Habari wadau,
How to calculate the quantities of ingredients of concrete(i.e cement,sand and aggregate) of known grade
e.g grade c 20 (1:2:4) ,for 1cubic.m of concrete.
Karibu kwa mchango wowote wa ki engineer.
upo chuo gani,swali lenyewe hata mtoto wa form five anaweza calculate hapo,nina wasiwasi na chuo chako unachosoma academically kiko chini sana
twende kazi kijana(japo swali lako nahisi halijaka vizuri)
SOLUTION
1.the total volume of cement is 1cubic.m
so yield of concrete proportional(1:2:4)
=2/3(1+2(1)+4(1))
=4.667cubic m
2.by absolute volumes
here we have to assume the following(sababu swali lako halijakamilika)
cement:sp.gr.3.15 an wt in each bag 0.50kN
sand;sp.gr.2.65 and unit wt 15kN/cubic m(this is when dry)
coarse aggregate;sp;gr.2.80 and unit wt 15kN/cubic m
water cement ratio:0.60
unit wt of water 10KN/cubic m
haya sasa tuanze
volume of cement=0.50/3.15*10=
volume of sand=2*1*16/2.65*10=
aggregate=4*1*15/2.80*10=
malizia majibu yake hapo
noteswali lako halijakamilika kabisa hata hivyo imenilazimu nitumie baadhi ya assumption,,next time uje na swali lililo kamili
mwaka wa pili (joseph university in tanzania),,,huo ni mchango wangu nilipokosea unaweza kurekebisha kwa mchangiaji