Chai Nyeusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2021
- 347
- 312
Sahihi kabisaTatizo kubwa la waafrica, hua tunaeka hisia za nafsi mbele bila ya kujali athari zake.
Sahihi kabisaTatizo kubwa la waafrica, hua tunaeka hisia za nafsi mbele bila ya kujali athari zake.
Libya magofu matupu sasaHivi kwann libya wamekua dumb kiasi hiko. Inasikitisha sana aisee
Ninakuelewa sana mzazi. Umetisha.Uongo. Technology ina ku fool usione uhalisia wa maisha. Ww unaeza usimuige mzungu kwenye technology. Ila unaweza kutumia resoeurce ulizo nazo na kuzifanya kua value. Mzungu anabaki na technology ww unabaki na resource.
Cha msingi cha kupambana nacho labda unambie technology katika security ya bara la afrika. Kuunda jeshi lenye vifaa vya kutosha.
Huyo ni mzazi wako? Baba au Mama?Ninakuelewa sana mzazi. Umetisha.
Kuna watu ni umri wa baba zetu wapo humuHuyo ni mzazi wako? Baba au Mama?
Huyo ni mzazi wako? Baba au Mama?Ninakuelewa sana mzazi. Umetisha.
Neno mzazi wa slangs za mtaani ni kama vile msela au mwana.Huyo ni mzazi wako? Baba au Mama?
Mzazi ni msela au mzee babaNeno mzazi wa slangs za mtaani ni kama vile msela au mwana.
Maneno ya uswahilini wewe umeyajuaje mtoto wa Masaki?Neno mzazi wa slangs za mtaani ni kama vile msela au mwana.
Sasa usela m.a.v.i wa huko kwenu Facebook ndio unataka kutuletea humu JF? Acha utoto dogoNeno mzazi wa slangs za mtaani ni kama vile msela au mwana.
mhhhSasa usela m.a.v.i wa huko kwenu Facebook ndio unataka kutuletea humu JF? Acha utoto dogo
Uliwahi kukaa Masaki?Maneno ya uswahilini wewe umeyajuaje mtoto wa Masaki?