For those who believe Disney is the thing, think twice: It is a Pedophile and LBGT community

Mkuu kama binadamu tuna moral values ambazo zinakubalika.Tukienda hivyo tutahalalisha kila kitu,na nadhani tukifika huko hatutakuwa binadamu tena,but worse than animals.Infact even now we are worse than animals,kwa kuwa wanyama kwa mfano hawalawitiani,lakini binadamu wanalawitiana.Shameful indeed.
Boss maswala ya wao kulawitiana hayatuhusu ni mambo ya vyumbani kwao, na sijui kama unaelewa hao jamaa wanapigania haki gani, hivi unajua before movement yao ya kudai haki watu walikuwa wanawanyima kazi kwa sababu tuu ni mashoga? wengine walikuwa wanatukanwa mitaani na kudhihakiwa waziwazi au kunyimwa huduma kama wengine, watu weusi walikuwa wanafanyiwa hayo mambo kabla ya civil rights movements, nafikiri as human ni vizuri kuwa na decency kwa watu wengine bila kujali rangi yao au ushoga, huo ushoga watajibu kwa mungu wao sio kwetu
 
Boss maswala ya wao kulawitiana hayatuhusu ni mambo ya vyumbani kwao, na sijui kama unaelewa hao jamaa wanapigania haki gani, hivi unajua before movement yao ya kudai haki watu walikuwa wanawanyima kazi kwa sababu tuu ni mashoga? wengine walikuwa wanatukanwa mitaani na kudhihakiwa waziwazi au kunyimwa huduma kama wengine, watu weusi walikuwa wanafanyiwa hayo mambo kabla ya civil rights movements, nafikiri as human ni vizuri kuwa na decency kwa watu wengine bila kujali rangi yao au ushoga, huo ushoga watajibu kwa mungu wao sio kwetu
No sio mambo yao yanatuhusu pia,kwa kuwa yana ambukiza,unless unataka watoto wako nao wawe mashoga.Na hivi unajua kwamba una moral duty ya kuwafanya waelewe kwamba wanafanya so sahihi?Yes,ni jukumu lako kama wewe sio shoga lakini.Please play your part.Ila kama ni shoga na wewe, utashindwa,kwa kuwa huna moral authority.
 
Ni upuuzi kupinga vitu kama hivi.Biblia ilishasem siku za mwisho zitakuwa kama wakati wa Lutu. Wakati wa. Lutu watu walitaka kuwalawiti Malaika.
Kwa hiyo amka,Dunia ndio inaenda mwisho,amka kabla wakati mbaya haujaja.mbona tukiona mawingu tunaelewa kuwa mvua Iko karibu?
 
Ni upuuzi kupinga vitu kama hivi.Biblia ilishasem siku za mwisho zitakuwa kama wakati wa Lutu. Wakati wa. Lutu watu walitaka kuwalawiti Malaika.
Kwa hiyo amka,Dunia ndio inaenda mwisho,amka kabla wakati mbaya haujaja.mbona tukiona mawingu tunaelewa kuwa mvua Iko karibu?
Mkuu comment yako ni ya kipuuzi sana,kwa kuwa tuna jukumu la kuwa-alert watu ili wasiangukie kwenye mikono ya Shetani,na wale ambao wako huko watoke ili,wamuandamie Mungu wa kweli.So niache watu wapotoshwe bila kuwa alert huku nakijua kwamba wanaangamia?!No huo ni mtizamo wa kipepo na sivyo Mungu alivyotuagiza. Unakosea sana.

Neno la Mungu linasema hivi katika Ezekiel 3:18-19
18 Nimwambiapo mtu mbaya, Hakika utakufa; wewe usimpe maonyo, wala husemi na huyo mtu mbaya ili kumwonya, kusudi aache njia yake mbaya na kujiokoa roho yake; mtu yule mbaya atakufa katika uovu wake; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.
19 Lakini ukimwonya mtu mbaya, wala yeye hauachi ubaya wake, wala njia yake mbaya, atakufa katika uovu wake; bali wewe umejiokoa roho yako.
20 Tena mtu mwenye haki aiachapo haki yake, na kutenda uovu, nami nikiweka kikwazo mbele yake, atakufa; kwa sababu hukumwonya, atakufa katika uovu wake, wala matendo yake ya haki aliyoyatenda hayatakumbukwa; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.

21 Bali ukimwonya mwenye haki, kwamba yule mwenye haki asitende dhambi, tena ikiwa yeye hatendi dhambi, hakika ataishi, kwa sababu alikubali kuonywa; nawe umejiokoa roho yako."

Kwa hiyo tunalo-jukumu la kuwaonya watu,Mungu ameamuru tufanye hivyo,it is our spiritual and moral duty.

Ndio sitaweza kuzuia hivyo vitu visiendelee najua vitaendelea.Ila wapo wasiojua kwamba Disney is a Pedophile and LBGTE community,hao ndio major target.Na hata wale wanaojua lakini wanafanya kwa shingo ngumu,kwa neema ya Mungu wanaweza kuwaepusha watoto wao na uovu huo.
 
Nimesoma huu uzi naona akili za watu tayari zimeshachafuka na haya mambo na hizi agenda zimeanza kuwa au zimeshakuwa planted deeply in their subconsciousness. which influences their consciousness to think it's a normal thing now.

Conscious mind (ambayo ni wewe) ndiyo yenye reasoning na decision making, yenye awareness ya baya na zuri na ndiyo inayoamua wazo au idea fulani ikubaliwe au isikubaliwe, ipitishe au isipitishwe kwa kutumia vitu hivyo vitatu.

Lakini Subconscious mind haina reasoning, decision making wala awareness ya baya na zuri bali yenyewe inapokea chochote kitakachopitishwa na Conscious mind, hivyo haijarishi kitu kitakachopitishwa kiwe kibaya au kizuri chenyewe moja kwa moja kitabaki ndani ya Subconscious mind.

Here comes the funny part.
Subconscious mind ndiyo inayoinfluence Habitually na Everyday Thinking ya Conscious mind, means na wewe utaanza kuwa influenced na hiyo idea au wazo ulilopitisha na kuanza kuona ni kawaida sababu it becomes a part of you na inaweza kuescalate now hapa ni mbaya kwa watoto sababu wao bado hawajitambui.

Not done yet, here comes the tricky part.
Conscious mind inaweza ikawa inatambua kwamba wazo au kitu fulani ni kibaya na ikakataa kupitisha hilo wazo.
Lakini Conscious mind siyo lazima ikubali au ikatae wazo fulani directly bali chochote kile ambacho unakifiria kwa muda mrefu na kuksikia mara kwa mara basi automatically kitapita na kubaki ndani ya Subconscious mind, na hivi ndio jinsi gani propaganda zinafanya kazi.

Kwa kukusikilizisha na kukuonesha mara kwa mara means hata kama hautokubali lakini kuna nafasi kubwa ya kuona wazo au kitu fulani ni cha kawaida na utahitaji a strong mind kutambua hili. kwa mara nyingine tena hii ni hatari zaidi kwa watoto sababu wao wanakuwa bado hawajitambui hivyo nafasi ya kupotea ni kubwa.

Kwa mchanganuo huo ndio sababu ya watu wengi humu wamepotea hata comments zao zinaonyesha hivyo.
Angalia na kuwa makini unachokifikiria muda mwingi na kuilisha akili yako mwisho wa siku consequences na matokeo ni hayo hayo.

Nawakumbusha tu waliopotea kwamba binadamu ili awe binadamu ni lazima afuate kanuni za ubinadamu na nature ilivyo, vinginevyo sio binadamu na wala hana utu tena. na ni vizuri kuangalia upande wa imani pia.

Actually I'm not even supposed to be here in this kind of content, I just came to inform and remind you.
nimekuja tu kuwakumbusha.
 
Najua,ila nimesemea Disney kwa kuwa sisi tunaojiita eti wasomi ndio tumezamisha sana watoto wetu huko,kumbe ni shule ya kipepo na watoto wanapandikiziwa mapepo tu.I am sure this will be of help to people.Nobody wants his/her child to be a pedophile,gay or lesbian.
Pia katuni nyingi uwakilisha mapepo.
Michoro mingi ya katuni ndivyo mapepo yalivyo wachora katuni wanajua hili.
 
Scooby doo, spider man, monster university, katuni za walter destiny. Nk zote Yale ni maumbo ya mapepo majini.
 
Nimeanza kuangalia cartoon tokea nursery mpaka leo Nina Miaka 32 na bado NAWAPELEKEA MOTO.

Huo ushoga uko wapi?

Punguzeni ujinga kwenye vitu vitamu kama ANIMATION.

#YNWA
Behind the scenes kuna ajenda maalumu kwa waandaji wa katuni wengi ni ajent.
 
Haya yananihusu 100%,siwezi kuacha kuwapa taarifa watu ili waepukane na uovu na udanganyifu wa Shetani,it is my moral duty.

Kwa hasira hizi,inaelekea you and Disney are collaborators in one way or the another.Pole kama nime-expose siri zenu.That is my moral duty however and I am commissioned to do that by God,na sitaacha.
Awaelewi laiti wangekuwa na Elimu ya ulimwengu wa roho wasingepinga.
 
Kwanini mkishindwa hoja mnaanza kuita watu mashoga? Mimi nina exposure ya kutosha so naheshimu uhuru wa mtu as long as hauniathiri. Sasa toka lini ukisema hilo unakua shoga?

Co-existence yenyewe si ndio hivi unatumia google ingawa Ina support ushoga. Kama sio unafiki ni nini? Kma hupendi co existence acha kuangalia EPL na kutumia google au kutumia windows maana zote hizo Zina support gay rights!!
Sio kwamba KILA wakati au program zote nyakati zote usapoti hayo mambo, muhimu ni kuwa awareness parents control ujue kipi cha kutazama na kipi usitazame.
 
Nimesoma huu uzi naona akili za watu tayari zimeshachafuka na haya mambo na hizi agenda zimeanza kuwa au zimeshakuwa planted deeply in their subconsciousness. which influences their consciousness to think it's a normal thing now.

Conscious mind (ambayo ni wewe) ndiyo yenye reasoning na decision making, yenye awareness ya baya na zuri na ndiyo inayoamua wazo au idea fulani ikubaliwe au isikubaliwe, ipitishe au isipitishwe kwa kutumia vitu hivyo vitatu.

Lakini Subconscious mind haina reasoning, decision making wala awareness ya baya na zuri bali yenyewe inapokea chochote kitakachopitishwa na Conscious mind, hivyo haijarishi kitu kitakachopitishwa kiwe kibaya au kizuri chenyewe moja kwa moja kitabaki ndani ya Subconscious mind.

Here comes the funny part.
Subconscious mind ndiyo inayoinfluence Habitually na Everyday Thinking ya Conscious mind, means na wewe utaanza kuwa influenced na hiyo idea au wazo ulilopitisha na kuanza kuona ni kawaida sababu it becomes a part of you na inaweza kuescalate now hapa ni mbaya kwa watoto sababu wao bado hawajitambui.

Not done yet, here comes the tricky part.
Conscious mind inaweza ikawa inatambua kwamba wazo au kitu fulani ni kibaya na ikakataa kupitisha hilo wazo.
Lakini Conscious mind siyo lazima ikubali au ikatae wazo fulani directly bali chochote kile ambacho unakifiria kwa muda mrefu na kuksikia mara kwa mara basi automatically kitapita na kubaki ndani ya Subconscious mind, na hivi ndio jinsi gani propaganda zinafanya kazi.

Kwa kukusikilizisha na kukuonesha mara kwa mara means hata kama hautokubali lakini kuna nafasi kubwa ya kuona wazo au kitu fulani ni cha kawaida na utahitaji a strong mind kutambua hili. kwa mara nyingine tena hii ni hatari zaidi kwa watoto sababu wao wanakuwa bado hawajitambui hivyo nafasi ya kupotea ni kubwa.

Kwa mchanganuo huo ndio sababu ya watu wengi humu wamepotea hata comments zao zinaonyesha hivyo.
Angalia na kuwa makini unachokifikiria muda mwingi na kuilisha akili yako mwisho wa siku consequences na matokeo ni hayo hayo.

Nawakumbusha tu waliopotea kwamba binadamu ili awe binadamu ni lazima afuate kanuni za ubinadamu na nature ilivyo, vinginevyo sio binadamu na wala hana utu tena. na ni vizuri kuangalia upande wa imani pia.

Actually I'm not even supposed to be here in this kind of content, I just came to inform and remind you.
nimekuja tu kuwakumbusha.
Thankyou for this post mortem mkuu.Ni kweli tatizo ni kwamba watu hawapo makini na wanacholisha akili zao.They just do not care.Hii ni hatari sana,hasa kwa watoto.But it is true that moral standards are molded by what you see and hear.
 
Kwa hiyo tuhame duniani,kwa sababu kuna waovu,hapana kwa kuwa hatuwezi.Ila kwa kuwa tunajua uovu sio mapenzi ya Mungu,lazima kila wakati tujaribu kuwarudisha walio kinyume na Mungu kwenye msitari,kwa kuwa dhambi ina cost:eternal death.Wala sio unafiki,ni moral duty.
Hivi unajua hata Mungu ni nini au ni nani ?
 
Back
Top Bottom