Samahani kwa kutoka nje ya mada mtani.....nataka tu nikusalimie mtaniMr Rocky nimempiga chini siku mingi kazidi ubahili sana mie siwezi
nashukuru mtani heri ya kuvushwa mwaka aiseeSamahani kwa kutoka nje ya mada mtani.....nataka tu nikusalimie mtani
Nashukuru mtani kwa kuwa miongoni mwa walionekana wanafaa kuuona mwaka huu mpyaa...nikutakie wakati mwema tu mtani wangu....nashukuru mtani heri ya kuvushwa mwaka aisee
Sio wanaume tu...mimi kuna mtu aliwahi kuniambia tunakoelekea sasa hivi leseni ya udereva itakuwa ni moja ya document muhimu wakati wa kutuma maombi ya kazi
nashukuru mtani nawe piaNashukuru mtani kwa kuwa miongoni mwa walionekana wanafaa kuuona mwaka huu mpyaa...nikutakie wakati mwema tu mtani wangu....
Kuna mtu. Wangu alipata tatizo la ghafla yuko na gari .What happened mkuu
Mr Rocky nimempiga chini siku mingi kazidi ubahili sana mie siwezi
mmh mimi mapenzi na njaaa siwezi banaUbahili wapi miss chagga
Ulimaliza akiba yangu yote kwa starehe leo unanikana sio
kiwatengu huyu miss chagga akikukamata mpaka ahakikishe mfuko umetoboka na ukishatobika anasepa zake
kuna jamaa alipata kazi ya marketing ilimshindaa coz aliambiwa anatakiwa awe anajua gari, kapewa muda awe ameshajua!' mwisho wa siku akakimbia kazi ...........
unaweza kuwa dereva wangu ukaongeza kipato!Sasa kama sina gari wala pikipiki wala kipato changu hakikaribii kununua motokali nijifunze ili iweje?
mmh mimi mapenzi na njaaa siwezi bana
Ukikulia pembezoni mwa ziwa Nyasa kujua baiskeli huwa ni ngumuSasa wewe toka una 5yrs unachukuliwa na gari kwenda shule na kurudishwa ukirudi nyumbani unafungiwa ndani utajuaje? Huko mikoani kwetu wadada wasiojua kuendesha baiskeli ni wa kuhesabu...itakuwa mwanaume? Impossible