Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
na kumpaka mtoto wanja aidha kwenye nyusi nao kunazuia nini? waswahili twapenda sana!!
namaba nne ya kwanza kweli ni mambo impossible......sasa utakuwa watafuta nini duh!!! iamani zingine we acha tu!
zongo...eti mtu akimwangalia kwa jicho baya balaa licmpate mtoto, khaa uswahili wanaitumia hii formula sana, unakuta mtoto kakandikwa miwanja utasema mcheza shoo wa twanga.