For Teamo and Co: Baadhi ya imani potofu kuhusu uzazi na watoto

12. Ndoa, siku ya harusi lazima mwanamume ahakikishe anamkanyaga kidole cha mguu mwanamke, akimuacha mwanamke akamkanyaga yeye, mwanamke atamuendesha kwenye ndoa yao

hiyo nimeipenda!
 
na pia kuna kamtindo nilishawahi kuona kondakta wa basi moja kabla ya kuondoka anarusha vimawe ndani ya basi nikauliza sababu ni nini nikaambiwa eti kuna wanawake wako kwenye siku zao wataleta mkosi barabarani.....kwa kweli huu ni uonevu
mungu wangu!!!! tangu nizaliwe sijawahi kusikia unyanyapaa wa namna hii duniani

sijui nicheke au nilie??
 
muda wa usiku ukienda kuomba chumvi kwa jirani sema umefuata dawa ya jikoni na usitamke neno chumvi!
 
hehehehe!
jamani HABARINI ZA ASUBUHI wajameni?......

nasikia mvua ikinyesha na JUA NA WAKA eti simba nazaa eti......!

eti akichinjwa kuku nyumbani PAJA ni maalumu kwa baba mwenye nyumba tu...mama haki yake ni shingo

eti wanawake WALIOJAA UZITO hawaruhusiwi kula MAYAI....!

kwamba wanaume wana haki ya kuwa na wake wawili au zaidi LAKINI MWANAMKE HAWEZI KUWA NA WANAUME ZAIDI YA MMOJA(hapa nipo kimaadili zaidi na ki-ndoa moja kwa moja)

jamani eeh MPOOOOO JAMANI!?

hehehehe!

ngoja nikamalizie valuu yangu nimeiacha kwenye tukutuku hapo parking!

NITARUDI JAMANI

:llama::llama:
 
Eti KUKU akichinjwa nyumbani basi FIRIGISI ni maalumu kwa BABA MWENYE NYUMBA

Eti haurusiwi kusalimia watu wakati unakula
 
Shikamooni wakubwa

Marahaba wadogo zangu

Kule kwetu Mkuu Rombo tulikuwa tuaamini hifi:

Ukiwashwa kiganja cha mkono wa kushoto basi kuna pesa natafuta wewe...ole wako uwashwe kiganja cha kulia...pesa sote uliyo naso napotesa

Kope ya Jicho la kushoto ikitingishika kuna wageni wanakuja, likitingishika la kulia jiandae na msiba...OMG!

Kiamka usubuhi baioloji megoma kusimama jua siku hiyo kuna kabinti mtadumisha nako mila chini ya mkahawa, ila ukiamka imesimama, labda umbake dadako hiyo siku!!

Niendelee au nisiendelee? Damn hangover!
 
Shikamooni wakubwa

Marahaba wadogo zangu

Kule kwetu Mkuu Rombo tulikuwa tuaamini hifi:

Ukiwashwa kiganja cha mkono wa kushoto basi kuna pesa natafuta wewe...ole wako uwashwe kiganja cha kulia...pesa sote uliyo naso napotesa

Kope ya Jicho la kushoto ikitingishika kuna wageni wanakuja, likitingishika la kulia jiandae na msiba...OMG!

Kiamka usubuhi baioloji megoma kusimama jua siku hiyo kuna kabinti mtadumisha nako mila chini ya mkahawa, ila ukiamka imesimama, labda umbake dadako hiyo siku!!

Niendelee au nisiendelee? Damn hangover!

Ha ha ha ha ha pazuri hapo
 
Duh......Asprin kumbe unazijua mila japo kuwa nyengine kaa za kutunga hivi!
 
Kwamba kama mwanamke amepata ujauzito kwa infii wake....basi akimruka mme wake (wakati akiwa mjamzito bado) basi mtoto atakae zaliwa atakua fotokopi ya mzee...
 
zingine
- mama mjamzito au anayenyonyesha akimuangalia na kumshangaa mwenye ulemavu au kasoro (km kengeza, kiwete), mwanae anachukua hiyo hali (makwata)
- Ni marufuku kuosha vyombo vya chakula usiku baada ya watu kula, kwani wataumwa tumbo
- asubuhi mtu wa kwanza unayekutana naye kama ameweke mikono mfukoni ni mkosi (unamwambia 'fungua mkosi', anatoa mikono mfukoni)
- Mama aliye kwenye siku zake akiwepo wakati ng'ombe wanapandishwa, zoezi halifanikiwi (nilishashuhudia wamama wanafukuzwa katika eneo la tukio, then dume akaweza kulenga)
- kuna mmea unaitwa 'isale', ukitoa maua ni kiashiria cha njaa mwaka huo. dawa yake ni kukata hayo maua na kuyatupa barabarani
- mzazi akifariki (bila kuacha wosia wa mali zake) atakwenda nazo kwa maana kuwa watakaozirithi watafilisika. dawa ni kukata migomba (uchagani) na kuiotesha kichwa chini miguu juu
- mama yako akikupiga na mwiko hautaoa
mama yako akikubinulia ****** unaweza kufa
- jogoo akiwika mlangoni asubuhi mtatembelewa na mgeni/wageni siku hiyo
- hairuhusiwi kukaa ukiwa umeshikilia pombe. unampa mtu anakushikia, ukishakaa ndo unaichukua
- ni marufuku kumpa mtu pombe bila kuonja hapo
- mbweha akipita anabweka usiku, kuna mtu atakufa mtaa huo
- mtoto akizaliwa saa sita kamili usiku (au dakika chache kabla/baada ya hapo) anakuwa na akili sana

- Je, mnaijua ile ya watu kuwa na kijicho? Kuwa baadhi ya watu wakimtazama mtoto mchanga atalia sana (anaweza hata kufa ) pale wanapoondoka. Au akiangalia kitu kizuri sana (km ngombe mkubwa), huyo ngombe anakufa. Kuna mama alikuwa akienda kwa watu anasema kwa sauti tangu akiwa nje kuwa kama kuna mtoto karibu afichwe (alikuwa anajijua kuwa ana kijicho!)
 
Kwamba kama mwanamke amepata ujauzito kwa infii wake....basi akimrudi mme wake (wakati akiwa mjamzito bado) basi mtoto atakae zaliwa atakua fotokopi ya mzee...
Hapo katibu naona uko kikazi zaidi! Hiyo iko kwenye katiba yetu?
 
Kwamba kama mwanamke amepata ujauzito kwa infii wake....basi akimrudi mme wake (wakati akiwa mjamzito bado) basi mtoto atakae zaliwa atakua fotokopi ya mzee...

Ngoja nimwambie Kaizer kwenye ile ishu yake ajaribu kuiconvince small house yake ifanye kama ulivyobainisha hapo juu naona tatizo lake litakuwa limekwisha
 
zingine
- mama mjamzito au anayenyonyesha akimuangalia na kumshangaa mwenye ulemavu au kasoro (km kengeza, kiwete), mwanae anachukua hiyo hali (makwata)
- Ni marufuku kuosha vyombo vya chakula usiku baada ya watu kula, kwani wataumwa tumbo
- asubuhi mtu wa kwanza unayekutana naye kama ameweke mikono mfukoni ni mkosi (unamwambia 'fungua mkosi', anatoa mikono mfukoni)
- Mama aliye kwenye siku zake akiwepo wakati ng'ombe wanapandishwa, zoezi halifanikiwi (nilishashuhudia wamama wanafukuzwa katika eneo la tukio, then dume akaweza kulenga)
- kuna mmea unaitwa 'isale', ukitoa maua ni kiashiria cha njaa mwaka huo. dawa yake ni kukata hayo maua na kuyatupa barabarani
- mzazi akifariki (bila kuacha wosia wa mali zake) atakwenda nazo kwa maana kuwa watakaozirithi watafilisika. dawa ni kukata migomba (uchagani) na kuiotesha kichwa chini miguu juu
- mama yako akikupiga na mwiko hautaoa
mama yako akikubinulia ****** unaweza kufa
- jogoo akiwika mlangoni asubuhi mtatembelewa na mgeni/wageni siku hiyo
- hairuhusiwi kukaa ukiwa umeshikilia pombe. unampa mtu anakushikia, ukishakaa ndo unaichukua
- ni marufuku kumpa mtu pombe bila kuonja hapo

- mbweha akipita anabweka usiku, kuna mtu atakufa mtaa huo
- mtoto akizaliwa saa sita kamili usiku (au dakika chache kabla/baada ya hapo) anakuwa na akili sana

- Je, mnaijua ile ya watu kuwa na kijicho? Kuwa baadhi ya watu wakimtazama mtoto mchanga atalia sana (anaweza hata kufa ) pale wanapoondoka. Au akiangalia kitu kizuri sana (km ngombe mkubwa), huyo ngombe anakufa. Kuna mama alikuwa akienda kwa watu anasema kwa sauti tangu akiwa nje kuwa kama kuna mtoto karibu afichwe (alikuwa anajijua kuwa ana kijicho!)

Sijui kwenye bar zetu ina apply pia
 
hiyo no mbli kuhusu mambo ya watoto hata mie niliambiwaga hilo, bac nilikuwa clali nasubiria kicjeniletea maafa kwa mtoto...hivi ni imani tu au? DC unajua kama kikidondokea bahati mbaya unafanyaje? yaani nilivyambiwa ndio nikafanya kukesha kabisa...naku pm.
 
Back
Top Bottom