Football match zilizowahirudiwa kwa makosa ya mwamuzi

Magane

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
202
57
Wanajamii forum, naomba msaada ni mechi gani katika historia ya mchezo huu wa mpira wa miguu ndani ya nchi yetu au nje ya nchi ambazo ziliwahi kurudiwa kutokana na makosa ya mwamuzi kufuatia moja ya timu kukata rufaa. Ningependa unapojibu ueleze timu husika,nchi,na lini (mwaka) mchezo ulichezwa. Asante
 
Ni Azam na Mtibwa sugar katika VPL msimu uliopita ambayo mwamuzi alimaliza mpira kabla ya muda kuisha hali ilipelekea mtibwa kukata rufaa na mechi ikarudiwa
 
Ni Azam na Mtibwa sugar katika VPL msimu uliopita ambayo mwamuzi alimaliza mpira kabla ya muda kuisha hali ilipelekea mtibwa kukata rufaa na mechi ikarudiwa
Asante kwa taarifa. Naomba matukio zaidi ndani na nje ya nchi.
 
13 February 1999, FA Cup, Arsenal – Sheffield United
Arsenal manager Arsene Wenger proposed a replay of the FA Cup 5th Round clash due to the controversial circumstances in which it was won. The winning goal was scored by Marc Overmars, after Nwankwo Kanu failed to return the ball to the opposition after it had been kicked into touch to allow Sheffield United’s Lee Morris to receive treatment for an injury. The replay was held ten days later and Arsenal won that game 2-1 as well.

Mechi hii haikupaswa kurudiwa kwa sababu tu Kanu amekosa kucheza fair play. Matokeo yalitakiwa kuheshimiwa, lakini Arsene Wenger hakujisikia vizuri kupata goli lisilo la jasho hivyo akaomba mechi irudiwe.
 
Mechi hii haikupaswa kurudiwa kwa sababu tu Kanu amekosa kucheza fair play. Matokeo yalitakiwa kuheshimiwa, lakini Arsene Wenger hakujisikia vizuri kupata goli lisilo la jasho hivyo akaomba mechi irudiwe.
Asante kwa habari hiyo na tupate habari ya timu zilizowahi kukata rufaa kutokana na kufungwa goli lenye utata kutokana na mwamuzi kushindwa kuchezesha mchezo vizuri.
 
Nabwada FC dhidi ya Umoja FC Mkangala. Hii mechiilirudiwa baada ya mvua kunyesha sana uwanja ukajaa manaji nakummbuka ilikua mwaka 1982 na hizi zilikuwa timu za kijiji.Hakukua na rufaa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom