Force account ni mfumo wa upigaji, nafananisha na upigaji wa mabilioni ya JK

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Oct 29, 2018
539
3,507
Mfumo wa forced account ni mfumo wa taasisi kufanya kazi bila kufuata sheria ya manunuzi ikiwemo standard za utoaji tenda. Kupitia forced mkurugenzi, madiwani na viongozi wengine watafungua makampuni ya ujenzi na kupewa tenda bila proper vetting. Lakini pia mfumo huu kwenye halmashauri utakwamisha miradi mingi na chunguzi nyingi za TAKUKURU Jambo ambalo litaondoa value for money maana wakati chunguzi zinaendelea na kabla yakubadilisha wakandarasi majengo yatasimama. Ila pia ubora utasimamiwa na nani kwenye halmashauri?

Mhe. Rais nakuakikishia Leo hii kwamba huu mfumo wa forced account unaokwenda kutumika utakachofanya niwewe na serikali kukusanya pesa kwa mtu mmoja mmoja na kuzikabidhi kwa mabepari wachache. Hakuna mwanakijiji anayekwenda kunufaika . Kama tunaona sheria ya manunuzi inakwamisha miradi Kama hii Bora tufanye maboresho yanayoruhusu tenda na mambo mengine kufanyika kwa haraka kwa miradi hii ya maendeleo ya madarasa na hospitality kuliko Kutumia ffoced account system
 
Mfumo wa forced account ni mfumo wa taasisi kufanya kazi bila kufuata sheria ya manunuzi ikiwemo standard za utoaji tenda. Kupitia forced mkurugenzi, madiwani na viongozi wengine watafungua makampuni ya ujenzi na kupewa tenda bila proper vetting. Lakini pia mfumo huu kwenye halmashauri utakwamisha miradi mingi na chunguzi nyingi za TAKUKURU Jambo ambalo litaondoa value for money maana wakati chunguzi zinaendelea na kabla yakubadilisha wakandarasi majengo yatasimama. Ila pia ubora utasimamiwa na nani kwenye halmashauri?

Mhe. Rais nakuakikishia Leo hii kwamba huu mfumo wa forced account unaokwenda kutumika utakachofanya niwewe na serikali kukusanya pesa kwa mtu mmoja mmoja na kuzikabidhi kwa mabepari wachache. Hakuna mwanakijiji anayekwenda kunufaika . Kama tunaona sheria ya manunuzi inakwamisha miradi Kama hii Bora tufanye maboresho yanayoruhusu tenda na mambo mengine kufanyika kwa haraka kwa miradi hii ya maendeleo ya madarasa na hospitality kuliko Kutumia ffoced account system
Nimekuwa mdau wa matumizi ya Force Account tangu JPM aingie madarakani na sasa Mama Samia. Mtoa mada huujui huu mfumo unavyofanya kazi. Na kama kawaida ya wachangiaji wengi humu watalaumu kweli bila kujua mfumo huu. Kifupi, mpaka sasa ndio mfumo bora kabisa wa matumizi ya Serikali kwa sasa.
 
Kama hakuna ushindani kwenye kazi na kama hakuna agreed unit price ya bidhaa au service hakuna namna unakwepa upendeleo. JKT wamepewa miradi mingi ya serikali bila kushindanishwa na hakuna anayekagua ubora maana ukikagua ukagundua madhambi utaiwajibisha serikali?

Lakini niambie huko halmashauri na kwenye kata au tarafa kuna kitengo Cha ujenzi? Majukumu yake Ni yapi? Kama mkurugenzi hana wataalamu wa ujenzi anakwendaje kujenga na kwa ubora? Unakumbuka madarasa ya shule za kata yaliyojengwa na wananchi yalivyobainika na mapungufu? Watu wanaweka miti kwenye lenta badala y nondo? Unakumbuka ubovu wa miradi ya ujenzi wa zahanati? Nani atawajibika kulipa fidia Kama tukiishia Kutumia force account? Kumbukeni hizi ni milioni 50 au 100 kwa kata moja, je ukafanyika ubadhirifu kwenye miradi 50 out of 150 hatujapata hasana y karibia bilioni?

Lakini pia tukumbuke hizi fedha wanapelekewa wakurugenzi ambao wameteuliwa juzi na tumewaona wengi Ni makada na watoto wa wakubwa hawana wanachojua zaidi ya kwamba wamepewa ajira watajifunza huko huko. Hawa ndio unawaambia force account? Some of them I believe force account wameiskikia Leo na kesho ndo wataanza kujielimisha...,...

Mark my words...tumepigwa
 
Nimekuwa mdau wa matumizi ya Force Account tangu JPM aingie madarakani na sasa Mama Samia. Mtoa mada huujui huu mfumo unavyofanya kazi. Na kama kawaida ya wachangiaji wengi humu watalaumu kweli bila kujua mfumo huu. Kifupi, mpaka sasa ndio mfumo bora kabisa wa matumizi ya Serikali kwa sasa.
Tuambie ubora wake ni upi na inafanyaje kazi?
 
Mfumo wa forced account ni mfumo wa taasisi kufanya kazi bila kufuata sheria ya manunuzi ikiwemo standard za utoaji tenda. Kupitia forced mkurugenzi, madiwani na viongozi wengine watafungua makampuni ya ujenzi na kupewa tenda bila proper vetting. Lakini pia mfumo huu kwenye halmashauri utakwamisha miradi mingi na chunguzi nyingi za TAKUKURU Jambo ambalo litaondoa value for money maana wakati chunguzi zinaendelea na kabla yakubadilisha wakandarasi majengo yatasimama. Ila pia ubora utasimamiwa na nani kwenye halmashauri?

Mhe. Rais nakuakikishia Leo hii kwamba huu mfumo wa forced account unaokwenda kutumika utakachofanya niwewe na serikali kukusanya pesa kwa mtu mmoja mmoja na kuzikabidhi kwa mabepari wachache. Hakuna mwanakijiji anayekwenda kunufaika . Kama tunaona sheria ya manunuzi inakwamisha miradi Kama hii Bora tufanye maboresho yanayoruhusu tenda na mambo mengine kufanyika kwa haraka kwa miradi hii ya maendeleo ya madarasa na hospitality kuliko Kutumia ffoced account system
Definition uliyotoa ya mfumo huu ni ya uongo

Hakuna mfumo unaoruhusiwa kukiuka sheria za public procurement.
 
Mfumo wa forced account ni mfumo wa taasisi kufanya kazi bila kufuata sheria ya manunuzi ikiwemo standard za utoaji tenda. Kupitia forced mkurugenzi, madiwani na viongozi wengine watafungua makampuni ya ujenzi na kupewa tenda bila proper vetting. Lakini pia mfumo huu kwenye halmashauri utakwamisha miradi mingi na chunguzi nyingi za TAKUKURU Jambo ambalo litaondoa value for money maana wakati chunguzi zinaendelea na kabla yakubadilisha wakandarasi majengo yatasimama. Ila pia ubora utasimamiwa na nani kwenye halmashauri?

Mhe. Rais nakuakikishia Leo hii kwamba huu mfumo wa forced account unaokwenda kutumika utakachofanya niwewe na serikali kukusanya pesa kwa mtu mmoja mmoja na kuzikabidhi kwa mabepari wachache. Hakuna mwanakijiji anayekwenda kunufaika . Kama tunaona sheria ya manunuzi inakwamisha miradi Kama hii Bora tufanye maboresho yanayoruhusu tenda na mambo mengine kufanyika kwa haraka kwa miradi hii ya maendeleo ya madarasa na hospitality kuliko Kutumia ffoced account system
Ningekushauri jaribu kupitia vizuri jinsi mfumo huu unavyofanya kazi na kuleta matokeo tarajiwa ukilinganisha mfumo mwingine.
 
Nimekuwa mdau wa matumizi ya Force Account tangu JPM aingie madarakani na sasa Mama Samia. Mtoa mada huujui huu mfumo unavyofanya kazi. Na kama kawaida ya wachangiaji wengi humu watalaumu kweli bila kujua mfumo huu. Kifupi, mpaka sasa ndio mfumo bora kabisa wa matumizi ya Serikali kwa sasa.
Ndio utujuze ndugu yetu.. Ututoe tongo macho
 
Nimekuwa mdau wa matumizi ya Force Account tangu JPM aingie madarakani na sasa Mama Samia. Mtoa mada huujui huu mfumo unavyofanya kazi. Na kama kawaida ya wachangiaji wengi humu watalaumu kweli bila kujua mfumo huu. Kifupi, mpaka sasa ndio mfumo bora kabisa wa matumizi ya Serikali kwa sasa.
Huo ubora wake upo kwenye maeneo gani?
 
Unakosea kusema force account haiko kwenye sheria ya manunuzi. Kaizome hiyo sheria kwanza na mabadiliko yake.

Force account ikisimamiwa vizuri ndio mfumo bora kabisa na rahisi kufanya kazi yoyote ile. Kama hakuna usimamizi ndio watu wanapiga hela ila ukiwa na usimamizi mzuri force account inapunguza gharama za mradi kwa zaidi ya 50%.
 
Definition uliyotoa ya mfumo huu ni ya uongo

Hakuna mfumo unaoruhusiwa kukiuka sheria za procuremt.
Really umeongea kitu kizuri sana nafikiri mtoa mada ameelewa


Mtoa mada atakuwa ni mnufaika wa wale wazabuni wa enzi hizo ambao walikuwa wanapiga hela sana kupitia mfumo ule wa kizabuni, ulikuta jengo la thamani ya tsh. Milioni 500 wao kupitia mfumo wa wazabuni wanajenga kwa thamani ya tsh. Bilion 1 yani serikali iliibiwa na pesa za umma zililika kiajabu ajabu sana, Force account iendeleee
 
Unakosea kusema force account haiko kwenye sheria ya manunuzi. Kaizome hiyo sheria kwanza na mabadiliko yake.

Force account ikisimamiwa vizuri ndio mfumo bora kabisa na rahisi kufanya kazi yoyote ile. Kama hakuna usimamizi ndio watu wanapiga hela ila ukiwa na usimamizi mzuri force account inapunguza gharama za mradi kwa zaidi ya 50%.
Sure
 
Mfumo wa forced account ni mfumo wa taasisi kufanya kazi bila kufuata sheria ya manunuzi ikiwemo standard za utoaji tenda. Kupitia forced mkurugenzi, madiwani na viongozi wengine watafungua makampuni ya ujenzi na kupewa tenda bila proper vetting. Lakini pia mfumo huu kwenye halmashauri utakwamisha miradi mingi na chunguzi nyingi za TAKUKURU Jambo ambalo litaondoa value for money maana wakati chunguzi zinaendelea na kabla yakubadilisha wakandarasi majengo yatasimama. Ila pia ubora utasimamiwa na nani kwenye halmashauri?

Mhe. Rais nakuakikishia Leo hii kwamba huu mfumo wa forced account unaokwenda kutumika utakachofanya niwewe na serikali kukusanya pesa kwa mtu mmoja mmoja na kuzikabidhi kwa mabepari wachache. Hakuna mwanakijiji anayekwenda kunufaika . Kama tunaona sheria ya manunuzi inakwamisha miradi Kama hii Bora tufanye maboresho yanayoruhusu tenda na mambo mengine kufanyika kwa haraka kwa miradi hii ya maendeleo ya madarasa na hospitality kuliko Kutumia ffoced account system
Umeandika upuuzi ,,hujui Nini unachoongea,,typo field Huku ni mfumo bora saana
 
Mfumo wa forced account ni mfumo wa taasisi kufanya kazi bila kufuata sheria ya manunuzi ikiwemo standard za utoaji tenda. Kupitia forced mkurugenzi, madiwani na viongozi wengine watafungua makampuni ya ujenzi na kupewa tenda bila proper vetting. Lakini pia mfumo huu kwenye halmashauri utakwamisha miradi mingi na chunguzi nyingi za TAKUKURU Jambo ambalo litaondoa value for money maana wakati chunguzi zinaendelea na kabla yakubadilisha wakandarasi majengo yatasimama. Ila pia ubora utasimamiwa na nani kwenye halmashauri?

Mhe. Rais nakuakikishia Leo hii kwamba huu mfumo wa forced account unaokwenda kutumika utakachofanya niwewe na serikali kukusanya pesa kwa mtu mmoja mmoja na kuzikabidhi kwa mabepari wachache. Hakuna mwanakijiji anayekwenda kunufaika . Kama tunaona sheria ya manunuzi inakwamisha miradi Kama hii Bora tufanye maboresho yanayoruhusu tenda na mambo mengine kufanyika kwa haraka kwa miradi hii ya maendeleo ya madarasa na hospitality kuliko Kutumia ffoced account system
Licha ya changamoto ndogo ndogo kama za uelewa mdogo wa kamati zinazoundwa za ujenzi ikiwa
1.Kamati ndogo ya Ujenzi inayoundwa na Wananchi wa eneo mradi unapotekelezwa ikiwa na Mhandisi wa Halmashauri kama Katibu kwa ajili ya kutoa maelekezo ya kiutaalam
2.Kamati ya Manunuzi ,inayoundwa na Wananchi wa eneo la mradi unapotekelezwa ikiwa na Mgavi wa Halmashauri kwa ajili ya kutoa ushauri wa taratibu za manunuzi.
3.Kamati ya mapokezi ..hii inakuwa na mjumbe mwalikwa Mhandisi kwa ajili ya kusaidia kuhakiki vitu vilivyoagizwa ndivyo vilivyoletwa kwa specification na ubora ule ule..
Kifupi mfumo wa force account umepunguza saana gharama za ujenzi kwa sababu manunuzi yanafanywa na kamati yenye kujumlisha Wananchi, manunuzi yanakuwa kwa bei ya soko, Mfumo huu umewezesha kujenga darasa kwa Tsh 20,000,000 ikiwa ni pamoja na madawati ndani wakati kipindi kile miradi inatekelezwa kwa njia ya Wakandarasi darasa moja bila madawati lilikuwa linajengwa kati ya Tsh 35Ml mpaka 40Ml
FORCE ACCOUNT ni mfumo wenye transparent ..
 
MAElFFr.jpg
 
Nimekuwa mdau wa matumizi ya Force Account tangu JPM aingie madarakani na sasa Mama Samia. Mtoa mada huujui huu mfumo unavyofanya kazi. Na kama kawaida ya wachangiaji wengi humu watalaumu kweli bila kujua mfumo huu. Kifupi, mpaka sasa ndio mfumo bora kabisa wa matumizi ya Serikali kwa sasa.
Wewe unaoujua huu mfumu hebu dadavua security ya mfumo huu.
 
Nadhani Kuna watu wanaizungumzia force account kwa kusoma darasani siyo kwa reality ya kilichopo field. Watu waliofuatilia utoaji wa mabilioni ya JK kwa kukopesha wataelewa madhara ya fedha kushushwa kwa wananchi.

Kwanza niwaelimishe, management ya fedha za Kijiji na kata tu Ni changamoto.

Pili niwajulishe, baraza la madiwani tulilotegemea lisimamie kisiasa halina watu wanaoelewa kinachoendelea kwenye huu mfumo

Tatu, mfumo huu madhara yake nikukosa check and balance....Ni utaratibu gani utatumika kupata mafundi wakujenga au kampuni zakujenga?

Kama mfumo mama wa tender ambao unasimamiwa na wasomi umekwama kufanya kazi huu mfumo unaowategemea wanakijiji ndo utafanya kazi? Mfumo ambao wanasiasa wanaweza kujilipa fedha zote kwa kufungua maduka na makampuni madogo wakapeana tenda na watu wasihoji.

Hivi kama mkurugenzi anaweza kupindisha sheria za uchaguzi kwa maelekezo ya chama anashindwa kutoa tenda na kazi zote kwa mwanaccm?

Mifumo hii inafanya kazi maeneo ambayo kuna utendaji wa haki na usawa, maeneo yenye utawala wa sheria

Acheni kubariki mifumo mfu kwa kushindwa kusimamia mfumo mama wa kazi. Mfumo wa forced hauna fidia pale mradi unapoaribiwa na mkandarasi lakini pia unapokwepa gharama za kitaalam za ujenzi ukakimbulia gharamu nafuu unaweza ukaathiri maisha ya watoto wanaokaa kwenye hayo majengo.

Me personally nikiangalia usimamizi wa sasa na seriousness ya utawala hasa chini nasema force ccount niupigaji wa kikundi Cha watu wachache.

Hi nchi watu waliwahi kupewa tenda za kusambaza pembejeo kwa wananchi, wakajitokeza maelfu ya watu wanaokwenda kusianisha watu vocha feki to anapeleka benki wanalipwa mabilioni bila kusuply mbolea yoyote na wakurugenzi wakiwemo na takukuru wakiwemo na Polisi lakini hakuna walichofanya maana watu waliokuwa wanafanya haya walijinasibisha na chama Tawala si kwakukipenda Bali kukifaduili na kusiadia siasa na wananchi lilizwa Sana.

Pls fedha za tozo zinatoka kwa wananchi wanaolala njaa, kuziruhusu ziende kwa matajiri wachache nikuchuma laana. Let us do analysis kuhusu namna Bora yakutumia Kodi za wananchi tusifanye majaribio tutatengeneza vituko huko.

Lakini mwisho, Kama Wilaya zilishindwa kusimamia ujenzi na ununuzi wa madarasa.....do we think currently tunaweza kuvuka bila kuja na mfumo rasmi? Just kwa press release ya Dodoma Wakurugenzi wataelewa na wananchi wataelewa na kusimamia hii miradi? No, tusipotoshwe
 
Back
Top Bottom