Football

Lizy

JF-Expert Member
Feb 11, 2008
412
289
Wana JF Naombeni msaada wenu katika haya machache;

Katika football, lets say timu A inacheza na timu B, kila timu inatakiwa kubadilisha wachezaji wangapi kwa mchezo?

Second qn; Lets say hiyo idadi imetimia, then mmoja kati ya waliopo uwanjani akaumia na haiwezekani kuendelea kucheza, timu husika inaruhusiwa kuingiza mchezaji mwingine kumreplace yule aliyeumia?

Third; Mpira ukitoka nje ama they call it corner, at what time unatakiwa kurushwa kwa mkono ama kupigwa kwa mguu? Ama ni option kurusha ama kuupiga?

Asanteni
 
Dada Lizy (nisamehe kama nimekosea jinsia yako).
Majibu kwa swali la kwanza ni kwamba mpirani mwisho kubadilisha wachezaji ni watatu (03) kwa kila timu. |Swali la pili ni kwamba inapotokea timu husika imebadili wachezaji wote watatu na ikatokea mchezaji mwingine kaumia na hawezi kuendelea timu hiyo itacheza na wachezaji pungufu hadi mwisho wa mchezo. Jibu kwa swali la tatu ni kwamba adhabu ya mpira wa kurusha inatolewa pale mpira unapotolewa pembeni ya uwanja tu na hakuna hiari ni lazima urushwe na adhabu ya kona ni pale wachezaji wa timu moja wanapotoa mpira upande wa nyuma wa goli lao na ni lazima upigwe kwa miguu. Nadhani nitakuwa nimejaribu kukujibu katika lugha nyepesi zaidi maana mimi si mtaalamu wa mpira wa miguu bali ni mpenzi na mshabiki tu.
 
Dada Lizy (nisamehe kama nimekosea jinsia yako).
Majibu kwa swali la kwanza ni kwamba mpirani mwisho kubadilisha wachezaji ni watatu (03) kwa kila timu. |Swali la pili ni kwamba inapotokea timu husika imebadili wachezaji wote watatu na ikatokea mchezaji mwingine kaumia na hawezi kuendelea timu hiyo itacheza na wachezaji pungufu hadi mwisho wa mchezo. Jibu kwa swali la tatu ni kwamba adhabu ya mpira wa kurusha inatolewa pale mpira unapotolewa pembeni ya uwanja tu na hakuna hiari ni lazima urushwe na adhabu ya kona ni pale wachezaji wa timu moja wanapotoa mpira upande wa nyuma wa goli lao na ni lazima upigwe kwa miguu. Nadhani nitakuwa nimejaribu kukujibu katika lugha nyepesi zaidi maana mimi si mtaalamu wa mpira wa miguu bali ni mpenzi na mshabiki tu.

Mwanakwetu,

Asante kunielewesha.

inapotokea timu husika imebadili wachezaji wote watatu na ikatokea mchezaji mwingine kaumia na hawezi kuendelea timu hiyo itacheza na wachezaji pungufu hadi mwisho wa mchezo. I was thinking the same way, at the same time, nikafikiri labda kuna namna kama kureplace ama basi kupunguza upande pinzani kuweka balance.
Once again, thank you for clarification.
 
Nzokanhyilu lol! :)
Hahaa, we kubali tu nimekushitukia!!

Hongera Lizy kwa kutaka kubanana na mpenzio mbele ya screen, ila chunga tu usichukue tabia za mwanaume anapoangalia mpira;
Mfano, mchezaji anaweza akachemsha uwanjani, ukasikia mwenzako anasema maneno ambayo humsikii akiyasema kila siku lol!

Mwanakwetu kaeleza vizuri tu. Ila kuna sheria moja inayosema kwamba timu lazima iwe na wachezaji atleast 7 uwanjani ili mchezo uendelee. Hii haitokei mara kwa mara. Mfano kocha katumia wachezaji wote 3 kama substitute. Anakuwa hana wachezaji wa kuongeza. Halafu itokee wachezaji 5 waumie au wapate kadi nyekundu, watabaki wachezaji 6 uwanjani. Basi refa anaweza kuahirisha mchezo, na chama cha mpira kikaamua mshindi ni nani kutokana na yaliyotokea. Hii sikumbuki mara ya mwisho imetokea wapi. Ila sheria hiyo ipo.

Afadhali umekuja kuuliza hapa, maana ukimwuliza wakati anaangalia unamkatisha concentration, halafu maswali mengine anaweza kupuuzia. Kwa mfano unaweza uliza;

1) Hivi Thierry Henry si anachezea Arsenal? Sasa anafanya nini Barcelona au timu ya Taifa ya Ufaransa?

2) Jamani David Beckham handsome, lakini bukta haimpendezi. hivi hawezi kucheza na surualli ya D&G?

3) Hivi kwanini golikipa anatumia mikono wengine hawatumii? Mbona hapigwi penalti?

4) Hivi kwanini mababa 22 yanakimbiza kampira kamoja? Kwani wamechizika? (DONT TRY THIS....YOU are insulting a man's intelligence hahaaa).

Questions like these are bad for your health!! Nikifikiria mengine nitakwambia!LOL.

Ila ni vizuri unamfikiria. Pia usimtume akafanye shopping wakati mechi imekaribia kuanza au katikati ya mechi. Akisema atafanya ujue atafanya.

Hakikisha umetayarisha vitafunio wakati wa mechi, ili hasira zikimzidi, mpatie tissue na vitamutamu, anameza na kujipangusa. Hata ikibidi mpe massage ya kichwa, maana kuangalia mpira si mchezo.

Fuata masharti haya, utapendwa mpaka uishiwe nguvu....LOL!!
 
Lizy idadi ya wachezaji watatu inatumika kwenye mechi za mashindano tu. Kwenye mechi za kirafiki unaweza kubadilisha hata kikosi kizima!
 
Hahaa, we kubali tu nimekushitukia!!

Hongera Lizy kwa kutaka kubanana na mpenzio mbele ya screen, ila chunga tu usichukue tabia za mwanaume anapoangalia mpira;
Mfano, mchezaji anaweza akachemsha uwanjani, ukasikia mwenzako anasema maneno ambayo humsikii akiyasema kila siku lol!

Mwanakwetu kaeleza vizuri tu. Ila kuna sheria moja inayosema kwamba timu lazima iwe na wachezaji atleast 7 uwanjani ili mchezo uendelee. Hii haitokei mara kwa mara. Mfano kocha katumia wachezaji wote 3 kama substitute. Anakuwa hana wachezaji wa kuongeza. Halafu itokee wachezaji 5 waumie au wapate kadi nyekundu, watabaki wachezaji 6 uwanjani. Basi refa anaweza kuahirisha mchezo, na chama cha mpira kikaamua mshindi ni nani kutokana na yaliyotokea. Hii sikumbuki mara ya mwisho imetokea wapi. Ila sheria hiyo ipo.

Afadhali umekuja kuuliza hapa, maana ukimwuliza wakati anaangalia unamkatisha concentration, halafu maswali mengine anaweza kupuuzia. Kwa mfano unaweza uliza;

1) Hivi Thierry Henry si anachezea Arsenal? Sasa anafanya nini Barcelona au timu ya Taifa ya Ufaransa?

2) Jamani David Beckham handsome, lakini bukta haimpendezi. hivi hawezi kucheza na surualli ya D&G?

3) Hivi kwanini golikipa anatumia mikono wengine hawatumii? Mbona hapigwi penalti?

4) Hivi kwanini mababa 22 yanakimbiza kampira kamoja? Kwani wamechizika? (DONT TRY THIS....YOU are insulting a man's intelligence hahaaa).

Questions like these are bad for your health!! Nikifikiria mengine nitakwambia!LOL.

Ila ni vizuri unamfikiria. Pia usimtume akafanye shopping wakati mechi imekaribia kuanza au katikati ya mechi. Akisema atafanya ujue atafanya.Hakikisha umetayarisha vitafunio wakati wa mechi, ili hasira zikimzidi, mpatie tissue na vitamutamu, anameza na kujipangusa. Hata ikibidi mpe massage ya kichwa, maana kuangalia mpira si mchezo.

Fuata masharti haya, utapendwa mpaka uishiwe nguvu
....LOL!!

Aaah wapi wewe, he won't do the shopping, he can only promise ili aendelee kuangalie mechi, then when the time comes, his defence will be it wasn't the right timr for you to ask that question, I wasn't myself, Mechi ilinichanyanya sana ile, yule mchezaji X kavuruga kila kitu, pale alitakiwa kufanya hivi na vile, bla bla bla nyingi mpaka somo la shopping linazimika kiaina LOL.

Kupendwa mpaka kuishiwa nguvu.........., I have no comment on this.

Anyway, as our Taifa Star doing better and better nowdays (though sometimes wanavuruga), Nina mpango wa kuwa REFAREE, so need to know some stuffs in advance (joke).

Nakushukuru sana kunielewesha. Napenda sana kuangalia Football, it doesnt matter mechi za nje ama Bongo, so vitu kama hivi huwa vinanichanganya sana na nikaona nije kunako JF kupata ufafanuzi. Here I am happy after kufafanuliwa plus extra stuffs outside the topic.

One thing kabla sijasahau, je huwa kuna mawasiliano yoyote kati ya timu pinzani kabla ya mechi, labda kueleweshana rangi/aina ya jezi watakazovaa ili kuondoa kujikuta uwanjani na jezi za aina/rangi moja? Na je, ilishatokea timu kujikuta wana jezi zinazofanana, if yes, nini kilifanyika?
 
One thing kabla sijasahau, je huwa kuna mawasiliano yoyote kati ya timu pinzani kabla ya mechi, labda kueleweshana rangi/aina ya jezi watakazovaa ili kuondoa kujikuta uwanjani na jezi za aina/rangi moja? Na je, ilishatokea timu kujikuta wana jezi zinazofanana, if yes, nini kilifanyika?
Kwa sasa hivi huwa wanas\wasiliana kia timu inapeleka jezi itakayo vaa katika mechi......kwa wenzetu wa ulaya wana jezi za home and away ambazo zina tofautiana rangi....

Nakumbuka kipindi fulani zamani timu zilijikuta zina rangi sawa ikabidi timu moja icheze kifua wazi....kuna anaekumbuka ilikuwa mechi gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom