For the sake of National Unity, Je tumshauri Dkt. Magufuli aahidi kumteua Tundu Lissu kuwa Mbunge?

Wanabodi,

Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, ni keshokutwa tuu, siku ya Jumatano ijayo, kwa mazingira ya the political dynamics za siasa za nchi yetu, hali halisi ya uwanja wetu wa siasa ulivyo, katiba yetu ilivyo, sheria yetu ya uchaguzi ilivyo, Tume yetu ya uchaguzi ilivyo, hali ya political awareness ya Watanzania interns of political awakening, there is no way, mpinzani anaweza kushinda urais wa nchi hii, hivyo tunaposema CCM itatawala milele, naomba mtuelewe.

Katika uchaguzi huu, kwa upande wa urais, ushindani mkali ni wagombea mawili tuu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM na Tundu Antipacy Lissu wa Chadema.

Mimi Paskal Mayalla najisikia very proud kwasababu ni mmoja wa watu wa mwanzo, kumshauri Lissu agombee na rais Magufuli, na kuna sifa fulani ya Lissu anayo ambayo anamzidi Magufuli, Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Kutokana na sifa hiyo ambayo Lissu anamzidi Magufuli, ni kweli mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu, ina hamasa kubwa na makundi makubwa ya watu, ambayo kisasa wanayaita nyomi, hali inayopelekea watu wajinga wasiojua siasa za kweli za nchi, kudhani hayo makundi ya watu ndio kura hizo! hivyo kujiaminisha Tundu Lissu ndiye anakwenda kushinda urais!, masikini hawa, hawajui decisive votes kwa uchaguzi wa Tanzania, zinatoka wapi!.

Determinant ya kura za ushindi kwa uchaguzi wa Tanzania, ni kura za watu wa vijijini. Chama pekee kilichowafikia Watanzania wote hadi vijijini ni CCM, vyama vya upinzani ni maarufu mijini tuu, hizo nyomi za hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni, sio kura hizo, kura zenyewe halisi ziko vijijini na huko ndiko CCM ilipo, hivyo kura zote za vijijini ni za CCM.

Ukiondoa hizo kura za vijijini ambazo tayari ziko kibindoni kwa CCM, na kama hii hoja hapa ni kweli.

Then there is no way Upinzani unaweza kushinda uchaguzi huu, hivyo mshindi wa uchaguzi Mkuu huu ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli na CCM. Kwa vile there's no way Tundu Lissu anaweza kushinda uchaguzi huu, kuna mwana jf mwenzetu huyu Kishimbe wa Kishimbe , amatoa mawazo mazuri sana kwenye bandiko hili.
ameshauri


Mkuu Kishimbe wa Kishimbe , kwanza asante kwa objectivity
3. Hoja yako ya tatu, ni hoja ya msingi sana, nakuunga mkono asilimia 100% chini ya 100%, tubadili katiba, tuweke clause, wagombea wote wa urais, watakao pata kura zaidi ya asilimia 10%, wawe wabunge wa taifa automatically.

Mimi kwenye bandiko langu hili,
nimemshauri Magufuli, kwa vile atashinda kwa kishindo, then awateue, Lissu, Zitto, Mbowe, Lipumba na Mbatia, wawe wabunge wa kuteuliwa!.

Kutokana na Watanzania wenzetu wengi kuwa na too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda uchaguzi huu wakati sisi tunaojua reality ya ushindi wa uchaguzi sio tuu ni the votes casted, but the votes counted, hivyo the determinant of victory is not vote cast but vote count. Ili Watanzania wenzetu watakapo kutana na ukweli huu kwenye matokeo, wasije kuchanganyikiwa kwa despair kwa kutoamini macho yao na masikio yao kwa kitakacho tokea, bandiko hili ni msaada mkubwa kwao, kuzuia panic na kupata pressure, kwasababu they knew before, waliambiwa.

Kumpigia kura mtu ambaye hatashinda, ingawa nayo ndio kutumia haki yako ya kidemokrasia kuwachagua viongozi unaowataka, lakini intems of utawala wa nchi, unakuwa umepoteza kura yako.

Sasa ili kuwasaidia Watanzania wenzetu wasipoteze kura zao, Jee mnaonaje tumshauri Rais Magufuli ambaye yeye ndiye mgombea wa chama cha ushindi, CCM, atoe a solid promise kwa Watanzania, kuwa atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, kwenye zile nafasi zake kumi za wabunge wa kuteuliwa, hivyo waliopanga kumpigia kura Tundu Lissu, wasiwe na wasiwasi, Tundu Lissu hata asiposhinda urais, bado atakuwa ni Mbunge wa kuchaguliwa na kuwatumikia wananchi, hivyo natoa wito, badala ya kumpigia kura Tundu Lissu, hizo kura za Lissu, mpigie Magufuli, kisha Magufuli atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, hivyo hapo unakuwa hujapoteza kura yako.

Hii hoja ya wagombea wote wa urais watakaopata zaidi ya asilimia 10% ya kura za urais, kuingia Bungeni automatically, kutajenga sana a national unity.

Mnaonaje hili, la kura za Lissu apigiwe Magufuli?.

Paskali
KITiMOTo una shida kubwa kichwani
 
Umetumia maneno meeeeengi kukwepa kusema kuwa CCM itashinda kwa kuiba Kura. Ooooh votes casted not votes counted. Unasifia wizi.

Umeelezea kuwa Kura zote za Vijijini ni za CCM. Una uhakika gani kwenye hili?? Wewe ni mkazi wa Huku vijijin?? Nakusihi usiishi kimazoea, Mwaka huu JPM ana upinzani mkubwa Vijijini na Mijini.
Wizi wa nini wakati Lissu ni mgombea dhaifu kuwahi kutokea. Hata enzi ya CUF ngangali kiwango chake Lissu hajakifikia hata nusu.Acheni kumpa sifa asizostahili, yule anashindwa asubuhi mapema Lissu kilichombeba kwenye kampeni ni risasi zake 16
Yule an
 
Hii wala haihitaji sijui kuwa jiniaz au mchambuzi wa siasa uchwara kujua kuwa mfumo wa uchaguzi kisheria na kikatiba ni kwa ajili ya chama kilichopo madarakani kuendelea kutawala.

Hauhitaji sayansi yoyote wala uchambuzi wa kikufunzi.

The president who has unlimited command and arbitrary control over the intelligence agency, the police and almost every institution, it is CRAZY to think he will lose the election.

Ni aina ya Rais ambaye ana nguvu za mungu za kuamuru na kuagiza lolote na yeyote na hakuna wa kumzuia.

Ana kila nyenzo halali na haramu ya kushinda uchaguzi kiharamia na kirahisi sana.

Wala hakuna miujiza au matumizi ya akili nyingi hapa.

Haya ni mambo dhahiri shahiri ambayo hayahitaji kuwa jiniaz kuyachambua kwa methali nyingi na tamathali za semi.
Lkn mifumo yote hio ni Takataka pindi umma ukiamua kufanya mabadiliko,hio ilifaa kizazi mfu cha zamani na sio cha sasa.Nguvu ya upepo wa mabadiliko iliyoanzia afrika kaskazini ingali ikisambaa afrika nzima hata Kama sio kwa speed
 
Wizi wa nini wakati Lissu ni mgombea dhaifu kuwahi kutokea. Hata enzi ya CUF ngangali kiwango chake Lissu hajakifikia hata nusu.Acheni kumpa sifa asizostahili, yule anashindwa asubuhi mapema Lissu kilichombeba kwenye kampeni ni risasi zake 16
Yule an
Saa Mbovu.
 
Vibendera wa Jf huwa "carried" na nyomi za kampeni miaka yote ila kabla na baada ya kampeni huwa wanaongea uhalisia.

Kifafa huanzia kwenye mikutano ya kampeni na kuisha siku ya kutangazwa mshindi.

Waliporusha chopa tatu kwenye by election 2014 na kuambulia kata 3 kati ya 27 napo makelele yalikuwa haya haya tu.

Hiyo sheria pendekezwa inatumika nchi yoyote hapa duniani?

Mwaka 2005 George Weah alishinda uchaguzi duru ya kwanza ila hakufikisha 50%,akaenda duru ya pili na Ellen J Sirleaf

Ellen akashinda,Weah ikaishia hapo hata udiwani hakupata na maisha yakaendelea.

What's so special with Lisu?
 
Hayo ya kuteuliwa ni yakwenu wewe pascall mayala yaani manjaaa, proffesa wa jalalani, yule Bibi kidude wa mbeya, na wengine wenye Kama wewe wasaka tonge sio msaka haki na mzalendoo Lissu kuomba au kusubili kuteuliwa. Njaaaaa=mayalla
 
Umeshindwa kumshauri afate katiba ya nchi unahangaika kumshauri kitu ambacho wala hana hata nia nacho kwani alishasema tayari.
Kama unataka haya yafanyike mshaurini alete katiba mpya tu ili hizi ngonjera ziishe.
Rais Magufuli inajulikana hashauriki na nyinyi mnaojifanya kumshauri mnajua pia kuwa hamna uwezo wa kumshauri afate katiba iliyopo kwahiyo mnachofanya ni kujionyesha kwake tu baada ya kuwaambia ukweli kuwa yeye ni JIWE na wewe ushakutana na jibu lake.
 
Nikupe shule , siasa ni upepo na sio hisabati, kulimnganisha jiwe na Lisu ni kumkosea heshima Lisu, jiwe hawezi siasa za hoja Wala za ushindani nje ya kubebwa, hana historia ya kushinda chochote hata ubunge alibebwa baada ya kuukosa mara mbili ndo akaja na mbinu za kupita bila kupingwa akiwa ndo muasisi wa uhuni huu baada ya kumlob msimamizi wa uchaguzi. Njaa ya miaka hii 5 imepeleka muaamko Mkubwa sana wa kuikataa ccm vijijini kuliko hata mjini kila mtu ni shahidi kwa taarifa yako, Kama trump tu anajulikana Hadi vijijini sababu ya mitandao sembuse Lisu, police wamefanya kazi nzuri Sana ya kuibomoa ccm ichukiwe zaidi na wananchi kupitia vitendo viovu walivyowatendea wapinzani kwa miaka 5 hii na kusaidia upinzani kuzidi kuwa maarufu zaidi rejea kesi zisizo walizobambikiwa wapinzani, kifo Cha Aquiline, kufungwa kwa Mbowe, kamatakamata ya Zito, Lisu,zuio la mikutano na, manunuzi ya wapinzani, kusomeshwa namba, matumizi mabaya ya Kodi zetu,undugunaizeni, nk hii imepelekea zaidi kuzalisha chuki kubwa Sana dhidi ya ccm kwa sababu watz kiasili ni watu wa huruma na upendo hizi tabia za kihutu hatuna ukimtesa mtz mmoja ni Kama umewatesa wote, mioyo ya wengi imeumizwa thus baada ya ujio wa Lisu umebadilisha upepo na kuleta Hali mpya ya kila mtz kujitokeza kwenda kulipiza kisasi dhidi ya mateso maana wengi walikata tamaa ya kupiga kuacha kupiga kura sababu ya uhuni wa yaliyojitokeza ya chaguzi za kihuni za serikali za mitaa za kuwanyima watz haki zao za kuwachagua wawakilishi wao.
Kwa Hali hii ccm inashindaje sasa, maana mbinu zote zao za wizi Sumaye na Lowasa walishatoa Siri pindi wapo upinzani. We uoni wanavyohaha Mara wamkamate mdee, Heche, lema, esta matiko wakihisia wanaweza pata mitambo ya kunasia matokeo wanaambulia patupu.
Jiwe atakuwa chattotown au the Hague sasa hiyo nafasi ya kutoa ubunge atapatia wapi.
 
Bro Wazo Lako ni Zuri
Sana, ila Wazo hili litumike kwa wagombea wenye Adabu na Heshima kwa Wenzao. Tundu Lissu Hana Adabu IVI HUYU ANAEMTUHUMU MAGUFULI KUWA ALITAKA KUMUUA KWELI ANASTAHILI HURUMA YA UTEUZI???

Huyu Mtu ni Mshenzi Hafai Kuhurumiwa hata Kidogo Anatakiwa aadhibiwe kwa Kura za kishindo kwa Rais MAGUFULI.. Huyuu Uchaguziii Ukishaisha Akamatwe Akathibitishe Tuhuma nzito Juu ya Raisi wetu, Dr Slaa wakati akiongoza Kampeni zake hakutukana wala kutuhumu watu bila ushahidi... Ndio maana haikuwa ngumu kuteuliwa na Prezoo.... TUNDU LISSU ANATAKIWA KWANZA AOMBE MSAMAHA RAIS AOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA KAULI ZAKE ZA KUKOSA ADABU NA HESHIMA Baada ya hapo Ndio Afikiliwe kwenye uteuzi Wa aina yoyote.... MIMI NAMSHUARI RAIS MAGUFULI AMTEUWE MBATIA HUYU JAMAA NI MAZLAENDO NA ANATUMIA AKILI YAKE KWA MANUFAA YA TAIFA

SIO HAWA WANAOTAKA KUWEKA REHANI MADINI YETU🤣😂🤣😂🤣😂

IVI KWELI HAWS HAPO SERIOUS KWELI UNAWEKAJE REHANI MADINI KWA WEZIIIII WAZUNGU NI WEZIIII JAMANII DHULUMATIII NA WANAFKI ACHENI KABISAA.

TUNDU LISSU OMBA MSAMAHAA MAPEMA

TUMIA MKUTANO WAKO WA MWISHO KUMWOMBA MSAMAHA RAIS MAANA UTAPATA TAABU SANA
Tundu Lissu aombe msamaha ...inachekesha!? Kama Kuna mtu anaumuia si aende Mahakamani!
 
Wanabodi,

Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, ni keshokutwa tuu, siku ya Jumatano ijayo, kwa mazingira ya the political dynamics za siasa za nchi yetu, hali halisi ya uwanja wetu wa siasa ulivyo, katiba yetu ilivyo, sheria yetu ya uchaguzi ilivyo, Tume yetu ya uchaguzi ilivyo, hali ya political awareness ya Watanzania interns of political awakening, there is no way, mpinzani anaweza kushinda urais wa nchi hii, hivyo tunaposema CCM itatawala milele, naomba mtuelewe.

Katika uchaguzi huu, kwa upande wa urais, ushindani mkali ni wagombea mawili tuu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM na Tundu Antipacy Lissu wa Chadema.

Mimi Paskal Mayalla najisikia very proud kwasababu ni mmoja wa watu wa mwanzo, kumshauri Lissu agombee na rais Magufuli, na kuna sifa fulani ya Lissu anayo ambayo anamzidi Magufuli, Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Kutokana na sifa hiyo ambayo Lissu anamzidi Magufuli, ni kweli mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu, ina hamasa kubwa na makundi makubwa ya watu, ambayo kisasa wanayaita nyomi, hali inayopelekea watu wajinga wasiojua siasa za kweli za nchi, kudhani hayo makundi ya watu ndio kura hizo! hivyo kujiaminisha Tundu Lissu ndiye anakwenda kushinda urais!, masikini hawa, hawajui decisive votes kwa uchaguzi wa Tanzania, zinatoka wapi!.

Determinant ya kura za ushindi kwa uchaguzi wa Tanzania, ni kura za watu wa vijijini. Chama pekee kilichowafikia Watanzania wote hadi vijijini ni CCM, vyama vya upinzani ni maarufu mijini tuu, hizo nyomi za hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni, sio kura hizo, kura zenyewe halisi ziko vijijini na huko ndiko CCM ilipo, hivyo kura zote za vijijini ni za CCM.

Ukiondoa hizo kura za vijijini ambazo tayari ziko kibindoni kwa CCM, na kama hii hoja hapa ni kweli.

Then there is no way Upinzani unaweza kushinda uchaguzi huu, hivyo mshindi wa uchaguzi Mkuu huu ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli na CCM. Kwa vile there's no way Tundu Lissu anaweza kushinda uchaguzi huu, kuna mwana jf mwenzetu huyu Kishimbe wa Kishimbe , amatoa mawazo mazuri sana kwenye bandiko hili.
ameshauri


Mkuu Kishimbe wa Kishimbe , kwanza asante kwa objectivity
3. Hoja yako ya tatu, ni hoja ya msingi sana, nakuunga mkono asilimia 100% chini ya 100%, tubadili katiba, tuweke clause, wagombea wote wa urais, watakao pata kura zaidi ya asilimia 10%, wawe wabunge wa taifa automatically.

Mimi kwenye bandiko langu hili,
nimemshauri Magufuli, kwa vile atashinda kwa kishindo, then awateue, Lissu, Zitto, Mbowe, Lipumba na Mbatia, wawe wabunge wa kuteuliwa!.

Kutokana na Watanzania wenzetu wengi kuwa na too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda uchaguzi huu wakati sisi tunaojua reality ya ushindi wa uchaguzi sio tuu ni the votes casted, but the votes counted, hivyo the determinant of victory is not vote cast but vote count. Ili Watanzania wenzetu watakapo kutana na ukweli huu kwenye matokeo, wasije kuchanganyikiwa kwa despair kwa kutoamini macho yao na masikio yao kwa kitakacho tokea, bandiko hili ni msaada mkubwa kwao, kuzuia panic na kupata pressure, kwasababu they knew before, waliambiwa.

Kumpigia kura mtu ambaye hatashinda, ingawa nayo ndio kutumia haki yako ya kidemokrasia kuwachagua viongozi unaowataka, lakini intems of utawala wa nchi, unakuwa umepoteza kura yako.

Sasa ili kuwasaidia Watanzania wenzetu wasipoteze kura zao, Jee mnaonaje tumshauri Rais Magufuli ambaye yeye ndiye mgombea wa chama cha ushindi, CCM, atoe a solid promise kwa Watanzania, kuwa atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, kwenye zile nafasi zake kumi za wabunge wa kuteuliwa, hivyo waliopanga kumpigia kura Tundu Lissu, wasiwe na wasiwasi, Tundu Lissu hata asiposhinda urais, bado atakuwa ni Mbunge wa kuchaguliwa na kuwatumikia wananchi, hivyo natoa wito, badala ya kumpigia kura Tundu Lissu, hizo kura za Lissu, mpigie Magufuli, kisha Magufuli atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, hivyo hapo unakuwa hujapoteza kura yako.

Hii hoja ya wagombea wote wa urais watakaopata zaidi ya asilimia 10% ya kura za urais, kuingia Bungeni automatically, kutajenga sana a national unity.

Mnaonaje hili, la kura za Lissu apigiwe Magufuli?.

Paskali
Aanze na kukuteua wewe TL hana njaa.
 
Mkuu P naomba ufafanuzi.

Kwa hiyo unaamanisha wanaohisi mgombea wao hatoshinda basi wasipige kura?

Kama kumpigia kura mgombea ninayehisi atashindwa ni kupoteza kura, vipi kuna haja ya kuwa na uchaguzi? Si huyo mgombea mwenye nguvu atangazwe tu tuepuke gharama?
Hapana, kutopiga kabisa kura, ni kushindwa kuitumia haki yako ya kidemokrasia kuwachagua viongozi unaowataka, ikimpigia kura mgombea wa kushindwa, unapoteza kura yako, hivyo badala ya kumpigia mgombea wa kushindwa, kura yako mpe mgombea wa kushinda.
P
 
Wanabodi,

Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, ni keshokutwa tuu, siku ya Jumatano ijayo, kwa mazingira ya the political dynamics za siasa za nchi yetu, hali halisi ya uwanja wetu wa siasa ulivyo, katiba yetu ilivyo, sheria yetu ya uchaguzi ilivyo, Tume yetu ya uchaguzi ilivyo, hali ya political awareness ya Watanzania interns of political awakening, there is no way, mpinzani anaweza kushinda urais wa nchi hii, hivyo tunaposema CCM itatawala milele, naomba mtuelewe.

Katika uchaguzi huu, kwa upande wa urais, ushindani mkali ni wagombea mawili tuu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM na Tundu Antipacy Lissu wa Chadema.

Mimi Paskal Mayalla najisikia very proud kwasababu ni mmoja wa watu wa mwanzo, kumshauri Lissu agombee na rais Magufuli, na kuna sifa fulani ya Lissu anayo ambayo anamzidi Magufuli, Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Kutokana na sifa hiyo ambayo Lissu anamzidi Magufuli, ni kweli mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu, ina hamasa kubwa na makundi makubwa ya watu, ambayo kisasa wanayaita nyomi, hali inayopelekea watu wajinga wasiojua siasa za kweli za nchi, kudhani hayo makundi ya watu ndio kura hizo! hivyo kujiaminisha Tundu Lissu ndiye anakwenda kushinda urais!, masikini hawa, hawajui decisive votes kwa uchaguzi wa Tanzania, zinatoka wapi!.

Determinant ya kura za ushindi kwa uchaguzi wa Tanzania, ni kura za watu wa vijijini. Chama pekee kilichowafikia Watanzania wote hadi vijijini ni CCM, vyama vya upinzani ni maarufu mijini tuu, hizo nyomi za hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni, sio kura hizo, kura zenyewe halisi ziko vijijini na huko ndiko CCM ilipo, hivyo kura zote za vijijini ni za CCM.

Ukiondoa hizo kura za vijijini ambazo tayari ziko kibindoni kwa CCM, na kama hii hoja hapa ni kweli.

Then there is no way Upinzani unaweza kushinda uchaguzi huu, hivyo mshindi wa uchaguzi Mkuu huu ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli na CCM. Kwa vile there's no way Tundu Lissu anaweza kushinda uchaguzi huu, kuna mwana jf mwenzetu huyu Kishimbe wa Kishimbe , amatoa mawazo mazuri sana kwenye bandiko hili.
ameshauri


Mkuu Kishimbe wa Kishimbe , kwanza asante kwa objectivity
3. Hoja yako ya tatu, ni hoja ya msingi sana, nakuunga mkono asilimia 100% chini ya 100%, tubadili katiba, tuweke clause, wagombea wote wa urais, watakao pata kura zaidi ya asilimia 10%, wawe wabunge wa taifa automatically.

Mimi kwenye bandiko langu hili,
nimemshauri Magufuli, kwa vile atashinda kwa kishindo, then awateue, Lissu, Zitto, Mbowe, Lipumba na Mbatia, wawe wabunge wa kuteuliwa!.

Kutokana na Watanzania wenzetu wengi kuwa na too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda uchaguzi huu wakati sisi tunaojua reality ya ushindi wa uchaguzi sio tuu ni the votes casted, but the votes counted, hivyo the determinant of victory is not vote cast but vote count. Ili Watanzania wenzetu watakapo kutana na ukweli huu kwenye matokeo, wasije kuchanganyikiwa kwa despair kwa kutoamini macho yao na masikio yao kwa kitakacho tokea, bandiko hili ni msaada mkubwa kwao, kuzuia panic na kupata pressure, kwasababu they knew before, waliambiwa.

Kumpigia kura mtu ambaye hatashinda, ingawa nayo ndio kutumia haki yako ya kidemokrasia kuwachagua viongozi unaowataka, lakini intems of utawala wa nchi, unakuwa umepoteza kura yako.

Sasa ili kuwasaidia Watanzania wenzetu wasipoteze kura zao, Jee mnaonaje tumshauri Rais Magufuli ambaye yeye ndiye mgombea wa chama cha ushindi, CCM, atoe a solid promise kwa Watanzania, kuwa atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, kwenye zile nafasi zake kumi za wabunge wa kuteuliwa, hivyo waliopanga kumpigia kura Tundu Lissu, wasiwe na wasiwasi, Tundu Lissu hata asiposhinda urais, bado atakuwa ni Mbunge wa kuchaguliwa na kuwatumikia wananchi, hivyo natoa wito, badala ya kumpigia kura Tundu Lissu, hizo kura za Lissu, mpigie Magufuli, kisha Magufuli atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, hivyo hapo unakuwa hujapoteza kura yako.

Hii hoja ya wagombea wote wa urais watakaopata zaidi ya asilimia 10% ya kura za urais, kuingia Bungeni automatically, kutajenga sana a national unity.

Mnaonaje hili, la kura za Lissu apigiwe Magufuli?.

Paskali
Kwa mazingira hayahaya, kwa jiamin hivihivi bado mnaweza angukia kilio, lissu haitaji ubunge kwa Sasa Wala uwaziri au ubalozi,lissu dunia inamhitaji hata kuliko wanavyo mhitaji watanzania,lissu hawezi kufa njaa,Sasa utashangaa viongozi wa uvccm wanakichukulia poa Kama mtu wa kawaida,lissu Hana Bei ,labda kuanzia tirion 14 angalau mnaweza anza mazungumzo,ila pia anaweza zikataa,lissu ni vizazi vya kina mwl nyerere,na sio mtu wa kawaida anapigwa mabom na anashuka jukwaa akiwa wa mwisho, lissu amezaa watoto ila Wenda huruka yake wasiwe nayo labda moja ya wajukuu wake huko mbele
Lissu hakuna kiongozi wa nchi hii asiemjua ukitoa mwinyi na nyerere kwa mbali, mfano utawala mwl nyerere Kama mkufunzi wa jkt ungetowa wapi kupinga majenerali but lissu alidhubutu, tundu ni mtundu Sana mpaka mama Makinda analijua ,Tibajuka analijua pia
Tundu sio mtu wa kawaida,na hua ni watu wachache Sana kwenye taifa nasema
 
Back
Top Bottom