For my few fellow men: Kujua kuendesha gari/pikipiki ni muhimu

Use and disuse. Kwa ulimwengu wenye vitu vingi lazima uwe selective huwezi jifunza kila kitu bhana
 
kuna jamaa alipata kazi ya marketing ilimshindaa coz aliambiwa anatakiwa awe anajua gari, kapewa muda awe ameshajua!' mwisho wa siku akakimbia kazi ...........
Huyo nae alizidi...alishindwa nini kwenda kujifunza?? Watu wameshiba aisee
 
Men of this forum.

Ulimwengu huu unakuwa kwa kasi sana and most things now come easily, kuna mambo mengine ni magumu lakini mengine ni marahisi sana na ni budi kwa kila mwanaume kuyajua na kuweza kuyafanya.

Moja wapo ni hili la ujuzi wa kuweza kuendesha gari au pikipiki, hata kama huna, ni vizuri kujifunza na ukakaa na ujuzi wako, coz huwezi kupoteza kitu.

Nimeshangaa sana kuona a man mwenye zaidi ya miaka 35, hawezi kuendesha gari wala pikipiki na amekaa mjini miaka kibao. Hata kama huna, its better to find a way and learn. Sio unafikisha miaka 40 unapata ka gari kako unakapiga lebo ya Learner, au ndiyo unakuwa unababaika barabarani kisa ndiyo unajifunza.

Nashauri tu, kuwa na huu ujuzi wa driving ni kitu chema.

Ladies, advice your men to search for this knowledge.

Nawasilisha.
Kwanini isiwe meli au ndege?
Kama kwako unaona ni vitu vikubwa, vipi kwa wale ambao wanakula mlo mmoja, analionaje gari au pikipiki?
 
thumbup proffesor na hii ndo tunaita mgawanyo wa majukumu
Et mgawanyo wa majukumu hv uko Dunia gani? Siku hz wanahitajika mult purpose worker's ili ku cut cost we unakuja na mambo ya kizamani
 
Men of this forum.

Ulimwengu huu unakuwa kwa kasi sana and most things now come easily, kuna mambo mengine ni magumu lakini mengine ni marahisi sana na ni budi kwa kila mwanaume kuyajua na kuweza kuyafanya.

Moja wapo ni hili la ujuzi wa kuweza kuendesha gari au pikipiki, hata kama huna, ni vizuri kujifunza na ukakaa na ujuzi wako, coz huwezi kupoteza kitu.

Nimeshangaa sana kuona a man mwenye zaidi ya miaka 35, hawezi kuendesha gari wala pikipiki na amekaa mjini miaka kibao. Hata kama huna, its better to find a way and learn. Sio unafikisha miaka 40 unapata ka gari kako unakapiga lebo ya Learner, au ndiyo unakuwa unababaika barabarani kisa ndiyo unajifunza.

Nashauri tu, kuwa na huu ujuzi wa driving ni kitu chema.

Ladies, advice your men to search for this knowledge.

Nawasilisha.
Jamaa umetoa ushauri mzuri kweli ila baadhi ya watu Mapovu yamewatoka

Waache...waliokuelewa Wamekuelewa
 
Eti tell your boys! Anyways,kila mtu ana malengo yake katika maisha,gari inaweza isiwe priority kwake bali kutimiza ndoto zake alizokuwa nazo tangu mwanzoni kama kujenga nyumba,kununua shamba,kuanzisha biashara nk. Mtu huwezi ukaamua kujifunza gari wakat mpango wa kununua gari lenyewe huna...ya nini kujichosha.

Fikiri upya juu ya hii mada.
Hili siyo suala la priority au subjective
ni lazima(kama kujua kusoma na kuandika)
*Je,dereva akifa au kupata tatizo la kiafya porini na wote/wewe haujui kudrive?
*Je,mkiwa ktk hatari and the way to escape ni kutumia usafiri na upo?
( Waulize nchi zilizowahi kupitia machafuko)
*Mmepata mgonjwa usiku wa manane,let say huyo huyo ndiyo dereva,na usafiri upo,utamsaidiaje?
Ktk familia yetu,sote tunajua kudrive,
Na hata my wife to b,nimemfundisha kudrive gari na pikipiki..

Endelea na siasa zako,ipo siku
utaelewa vizuri.
 
Binafsi kuendesha pikipiki sijui na sijui kwa nini moyo wangu hautaki, kuna piki Piagio nilinunuwa zamani ni auto na mafuta yakikuishia unanyonga pedal kama baiskeli hiyo ndio nilikuwa naendesha. kudrive gari nimeanza 1990.
Shikamoo mkuu
 
Back
Top Bottom