Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,839
- 20,685
- Thread starter
- #41
Kwa hiyo tuhame duniani,kwa sababu kuna waovu,hapana kwa kuwa hatuwezi.Ila kwa kuwa tunajua uovu sio mapenzi ya Mungu,lazima kila wakati tujaribu kuwarudisha walio kinyume na Mungu kwenye msitari,kwa kuwa dhambi ina cost:eternal death.Wala sio unafiki,ni moral duty.Kwanini mkishindwa hoja mnaanza kuita watu mashoga? Mimi nina exposure ya kutosha so naheshimu uhuru wa mtu as long as hauniathiri. Sasa toka lini ukisema hilo unakua shoga?
Co-existence yenyewe si ndio hivi unatumia google ingawa Ina support ushoga. Kama sio unafiki ni nini? Kma hupendi co existence acha kuangalia EPL na kutumia google au kutumia windows maana zote hizo Zina support gay rights!!