Football (soccer) na American football ipi zaidi?

Rufiji

Platinum Member
Jun 18, 2006
1,881
941
Jamani nilikuwa naomba wapenzi wa michezo hiyo miwili wanisaidie katika hili, ni mchezo gani wenye kusisimua zaidi kati ya soccer na American football. Mimi binafsi nilikuwa mpenzi mkubwa wa soccer kipindi cha nyuma, lakini tangu nianze kuufuatilia American football ampenzi yangu kwenye soccer yameondoka kabisa.
 
"soccer" is way better than "football" (where thy keep the ball in their hands most of the time?) because the action lasts more than 4 seconds. A typical nfl game will be 4 seconds of play followed by 40 seconds of faffing about, then they might call a "time out" because they need more time to figure out a 4 second play. Then they'll have an ad break. 1 hour's playing time eventually takes about 4! in the real football ("soccer") the only break is 15 minutes at half time!
 
Mkuu mimi mpenzi wa soccer pia ndio uliotukuza kwenye upande wa michezo.Na sasa hivi napenda pia american football na naangalia mechi zake kama ninavyoangalia ligi ya uingereza lakini ukweli ni kwamba SOCCER ni mchezo mtamu sana.


Kuna vitu vingi vinavyovutia kwenye SOCCER kushinda american football.
 
Mkuu mimi mpenzi wa soccer pia ndio uliotukuza kwenye upande wa michezo.Na sasa hivi napenda pia american football na naangalia mechi zake kama ninavyoangalia ligi ya uingereza lakini ukweli ni kwamba SOCCER ni mchezo mtamu sana.


Kuna vitu vingi vinavyovutia kwenye SOCCER kushinda american football.


Arsene,

mimi nilikuwa mpenzi mkubwa wa mpira wa miguu; in fact, nilikuwa simba na Arsenal damu. Lakini tangu nianze kufuatilia American football nashindwa kabisa kuangalia soccer! American football ina kila kitu kuanzia drama mpaka entertainment ...
 
"soccer" is way better than "football" (where thy keep the ball in their hands most of the time?) because the action lasts more than 4 seconds. A typical nfl game will be 4 seconds of play followed by 40 seconds of faffing about, then they might call a "time out" because they need more time to figure out a 4 second play. Then they'll have an ad break. 1 hour's playing time eventually takes about 4! in the real football ("soccer") the only break is 15 minutes at half time!

I disagree with your assertion, teams are allowed to have only three timeouts per half. American football is fascinating because players and coaches come up with new strategy in each play.
 
Arsene,

mimi nilikuwa mpenzi mkubwa wa mpira wa miguu; in fact, nilikuwa simba na Arsenal damu. Lakini tangu nianze kufuatilia American football nashindwa kabisa kuangalia soccer!

tafadhali naomba uniambie ni kipi hasa kiko interesting kwenye american soccer labda ipo siku ninaweza kuangalia.....
 
tafadhali naomba uniambie ni kipi hasa kiko interesting kwenye american soccer labda ipo siku ninaweza kuangalia.....

Hashycool,

Mimi mwenyewe mwanzoni nilikuwa nawacheka watu wanaoangalia American football. Nilikuwa naona watu wanarukiana tuu, lakini baada ya kujifunza sheria nimekuja kuona ukweli wa mambo. Kwanza kabisa mimi nakushauri jifunze sheria za huu mchezo, then uangalie jinsi ambavyo play zinavyotengenezwa. Huu mchezo ni hatari kusema ukweli, kama mtu una matatizo ya moyo sikushauri kabisa uangalie....
 
Hashycool,

Mimi mwenyewe mwanzoni nilikuwa nawacheka watu wanaoangalia American football. Nilikuwa naona watu wanarukiana tuu, lakini baada ya kujifunza sheria nimekuja kuona ukweli wa mambo. Kwanza kabisa mimi nakushauri jifunze sheria za huu mchezo, then uangalie jinsi ambavyo play zinavyotengenezwa. Huu mchezo ni hatari kusema ukweli, kama mtu una matatizo ya moyo sikushauri kabisa uangalie....

Baada mwisho siku kila mchezo una uvutio wake na inategemea na mtu unavutiwa na kitu gani.Michezo yote inatia presha lol.

Umezungumzia kuhusu presha kwenye american football kitendo kilichoikuta timu yangu jumapili nomaa.Tumepata touch down bado sekunde tisa game iishe na tulikuwa tunahitaji field goal ku tie game.Jamaa aambaye ali-snap mpira ka-usnap juu sana matokeo yake tukashindwa ku-recover mpira na game ikaisha .wala sikuhamini.
 
Baada mwisho siku kila mchezo una uvutio wake na inategemea na mtu unavutiwa na kitu gani.Michezo yote inatia presha lol.

Umezungumzia kuhusu presha kwenye american football kitendo kilichoikuta timu yangu jumapili nomaa.Tumepata touch down bado sekunde tisa game iishe na tulikuwa tunahitaji field goal ku tie game.Jamaa aambaye ali-snap mpira ka-usnap juu sana matokeo yake tukashindwa ku-recover mpira na game ikaisha .wala sikuhamini.

:A S 39::A S-confused1:
 
lool mkuu upande mwingine huu,jamaa kaugusia huu mchezo sasa huwa naufatilia ndio kaniskumbusha mechi ya weekend lol.

kaka hayo ma tachi daun, fild goal ku tie game ku snap mpira...nikitafsiri ninavyo jua ninakuwa sijielewi!......kweli kil kitu kina mwenyewe
 
Mimi niko na Rufiji. American football is more exciting.

Ukizielewa sheria zake halafu uone jinsi Tom Brady, Peyton Manning, au Drew Brees wanavyozi-quarterback timu zao halafu uone jinsi wideout kama Randy Moss au Reggie Wayne wanavyo-run routes lazime uupende tu.

Hapo sijazungumzia Superbowl na fesitivities zake....
 
Mimi niko na Rufiji. American football is more exciting.

Ukizielewa sheria zake halafu uone jinsi Tom Brady, Peyton Manning, au Drew Brees wanavyozi-quarterback timu zao halafu uone jinsi wideout kama Randy Moss au Reggie Wayne wanavyo-run routes lazime uupende tu.

Hapo sijazungumzia Superbowl na fesitivities zake....

Sheria zake nazijua lakini bado kwa maoni yangui haijafikia utamu wa soccer labda kama una compare na mechi za MLS.


Ukipeleka kwenye swala la superbowl itabidi tulinganishe na world cup basi au?
 
Inategemea ili swali unamuuliza nani na yuko wapi...ila honestly soka ni kiboko ilo halina ubishi, tatizo la american football ukitaka kuenjoy basi shurti ujue sheria and whatnot vile vile haina global appeal kama soka ndio maana nfl europe ilishindwa kusurvive.
 
Wahaya utawajua tu.amercan football inavutia????
Soccer is the best organised sport.angalia idadi ya mashabiki sio sehemu moja bali kutoka kila pembe ya dunia.
Kwa ushauri linganisha amercan football na cricket sio soccer.nikijaribu kujivika 'uhaya' basi ni bora niisifie Tennis na basketball kwani na zenyewe ziko more exciting kuliko amercan football.
 
Inategemea ili swali unamuuliza nani na yuko wapi...ila honestly soka ni kiboko ilo halina ubishi, tatizo la american football ukitaka kuenjoy basi shurti ujue sheria and whatnot vile vile haina global appeal kama soka ndio maana nfl europe ilishindwa kusurvive.
Hata Rugby ni nzuri sana ukiijua na kuifuatilia.Kitu ukikiangalia na kikakukaa utakipenda tu.
 
Wahaya utawajua tu.amercan football inavutia????
Soccer is the best organised sport.angalia idadi ya mashabiki sio sehemu moja bali kutoka kila pembe ya dunia.
Kwa ushauri linganisha amercan football na cricket sio soccer.nikijaribu kujivika 'uhaya' basi ni bora niisifie Tennis na basketball kwani na zenyewe ziko more exciting kuliko amercan football.

Ni uwezo mdogo wa kufikiri kuanza kuwalabel watu kabila fulani kwa sababu tu wana mawazo tofauti. Sababu kubwa inayofanya soccer ifahamike dunia nzima inatokana na historia ya huko nyuma (ukoloni) na pia ni rahisi (cheap) kucheza. Mimi nilikuwa mpenzi wa Tennis na Basketball miaka mingi sana kabla hata ya kuijua American Football; lakini, baada ya kuujua huu mchezo nimegundua una-entertainment na drama zisizo na kifani. Soccer ni nzuri lakini siku hizi imepoteza ladha, timu zikishafunga goli moja zinaaanza kudefend tuu! Halafu kitu kingine kinachoboa Refa akishaamua hakuna nafasi ya kureview...mfano penalty ya juzi ya Manchester utd.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom