni kujua if at all the concept of checks and balances inakuwa exercised and executed properly ili kupata value for money kwa kazi iliuofanyika!
Na ninasikitika kwamba haujanijibu maswali yangu hapo juu!😆😆😆
 
Kwa maswali haya inaelekea huna ufahamu kabisa na mfumo huo. Hayo yote yanafanyika. Kwenye hiyo list ongezea pia (nani anapokea vifaa vifaa/uhakiki wa vifaa unafanywaje N.K.........[Hapa kuna KAMATI YA MAPOKEZI). Pia kumbuka Halmashauri zina wataamu ambao ni sehemu ya Kamati mbalimbali chini ya mfumo wa FORCE ACCOUNT.
Ninasikitika kwamba haujanijibu maswali yangu hapo juu!😆😆😆
 
Forced accounts haifati sheria za procurement, hauwezi kutangaza tender ukiwa muumini wa mfumo huu.
Mkuu mfumo wa force account na pia mfumo wa single source ni mifumo iliyoruhusiwa kisheria na pia kupitia mifumo hiyo tenda haitangazwi.
Ni mifumo ambayo ipo kwa mujibu wa sheria ya manununuzi na kanuni zake
 
Back
Top Bottom