For economist....

SURN

JF-Expert Member
Sep 5, 2011
319
36
Jaman kama kuna mtu anaifahamu.BACHELOR OF ARTS IN ECONOMICS.naomba anisaidie ukichukua degree ya hiyo fuculty utafanya kaz gan hapo baadae?na kwa upande wa ajira unaweza kujiajiri au ndo serikal 2 inakuajiri.and how about loans(inalipa).JAMAN SAMAHANI NAOMBA MUNISAIDIE KAMA UNAJUA CHOCHOTE ABOUT (BA IN ECONOMICS)
 
Jaman kama kuna mtu anaifahamu.BURCHALOR OF ARTS IN ECONOMICS.naomba anisaidie ukichukua degree ya hiyo fuculty utafanya kaz gan hapo baadae?na kwa upande wa ajira unaweza kujiajiri au ndo serikal 2 inakuajiri.and how about loans(inalipa).JAMAN SAMAHANI NAOMBA MUNISAIDIE KAMA UNAJUA CHOCHOTE ABOUT (BA IN ECONOMICS)
<br />
<br />
Mmh ninachofahamu mimi inaitwa ‘BACHELOR‘ na sio ‘BURCHALOR‘
 
Inategemea ile trimester ya kwanza mwaka wa mwisho utachukua option gani. Ziko nyingi kama entrepreneurship, strategic, finance na nyinginezo. Omba students' book hapo chuoni na ukishaona options then you'll become one of the to be chosen options.

NB: Hizi options zinatofautiana kulingana na chuo!
 
Inategemea ile trimester ya kwanza mwaka wa mwisho utachukua option gani. Ziko nyingi kama entrepreneurship, strategic, finance na nyinginezo. Omba students' book hapo chuoni na ukishaona options then you'll become one of the to be chosen options.<br /> <br /> NB: Hizi options zinatofautiana kulingana na chuo!
<br /> <br / asante kaka.lakn vp kuhusu ajira in general
 
Inategemea ile trimester ya kwanza mwaka wa mwisho utachukua option gani. Ziko nyingi kama entrepreneurship, strategic, finance na nyinginezo. Omba students' book hapo chuoni na ukishaona options then you'll become one of the to be chosen options.<br />
<br />
NB: Hizi options zinatofautiana kulingana na chuo!
<br />
<br />
mkuu we unazungumzia ya chuo gan hyo,maana me ninayoifahamu haina mambo ya kuspecialize?
 
Jaman kama kuna mtu anaifahamu.BACHELOR OF ARTS IN ECONOMICS.naomba anisaidie ukichukua degree ya hiyo fuculty utafanya kaz gan hapo baadae?na kwa upande wa ajira unaweza kujiajiri au ndo serikal 2 inakuajiri.and how about loans(inalipa).JAMAN SAMAHANI NAOMBA MUNISAIDIE KAMA UNAJUA CHOCHOTE ABOUT (BA IN ECONOMICS)
<br />
<br />
wel,kwa mujibu wa wa2 wanao soma hyo k2 wanasema,kwa m2 mwenye bachelor,maisha yake bado ni magumu,atleast hadi apge masters,nw days nimeona kuna chuo kinatoa bachelor of economics wt finance,pengne hyo inaweza ikawa nzuri sana kwa soko la ajira kuliko BA-Economics.
 
kuajiriwa: budget officer,planning,monitoring and evaluation,investment,policy analyst n.k

kujiajiri: ni msaada mkubwa kwani unakuwa na knowledge inayo cut-across mambo mengi macro(uchumi wa nchi) to micro(firm na individual)

:Economics ni more analytical discpline so unapanuka kimawazo kwa ujumla

waliosoma hiyo Economics watakusaidia zaidi wakija
 
kuajiriwa: budget officer,planning,monitoring and evaluation,investment,policy analyst n.k<br /> <br /> kujiajiri: ni msaada mkubwa kwani unakuwa na knowledge inayo cut-across mambo mengi macro(uchumi wa nchi) to micro(firm na individual)<br /> <br /> :Economics ni more analytical discpline so unapanuka kimawazo kwa ujumla<br /> <br /> waliosoma hiyo Economics watakusaidia zaidi wakija
<br /> <br / asante kaka
 
&lt;br /&gt;<br /> &lt;br /&gt;<br /> wel,kwa mujibu wa wa2 wanao soma hyo k2 wanasema,kwa m2 mwenye bachelor,maisha yake bado ni magumu,atleast hadi apge masters,nw days nimeona kuna chuo kinatoa bachelor of economics wt finance,pengne hyo inaweza ikawa nzuri sana kwa soko la ajira kuliko BA-Economics.
<br /> <br / chuo gani?
 
Jaman kama kuna mtu anaifahamu.BACHELOR OF ARTS IN ECONOMICS.naomba anisaidie ukichukua degree ya hiyo fuculty utafanya kaz gan hapo baadae?na kwa upande wa ajira unaweza kujiajiri au ndo serikal 2 inakuajiri.and how about loans(inalipa).JAMAN SAMAHANI NAOMBA MUNISAIDIE KAMA UNAJUA CHOCHOTE ABOUT (BA IN ECONOMICS)
<br />
<br />
ni falcut nzuri. Kuhusu ajira, zipo nyingi tu kutegemea sana na ulicho opt mwaka wa mwisho. Ziko field nyingi sana.
Ofisi nyhni sasa zinahitaj kuwa na mchumi. Lakin kujiajiri ni njia nzuri na inawezekana pia.
Wasikutishe eti mpaka masters, waongo hao.
 
&lt;br /&gt;<br /> &lt;br /&gt;<br /> ni falcut nzuri. Kuhusu ajira, zipo nyingi tu kutegemea sana na ulicho opt mwaka wa mwisho. Ziko field nyingi sana.<br /> Ofisi nyhni sasa zinahitaj kuwa na mchumi. Lakin kujiajiri ni njia nzuri na inawezekana pia.<br /> Wasikutishe eti mpaka masters, waongo hao.
<br /> <br / thank u.kama option gan ina ajira za kutosha.nani kaz gan utafanya?
 
Asikudanganye mtu man,BA-Economics ukiipiga fresh hulali njaa!kawaulize mwigulu na zitto wakupe ufafanuz zaidi.
 
Back
Top Bottom