Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,957
- 8,071
Hatari sana
Hahahaha, Forbes gave that trophy to Kenya, long time ago.You and I know that the most dangerous place for humanity where cannibalism thrives is Dangagiza. We can not take away that trophy from you
Haya ni maoni ya watu tu. Msitutishe na maoni. Kila mtu ana maoni yake kuhusu mambo fulani. Kwa mfano mimi ninaweza kuwa na maoni kuwa Watanzania ni wachafu. Hio inaweza kuwa ni uongo lakini hio hainizuii kutangazia dunia nzima kwamba mimi naamini Watanzania ni wachafu. Watu wengine wakisikia maoni yangu wanaweza niamini kisha waanze kutangaza kuwa Watanzania ni wachafu. Lakini usisahau kuwa sio kweli hata kidogo eti Watanzania ni wachafu kwani hakuna utafiti uliofanywa kwenye ground kudhibitisha hili na kulinganisha uchafu wa TZ na wa UG au uchafu wa TZ na KE.
The only reason Tz doesn't make it into these surveys is bcoz it doesn't have many foreign companies ,diplomats and foreign students.Lakini ukisoma magazeti ya Tz utaona ukora,robberies and attacks sio tofauti na Nairobi.Yaani usijaribu kabisa, kuna jamaa yangu alikua anafanya biashara ya kupeleka Vitunguu, kawaida alikua anapeleka mzigo na kupewa pesa nusu, anapopeleka mzigo mwengine, anachukua ile nusu iliyobaki na nusu ya mzii huu mpya.
Kitu cha kushangaza Mara ya mwisho yule jamaa alimlipa pesa yake yote, yaani ile nusu, na pesa yote ya mzigo huu mpya, jamaa hakumsindikiza kabisa siku hiyo, wakati anashuka kwenye tax ili akapande bus, alipigwa risasi mchana kweupe na wakachukua hiyo pesa.
Nenda pale Ilala sokoni ulizia hiyo story kwa wafanya biashara wa Vitunguu watakuambia,hakuna hata mmoja pale anataka kufanya biashara na Kenya. Sasa hivi wanapeleka Uganda.
Kabla ya hapo kuna mume wa shemeji yangu walimnyonga na maiti yake kuokotwa porini, rafiki zake wa Kenya walikamatwa na kuweka ndani, lakini sheria za Kenya zinatoa dhamana kwa wauwaji, sasa hivi wapo nje.
KENYA NI HATARI SANA USIJARIBU
Bujumbura, Kabul, Mogadishu and Syria, are they full of diplomats and foreigners?. Failed state.The only reason Tz doesn't make it into these surveys is bcoz it doesn't have many foreign companies ,diplomats and foreign students.Lakini ukisoma magazeti ya Tz utaona ukora,robberies and attacks sio tofauti na Nairobi.
Sisi hatujali maoni ya watu.Hahahaha, wewe unachekesha sana, unadhani crime statistics pekee ndio inaonyesha kwamba nchi ina amani au aina?, au unadhani Forbes, WPI na HRW hawajui hilo?.
Rwanda kwa mfano, crime ipo chini sana, lakini bado kwenye ripoti ya WPI bado haifanyi vizuri. Ukisoma hiyo ripoti ya Forbes, wametumia vipengele Vingi sana vikiwemo usalama barabarani, ubora wa barabara na magari yenyewe.
Sidhani kama ni muhimu kuendelea na "Denial". Kitu muhimu kwa sasa ni kuangalia maeneo ambayo hao wageni elfu 20 wameyataja ili kuyafanyia Kazi.
Si tofauti na nairobi? Nah man, i swear sio kweli, we're so much safer here, trust meThe only reason Tz doesn't make it into these surveys is bcoz it doesn't have many foreign companies ,diplomats and foreign students.Lakini ukisoma magazeti ya Tz utaona ukora,robberies and attacks sio tofauti na Nairobi.
But you need tourists, isn't?. Actually this report is very important for tourists before they decide which country to visit.Sisi hatujali maoni ya watu.
Hamna risto! Janerose hunifunza, ila mimi nataka nimweke ndani kabisa. Night kuna njeve joWewe ningependa kujua story yako. Mtanzania aliyeishi Kenya kwa muda mrefu mpaka akasahau kiswahili cha Tanzania na kujipata akiongea Sheng' ya Kenya.
They know very well.Si tofauti na nairobi? Nah man, i swear sio kweli, we're so much safer here, trust me
Kwa hiyo wewe unasomaga magazeti ya Tz!The only reason Tz doesn't make it into these surveys is bcoz it doesn't have many foreign companies ,diplomats and foreign students.Lakini ukisoma magazeti ya Tz utaona ukora,robberies and attacks sio tofauti na Nairobi.
Hahaha kwani hujapata mke hapa Kenya? Wacha kutuchezea akili.Hamna risto! Janerose hunifunza, ila mimi nataka nimweke ndani kabisa. Night kuna njeve jo
Hakuna zaidi ya Janerose, wengine naona sura zao zime beat kama rasa za nyanya zao . Vipi ww umesharudi kwa areaHahaha kwani hujapata mke hapa Kenya? Wacha kutuchezea akili.
Si tofauti na nairobi? Nah man, i swear sio kweli, we're so much safer here, trust me
Soma hiyo post hapo juu halafu unyamaze kabisa.You should be very shamed of yourself.They know very well.
Dsm is waay much safer than Nairobi, kubalini tu wakenya hapo mpo nyuma ya Dsm
Tunaomba mwaka ya hii post, must be more than six years back, acha kuokoteza vijarida vya zamani, badala ya kuleta update information. World Peace Index 2019 imeiweka Tanzania namba 7 Africa nzima, wewe unatuletea habari za zamani, stupid.Soma hiyo post hapo juu halafu unyamaze kabisa.You should be very shamed of yourself.