Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,745
- 7,781
Leteni Maswali ya Kiafya Niwasaidie
--------------------------------------------------------------------------------
Napenda kuwa julisha wana JF kuwa nakaribisheni maswali mafupi mafupi yanayohusu tatizo lolote la kiafya.Maswali yote yatajibiwa mara moja kwa wiki iwe ni tatizo ulilonalo wewe binafsi au ndugu,jirani,rafiki au mtu yeyote unayemfahamu,Kumbuka yawe mafupi ili watu wengi zaidi wapate nafasi ya kushauriwa na mimi.Nitakupa ushauri kadri ninavyoweza.Usiwe na wasiwasi niko ktk profession hii
__________________
Machozi ya Masikini ni dhambi za MAFISADI
NANI ATAMLILIA FISADI SIKU AKIFA?-FISADI MWEZAKE!!
...Mkuu shukrani kukaribisha maswali,
kwa sababu fulani fulani zilizo nje ya uwezo wangu, naamini sipati balanced diet. Mnanishauri nini kuhusu advantages na disadvantages za matumizi food supplements (tablets/Capsules na Drinks)... mfano Multi Vitamins, Cal mag, codliver oil, etc...
Kwanini baadhi ya watu wana opt kwenye GNLD products, hasa jijini Dsm ambako naamini fresh products zipo za kutosha kukidhi mlo kamili? kama 'nawe' ni mwanachama wa GNLD, waweza toa adnantages a hizo products bila kugusia faida (points) zitokanazo na wewe kuwa intemediatery?
...