Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,404
Hivi mtu unawezaje kuandika habari kama hii bila kuweka link ya source?
Hatari sana...Basi hapo kuna watu wanaumia sana roho zao yani, inasikitisha
Kuwa mpinzan sio justification ya kulichukia Taifa lako
Sawa wakati unaishi hapo Marangu lakini hujawahi kupanda hata hapo mlima kilimanjaro!Sawa.
Hiyo ya 3 kwa kweli itawanyima Lissu na Zitto usingizi.....sijuwi wataipokeaje uko walipo.Habari Wana Bodi!
Tanzania imeendelea Kung'ara na kusemwa Sana katika anga za Kimataifa.
Bila kupoteza twende kuona namna inavyozidi Kung'ara;..
Isingáre sana itatupofua macho mwishoweHabari Wana Bodi!
Tanzania imeendelea Kung'ara na kusemwa Sana katika anga za Kimataifa.
Bila kupoteza twende kuona namna inavyozidi Kung'ara;..
kwani hao ni watanzania?Hiyo ya 3 kwa kweli itawanyima Lissu na Zitto usingizi.....sijuwi wataipokeaje uko walipo.
Ni wahamiaji haramu wanaojifanya watanzaniakwani hao ni watanzania?
sawa mzalendoNi wahamiaji haramu wanaojifanya watanzania
Hatukawii kuwasikia Kenya wakidai Serengeti ipo kwao kama ilivyo Kilimanjaro na Tanzanite.Forbes yaitaja Tanzania kuwa nchi ya pili duniani inayofaa kutembelewa mwaka 2021...
Mkuu we mchokozi sana!Kuuliza si ujinga hivi ofisi ya makao makuu chadema ile kama banda la kuuza mkaa imeshawahi pokea mgeni toka nje hata mmoja?