Magane
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 202
- 57
Wanajamii forum, naomba msaada ni mechi gani katika historia ya mchezo huu wa mpira wa miguu ndani ya nchi yetu au nje ya nchi ambazo ziliwahi kurudiwa kutokana na makosa ya mwamuzi kufuatia moja ya timu kukata rufaa. Ningependa unapojibu ueleze timu husika,nchi,na lini (mwaka) mchezo ulichezwa. Asante