mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,064
- 6,733
Hii ni blackmailing ,na mwanaume akisema hivyo , ujue hamaanishi toka moyoni ,Ladies wengi hawajui ni wakati gani wa kuwaomba misahamaha wapenzi wao.....kwa hiyo huishia kuwavamia........... at the wrong time, the wrong place and when their partners are in the wrong mood..............matokeo yake hawapati matokeo wanayoyatarajia......rejection is simply an understatement..................wakati mwafaka wa kuomba msamaha ni wakati mwaumme ni dhaifu....................mwanaumme ni dhaifu kabla tu ya kukumiminia "mshindo nyuma" au kwa lugha ya wageni..............."just before ejaculation"...................hapo ndipo yupo tayari kusema......................"yote yamekwisha......tugange yajayo"..................akipata nguvu kwa maana ya kisima kujaa maji ya uzima tena atakumbuka kuwa ulimtegea lakini hana cha kufanya kwa sababu kauli tayari kesha kuitoa....................umharakishe kabla tu ya "kukumiminia" na wala usije ukachelea kumweka kabali wakati mwafaka tajwa..........................kumbuka wakati wowote ni wakati wa chai.............kunywa chai yako lakini hakikisha..................you get something tangible in return....................like getting him to say "I do forgive you and forget the whole episode once and for all!"............The good news ni kuwa.......that act of forgiveness comes from the innermost parts of his deepest feelings of his heart...........he will never be able to retract...you stay forgiven forever.............uwe na amani kwenye moyo wako............kabisa kabisa.....
Wikiendi njema to............all............REMEMBER SAYING SORRY IS NOT A WEAKNESS IT IS A VIRTUE AND A GIFT FROM GOD.......
nikishatulia zangu , ujue hiyo discussion itaanza upya au hiyo ahadi utekelezaji wake utakua wa shingo upande